Na mimi nilipoiona post yako nilijua lazima utakuwa una njaa tu!Hakuna mvua mkuu, tuleteeni chakula.
Useme wewe my maana naona kama anatuona na sie tuna maombwe basi labda ana mapepo akaombeweWe dada umeomba ushaur wa nin sasa coz kila anaekushaur unapngana nae cjui kama wew ni mzma kweli
Hiki ndicho ulichotaka kusema.O GOD
YOU HAVE MADE EVERY LIVING THING IN PAIRS
THE SINCERE, BEAUTIFUL AND PIOUS PAIR THAT YOU HAVE CREATED FOR ME, PLEASE GIVE IT TO ME .THANK YOU.
Soma vizuri maandiko usipotoshe yaliyofanyika ndani ya Agano la kale ndio maana Yesu Kristo akaleta Agano jipya ila hakuja kutengua Agano la kale bali kulitimiliza soma neno uwe huru usiyumbishweKuzini sio dhambi
Hata manabii walikuwa wana wanawake kibao na Mungu akabariki uzao wao
vp ushapata mtu wa sogea tukaewanaume wanapenda zinaa sana .waepuke kuwa makini
ila utahukumiwa kwa dhambi zako sio kwa ajili ya dhambi zangu mkuu .soma ulichoandika mwanzoAmini hivyo Miss Natafuta hata mimi nakueshimu na ndio maana nikakupa ushauri kwa kuona ndugu yangu huko uendako siko sasa wewe kuna wenye upeo hapa wamekupatia mpaka na mistari hutaki kuelewa unang'ang'ania sehemu moja tu nyege kwani umeambiwa sisi hatuna ?
Unapokuwa na shida nakuamua kuwa muwazi inamaanisha unataka kuutua mzigo mzito na kupata suluhisho lililo kuu nakuakikishia mimi sio mnafiki ukitaka ushauri wa kiroho waone wachungaji wako watakusaidia nauahukuru Mungu unapewa ushauri mzuri huku ushindwe mwenyewe kuutumia ukiona umeumeshindwa basi hilo litakuwa pepo utafute wanamaombi wakuombee.
sijaona ulichonishauri !We dada umeomba ushaur wa nin sasa coz kila anaekushaur unapngana nae cjui kama wew ni mzma kweli
v ule mchepuko wako mume wa mtu anaekutumaga ukamlipieexim ukamlipie mwanae ada ya feza,vp yeye huzini naeMsema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Katika amri za Mwenyenzi Mungu amekataza ni kuzini ila kiafya ,kimwili binadamu anakuwa na matamanio, mojawapo ni kusex ukisema usex dhambi ya kuzini ipo pale so ili usizini inabidi uwe na ndoa.
Mimi Mungu hajanipa ndoa halafu mwili unatamani nikiwa malaya nikazini ovyo Mungu atanihukumu kweli? yeye si ndio hajanipa mume? hamna kitu huwa kinaniuma kama kusex, moyo huwa unauma kweli naweza kuwa kwenye tendo naanza kulia mtu atadhani ananipagawisha kumbe nalilia hyo dhambi .
Nashindwa hata kuwa na mpenzi maana atasema tuzini na mimi siwezi .Nimebaki tu nalia na Mungu
O GOD
YOU HAVE MADE EVERY LIVING THING IN PAIRS
THE SINCERE, BEAUTIFUL AND PIOUS PAIR THAT YOU HAVE CREATED FOR ME, PLEASE GIVE IT TO ME .THANK YOU.
ila utahukumiwa kwa dhambi zako sio kwa ajili ya dhambi zangu mkuu .soma ulichoandika mwanzo
mliniona nae jamani ni rafiki tuv ule mchepuko wako mume wa mtu anaekutumaga ukamlipieexim ukamlipie mwanae ada ya feza,vp yeye huzini nae
Nimenawa mikono my hata mtoto.ukimzaa ukimpa malezi ambayo siyo siku ya mwisho utaulizwa usiposadia wasiojiweza wakati una uwezo utaulizwa amini hivyoila utahukumiwa kwa dhambi zako sio kwa ajili ya dhambi zangu mkuu .soma ulichoandika mwanzo
Heading ya hii thread yako ilitakiwa isomeke; Natafuta mume wa kunioa.Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
Katika amri za Mwenyenzi Mungu amekataza ni kuzini ila kiafya ,kimwili binadamu anakuwa na matamanio, mojawapo ni kusex ukisema usex dhambi ya kuzini ipo pale so ili usizini inabidi uwe na ndoa.
Mimi Mungu hajanipa ndoa halafu mwili unatamani nikiwa malaya nikazini ovyo Mungu atanihukumu kweli? yeye si ndio hajanipa mume? hamna kitu huwa kinaniuma kama kusex, moyo huwa unauma kweli naweza kuwa kwenye tendo naanza kulia mtu atadhani ananipagawisha kumbe nalilia hyo dhambi .
Nashindwa hata kuwa na mpenzi maana atasema tuzini na mimi siwezi .Nimebaki tu nalia na Mungu
O GOD
YOU HAVE MADE EVERY LIVING THING IN PAIRS
THE SINCERE, BEAUTIFUL AND PIOUS PAIR THAT YOU HAVE CREATED FOR ME, PLEASE GIVE IT TO ME .THANK YOU.
hapana mkuu sitafuti mume huku .sina unafiki mimi .huku watu waongo sana .siwatakiHeading ya hii thread yako ilitakiwa isomeke; Natafuta mume wa kunioa.
Sidhani kama italeta tija tusifikie huku naona mmeamua kumpa shetani nafasi mshindwe na mlegeehongera sana kwa kuandika mama yako simfikii lakini
malaya at work!
Kwenye biblia imeandikwa kila mtu atabeba mzigo wake mwenyewe.Jiongeze,jibidiishe,duwa na maombi pekee havitoshi kutimiza malengo yako,yakupasa kutengeneza mazingira ya kusababisha miujiza itende kazi.nimemtwika mbona haubebi? ataubeba lini?
ahahaa wewe motoni utaenda kwa dhambi zako bwana wewe jipange mbele za Mola wako mimi sihusiki .kila mtu atahukumiwa kwa makosa yake mwenyewe soma maandiko yako vizuriNimenawa mikono my hata mtoto.ukimzaa ukimpa malezi ambayo siyo siku ya mwisho utaulizwa usiposadia wasiojiweza wakati una uwezo utaulizwa amini hivyo
Heeee kumbe mnajuana haya ngoja tuwaachemliniona nae jamani ni rafiki tu
Nimeyasoma nikayaelewa najua ninachokisema shida ipo kwa yule aliyekosa Imani na Mungu wake mpaka nakuja kulia lia kwa binaadamu mwenye mapungufuahahaa wewe motoni utaenda kwa dhambi zako bwana wewe jipange mbele za Mola wako mimi sihusiki .kila mtu atahukumiwa kwa makosa yake mwenyewe soma maandiko yako vizuri