Haya ni mazoezi ya kuimarisha uso huko china ambapo nilipitia. Hapa ni kudhibiti kicha miiba na misumari katika hali yoyote ile. Ni intro tu ya kozi. Ukiona ya kupambana na deraya (maji ya kuwasha) si utatoa macho yote. Achaaaaaaa.Hahahhaaa hiyo avatar yako mkulu
mama yako huyoPicha ya eve inasisimua sio siri
Hivi ungekuwa unamjua ungeleta picha za kuchora?
Mshana kuwa mkweli bwana[emoji1]
Mbona taarifa kutoka kwenye maandiko zinasema hauonekani wala hashikiki?
View attachment 393480
Kwa wale wachangiaji wa kukurupuka watofautishe kati ya kujua na kufahamu
Nakiri wazi kabisa kuwa namjua shetani...huyu kiumbe mbaya kabisa mwenye kutisha na kuogofya hasa.
Kwa mara ya kwanza nilimfahamu shetani kupitia maandiko na simulizi kwenye imani imani yangu...nikasoma na kusimuliwa vizuri tu kuhusu hiki kiumbe na jinsi lilivyokaa kimvuto (japo kinatisha sana kwa baadhi ya picha)nikamfahamu shetani kwa njia hiyo
Kilichofuatia ni kumjua shetani...nimekuwa mshirikina waje kwa miaka mingi tumefanya naye kazi pamoja, tuneshirikiana kwenye mengi na nimegundua ni mtu wa aina gani...shetani ni shetani tuu hata awe na sura nzuri ya kuvutia kama malaika hata akupe kila kitu..sio mwema kwako na daima anania maovu.
Hii ni siku ya mapumziko na ya ibada kwa wengine lakini wengi muda huu wako kazini wakishiriana kufanya kazi na shetani..cha kushangaza ukiwaukiza wanaweza kukana kabisa kumjua wala kumfahamu shetani na huu ndio uhalisia wetu UNAFIQUE
View attachment 393483
View attachment 393484View attachment 393485
[emoji23] [emoji23] [emoji23] wengi hatujui kuwa shetani ni mtu wa kula sana bata...labda huyo ni shetani wake!
!
yupo kiongozi mmoja wa ngazi za juu sana pia anamjua mno shetani. Aliwahi kusema atawashusha watu wanaoishi kama malaika ili waishi kama mashetani. Hivi maisha ya shetani yakoje mshana jr
Kumtambua au kutomtambua Mungu hakumfanyi Mungu kutokuwepo we jifariji wee lakini pindi unapokufa ndipo utapogundua wewe sio mbuzi au kuku bali ni "mwanadamu"No God no Evil.. Be Atheist u wil enjoy your life forever..usijiingize kwenye mambo mawili hapa Duniani. DINI NA SIASA..utakufa bila kuenjoy duniani..wakati ukifa umekufa ndugu..