Nikiri wazi: Namfahamu shetani

Nikiri wazi: Namfahamu shetani

chabuso umetafsiri akili kwa kiingereza ila hujatoa maana... Halafu umehukumu bila kuwa na misingi na ithibati... Hebu calm down... Tuelimishane taratibu na kwa weledi huna haja ya kupaniki my brother
😊😊, Mkuu mimi sio mtu wa kupanik kirahisi, Umeuliza nini maana?

Nimekujibu kuwa Akili ni uwezo wa mtu kukutumia kiuungo cha mwili kinachoitwa UBONGO..

Nikakutolea na mifano ya watu walioweza kutumia Ubongo wao kwa ufanisi wa hali ya juu kuliko wengine..

Sasa ukisikia mtu ana Akili ndogo maana yake ni kuwa mtu huyo hatumii Ubongo wake ipaswavyo

Na wale wenye akili nyingi ni watu ambao wanatumia Ubongo wao Kwa ufanisi zaidi, wanafikiri zaidi, wanachunguza zaidi, watafute zaidi, wanawaza zaidi, wautuma Ubongo wao kama wanavyovituma viungo vyengine vya mwili wao..

Wale watu ambao mpaka hii leo bado wanaamini mambo ya uchawi, uganga, miujiza, nk, ni watu ambao hawautumii Ubongo wao kisawasawa
 
Wale watu ambao mpaka hii leo bado wanaamini mambo ya uchawi, uganga, miujiza, nk, ni watu ambao hawautumii Ubongo wao kisawasawa [emoji117][emoji117][emoji117]ok sawa nimekuelewa
[emoji4][emoji4], Mkuu mimi sio mtu wa kupanik kirahisi, Umeuliza nini maana?

Nimekujibu kuwa Akili ni uwezo wa mtu kukutumia kiuungo cha mwili kinachoitwa UBONGO..

Nikakutolea na mifano ya watu walioweza kutumia Ubongo wao kwa ufanisi wa hali ya juu kuliko wengine..

Sasa ukisikia mtu ana Akili ndogo maana yake ni kuwa mtu huyo hatumii Ubongo wake ipaswavyo

Na wale wenye akili nyingi ni watu ambao wanatumia Ubongo wao Kwa ufanisi zaidi, wanafikiri zaidi, wanachunguza zaidi, watafute zaidi, wanawaza zaidi, wautuma Ubongo wao kama wanavyovituma viungo vyengine vya mwili wao..

Wale watu ambao mpaka hii leo bado wanaamini mambo ya uchawi, uganga, miujiza, nk, ni watu ambao hawautumii Ubongo wao kisawasawa
 
Back
Top Bottom