Nikiri wazi: Namfahamu shetani

Nikiri wazi: Namfahamu shetani

Mkuu mshana jr nakuelewa sana
Vipi shetani yeye anazungumziaje kuhusu mungu au ( kristo?) Tupe darada kidogo mkuu
 
Huyu jamaa anejiita mshana wa kazoba kanyamuanga.....kajichagulia staili yake flan humu ndani.....Muda sio mrefu utapata wafuasi kibao.
 
Ninavyojua, kutajataja kitu mara kwa mara maana yake kitu hicho kinamatokeo ndani yako, haijalishi matokeo chanya ama hasi!
Kumtajataja shetani ni sawa na kumpa nguvu azidi kukutawala kifikra iwe kutaja ukiwa kanisani, msikitini ama mahali popote!
 
Mkuu mshana jr nakuelewa sana
Vipi shetani yeye anazungumziaje kuhusu mungu au ( kristo?) Tupe darada kidogo mkuu
Kuna huu wimbo ulihit sana miaka ya 80.....mojawapo ya beti zake hii hapa
.....wewe wasema Mungu yupo ni kweli....! Na shetani naye anasema hivyo hivyo tena kwa kutetemeka...!
 
Mkuu mshana jr Shetani ana Rangi gani? . Binadamu wako weusi na Weupe je kuna mahusiano ya Rangi zetu na uwapo wa shetani na Muumba kwa minajili ya utofauti kwenye Rangi.
Shetani ni dhana ni matendo ni fikra sio umbo sio sura ndio maana kuna mdau hapo akachagiza kwa kutaka picha halisi ya shetani badala ya hizi za kuchora
1472995935036.jpg
 
Hivi ungekuwa unamjua ungeleta picha za kuchora?
Mshana kuwa mkweli bwana
Mbona taarifa kutoka kwenye maandiko zinasema hauonekani wala hashikiki?
 
Back
Top Bottom