Mshana jr,vitabu vya dini vinatuambia kuwa shetani (lucifer)alikuwa muimbaji mkuu kule mbinguni,hivyo tunaamini alikuwa na sura nzuri pia,sasa inakuwaje picha zake mnatuletea za kutisha hivi?na je shetani alikuwa black?maana sijaona mchoro wa shetani akiwa mzungu.