mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,663
- 18,037
Wakati Hofu kuu ilipokuwa imeikumba dunia kutokana na corona, Magufuli alituongoza watanzania kumtanguliza Mungu kwa maombi na Mungu alituponya na kuiondolea mbali kabisa hofu ya corona. Na mawakala wa corona walipotaka kutupandikizia hofu ya corona baada ya kifo cha Magufuli kwa gia ya mawimbi mbalimbali ya corona waligonga mwamba na wakakata tamaa kabisa! Kufikia hapa hata mawakala wakubwa wa corona mashairi ya corona yameshawaishia!! Asante sana Mungu wa Mbinguni kutupatia Rais Magufuli kwa wakati muafaka na kwa JUKUMU MAALUMU. Alipolikamilisha ukampumzisha. Hakuna anayerweza kubatilisha kazi aliyoifanya Magufuli.