Nikiri wazi: Namfahamu shetani

Nikiri wazi: Namfahamu shetani

Ni mahubiri yao...


😛😛😛 Kwa hiyo unatakaa kuniambia Shetani ni dhana. Yaani hadhithi siyo. Wacha ninywa maji kwanza. Ni takuuliza siku nyingine zile hatudhi za kwenye Vitabu vya Imani.
 
😛😛😛 Kwa hiyo unatakaa kuniambia Shetani ni dhana. Yaani hadhithi siyo. Wacha ninywa maji kwanza. Ni takuuliza siku nyingine zile hatudhi za kwenye Vitabu vya Imani.
Kuna kitu kisikuchanganye hapa
Dhana inaweza kuwa halisi au kinyume chake
 
Kuna kitu kisikuchanganye hapa
Dhana inaweza kuwa halisi au kinyume chake

Ebu rudia hiyo mistari yako hapo chini.

''Kwa wale wachangiaji wa kukurupuka watofautishe kati ya kujua na kufahamu
Nakiri wazi kabisa kuwa namjua shetani...huyu kiumbe mbaya kabisa mwenye kutisha na kuogofya hasa.''
 
Ebu rudia hiyo mistari yako hapo chini.

''Kwa wale wachangiaji wa kukurupuka watofautishe kati ya kujua na kufahamu
Nakiri wazi kabisa kuwa namjua shetani...huyu kiumbe mbaya kabisa mwenye kutisha na kuogofya hasa.''
Ni kweli kabisa shida iko wapi hapo?
 
Leo umeweka sawa....umeshirikiana na shetani muda mrefu lakini hujaona manufaa na umetuonya..''shetani ni shetani tuu hata awe na sura nzuri ya kuvutia kama malaika hata akupe kila kitu..sio mwema kwako na daima anania maovu''. Haya ni maneno yako mshana jr
Nikubali kuwa wengi tumemfahamu na kushirikiana naye katika wizi, uzinzi na ushirikina n.k. lakini hii haitoshi kutufanya tukatae kuungama na kuachana naye.
Unaweza kuwa mtu mbaya kwavile ulishirikiana naye sana lakini bado kuna nafasi ya kuachana naye ili kugeukia mema (Mungu ni pendo....tenda wema siku zote ili ushirikiane na Mungu badala ya shetani).
Hongera kwa kumtambua shetani...unaweza kuachana naye karibu kwa sala siku ya sabato upate maombezi ya kuachana mazima na shetani.
 
Dhana ya kiumbe au kiumbe dhana




''Kwa wale wachangiaji wa kukurupuka watofautishe kati ya kujua na kufahamu
Nakiri wazi kabisa kuwa namjua shetani...huyu kiumbe mbaya kabisa mwenye kutisha na kuogofya hasa.''
 
''Kwa wale wachangiaji wa kukurupuka watofautishe kati ya kujua na kufahamu
Nakiri wazi kabisa kuwa namjua shetani...huyu kiumbe mbaya kabisa mwenye kutisha na kuogofya hasa.''
Nimeshafafanua hapo labda kama tu hujaelewa kwakuwa nafikiri hujui hata 'wewe' ni dhana
 
View attachment 393480

Kwa wale wachangiaji wa kukurupuka watofautishe kati ya kujua na kufahamu
Nakiri wazi kabisa kuwa namjua shetani...huyu kiumbe mbaya kabisa mwenye kutisha na kuogofya hasa.

Kwa mara ya kwanza nilimfahamu shetani kupitia maandiko na simulizi kwenye imani imani yangu...nikasoma na kusimuliwa vizuri tu kuhusu hiki kiumbe na jinsi lilivyokaa kimvuto (japo kinatisha sana kwa baadhi ya picha)nikamfahamu shetani kwa njia hiyo
Kilichofuatia ni kumjua shetani...nimekuwa mshirikina waje kwa miaka mingi tumefanya naye kazi pamoja, tuneshirikiana kwenye mengi na nimegundua ni mtu wa aina gani...shetani ni shetani tuu hata awe na sura nzuri ya kuvutia kama malaika hata akupe kila kitu..sio mwema kwako na daima anania maovu.

Hii ni siku ya mapumziko na ya ibada kwa wengine lakini wengi muda huu wako kazini wakishiriana kufanya kazi na shetani..cha kushangaza ukiwaukiza wanaweza kukana kabisa kumjua wala kumfahamu shetani na huu ndio uhalisia wetu UNAFIQUE

View attachment 393483

View attachment 393484View attachment 393485
inabidi uanzishe chuo chako mshana uwe unatoa cheti na diploma kuhusiana na haya masuala,kwani unaweza kuloga,unaweza kumtibu muathirika wa uchawi unaweza kufundisha uchawi na jamii zake nk
 
inabidi uanzishe chuo chako mshana uwe unatoa cheti na diploma kuhusiana na haya masuala,kwani unaweza kuloga,unaweza kumtibu muathirika wa uchawi unaweza kufundisha uchawi na jamii zake nk
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji75] [emoji75] [emoji74] [emoji1]
 
Back
Top Bottom