Nikiri wazi: Namfahamu shetani

Nikiri wazi: Namfahamu shetani

Kwa jinsi ulivyo na mshabiki wengi hapa jf, ukisema unamjua shetani na umefanya nae kazi
Robo tatu yao watamchora picha kwenye mind zao kabisa
popote na katika mazingira yoyote yale tupo naye
1472998117734.jpg
 
View attachment 393480

Kwa wale wachangiaji wa kukurupuka watofautishe kati ya kujua na kufahamu
Nakiri wazi kabisa kuwa namjua shetani...huyu kiumbe mbaya kabisa mwenye kutisha na kuogofya hasa.

Kwa mara ya kwanza nilimfahamu shetani kupitia maandiko na simulizi kwenye imani imani yangu...nikasoma na kusimuliwa vizuri tu kuhusu hiki kiumbe na jinsi lilivyokaa kimvuto (japo kinatisha sana kwa baadhi ya picha)nikamfahamu shetani kwa njia hiyo
Kilichofuatia ni kumjua shetani...nimekuwa mshirikina waje kwa miaka mingi tumefanya naye kazi pamoja, tuneshirikiana kwenye mengi na nimegundua ni mtu wa aina gani...shetani ni shetani tuu hata awe na sura nzuri ya kuvutia kama malaika hata akupe kila kitu..sio mwema kwako na daima anania maovu.

Hii ni siku ya mapumziko na ya ibada kwa wengine lakini wengi muda huu wako kazini wakishiriana kufanya kazi na shetani..cha kushangaza ukiwaukiza wanaweza kukana kabisa kumjua wala kumfahamu shetani na huu ndio uhalisia wetu UNAFIQUE

View attachment 393483

View attachment 393484View attachment 393485
naomba upige picha ukiwa na shetani, ikiwezekana selfie afu utupie humu
 
Kaka lengo ni kuwekana sawa na kusahihishana.

Naanzia hapa.Hivi hii kauli yako isemayo "Namjua Shetani" unamaanisha au unatania?Hili swali ni la msingi sana mintarafu kile ulichokiwasilisha hapa.

Pili shetani ni sifa,kwayo anaweza kuwa nayo binadamu na kadhalika jini.

Ulipoziwasilisha hizi picha kuna maswali kadha wa kadha nimejiuliza.Je muwasilishaji amekusudua kutupa mfano wa shetani au ?Je nani amewahi kumpa taswira ya shetani?Je ni kweli anaweza au eshawahi kumuona shetani katika umbile lake la asili?Bila shaka hawezi,kwa kuwa ukweli ni hawezi bila shaka hizi picha ni za kuchora na kwanini muwasilishaji atuwekee picha za kubuni ?
Bila shaka anachezea akili za watu katika vitu vya kielimu tena vyenye kuhitaji umakini wa dharura yaani umakini mkubwa sana tena wakupigiwa mfano.

Turudi hapa sasa.Je muwasilishaji unamkusudia shetani wa kijini au wa kibanadamu?Swali hili halihitaji jibu kutoka kwako.Bila shaka unamkusudia shetani wa kijini.

Kaka humjui shetani seuze kumfahamu.
Safi sana umeandika kitu kizuri na cha kufikirisha akili ila tusifananishe mzimu na malaika! Shetani ni shetani na jini ni jini japo wote ni wa uzao mmoja
 
Kwaaujumla huyu jamaa ni muongo mkubwa, kwayeye kusema anamjua shetani na kumfahamu,sheteni kwaujumla ni maraika mwenye upendo mkubwa kwa mungu wake na waliumwengu ila anachukia mwanadamu mwenye zarau na ambae hajitumi na hataki mwanadamu mzembe,kwahiyo,mtu anaesema eti shetani ni mbaya huyo ni mzembe kwa kila jambo
 
Kweli shetani wa kijini amejaaliwa uwezo wa kujibadilisha katika maumbo shata ( yaani tofauti ),na mara nyingi sana huwa anajibadilisha katika umbile la mbwa mweusi au nyoka mweusi,ila kuna umbile kamwe hawezi kujibadili akawa katika umbile hilo.

Umbo gani hilo mkuu, wakati anaweza kujibadilisha kua hata malaika wa nuru
 
Km anavaa umbo lako je ni wapi ameishafanya uhalifu alafu wakasema ni wewe? Jamani mm namtetea Sana huyu maraika kwa moyo mweupe kwamba hanaga tatizo na nimzuri saana ila hataki uzembe anapenda kazi ya kujituma saana na anapenda ibaada mno
 
We jamaa una psychopathology, una delusion of religiosity, delusion of grandiosity,visual hallucination na illusions.....kanywe dawa inaitwa haloperidol uone kama utaendelea na hizo dalili mkuu
 
Back
Top Bottom