umenijeruhi mbavu mshana jrHebu weka yako kwakuwa hata wewe ni shetani mwenye sura ya binadamu [emoji15] [emoji3]
Kheri kakaBora salama Kaka
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sio mijanamke ya siku izi ina vitambi, midomo inanuka papuchi zinanuka mwili umetepeta ukipiga moja tuu hutaki tena
Wanajua kuomba ela tuuuu
Picha ya eve inasisimua sio siri
Ila wengine ni story tu, ukiwa na mpenzi jini ni ngumu mno kutangazaKuna jamaa aliniambia mapenzi na majini ni mazuri sana na akadai ana mafuta adimu na wudi anavyovitumia kumwita mpenzi wake shetani hilo jini. Dunia ina mambo na watu wanafunguka sana miaka hii siyo siri tena.
Nasikia majini hayapendi uwe na michepuko.Ila wengine ni story tu, ukiwa na mpenzi jini ni ngumu mno kutangaza