Nikimwambia nampenda, najibiwa "K, thanx"!

Nikimwambia nampenda, najibiwa "K, thanx"!

Hujui kusoma hata picha huoni??huyo KAKUCHOKA!
 
Ilitakiwa ukisema i love u nae ajibu i love u 2 au vp. Hebu jaribu kumtukana mwambie k*** zako akirejesha jibu k*** zako mwenyewe na majibu mengine ya kulalamika ujue anakupenda ilikuwa bahat mbaya ila still akikujibu kwa shortcuts sjui k thx sio mzima hakupendi

daah nmeishia kucheka tu, asante mkuu
 
Habari zenu wanaJf,

Ebana mimi nna girlfriend, nimedumu nae almost mwaka mzima sasa, lakini kila nikimwambia nampenda au nimemmiss huwa najibiwa majibu kama k, thanx.

Kiukweli haya majibu ya mkato yananikera kweli, na yanakatisha tamaa.

Naombeni ushauri wanaJf

Nifanyaje?


Kwani wewe ulitegemea akujibu vipi?
 
Habari zenu wanaJf,

Ebana mimi nna girlfriend, nimedumu nae almost mwaka mzima sasa, lakini kila nikimwambia nampenda au nimemmiss huwa najibiwa majibu kama k, thanx.

Kiukweli haya majibu ya mkato yananikera kweli, na yanakatisha tamaa.

Naombeni ushauri wanaJf

Nifanyaje?

Waswahili wanasema "Mwenye macho haambiwi tazama." Kutokana na maelezo uliyotoa hapo juu ni dhahiri kuwa huyo mwanamke hana hana upendo wa kweli kwako na wala haoni thamani yako wala umuhimu wako kwake. Kumbuka, unaweza kumpeleka ng'ombe mtoni anywe maji lakini kamwe huwezi kumlazimisha ayanywe hayo maji.
 
Waswahili wanasema "Mwenye macho haambiwi tazama." Kutokana na maelezo uliyotoa hapo juu ni dhahiri kuwa huyo mwanamke hana hana upendo wa kweli kwako na wala haoni thamani yako wala umuhimu wako kwake. Kumbuka, unaweza kumpeleka ng'ombe mtoni anywe maji lakini kamwe huwezi kumlazimisha ayanywe hayo maji.

umesema kweli young master
 
this remind me how my boysfriend used to do, at first he used to tect me like flowing water bt at the and of the time he told me he is busy thus y he cant type any more but at the and of the time we broke
 
Acha kumwambia, we kaa kimya. Kwanz ulishawahi kumwambia kuwa hupend hyo tabia yake ya kukujibu hvyo!? Na alikujbu nn
 
this remind me how my boysfriend used to do, at first he used to tect me like flowing water bt at the and of the time he told me he is busy thus y he cant type any more but at the and of the time we broke

U remind me some thing,I huess u were mine previous 💗💓💖
 
Back
Top Bottom