Jarib kumuambia unamchukia...akikujibu k, thankx....jiulize.
Habari zenu wanaJf,
Ebana mimi nna girlfriend, nimedumu nae almost mwaka mzima sasa, lakini kila nikimwambia nampenda au nimemmiss huwa najibiwa majibu kama k, thanx.
Kiukweli haya majibu ya mkato yananikera kweli, na yanakatisha tamaa.
Naombeni ushauri wanaJf
Nifanyaje?
Habari zenu wanaJf,
Ebana mimi nna girlfriend, nimedumu nae almost mwaka mzima sasa, lakini kila nikimwambia nampenda au nimemmiss huwa najibiwa majibu kama k, thanx.
Kiukweli haya majibu ya mkato yananikera kweli, na yanakatisha tamaa.
Naombeni ushauri wanaJf
Nifanyaje?
Bora wewe unajibiwa "thanks" mimi najibiwa "10x". Vumilia tu mkuu
Habari zenu wanaJf,
Ebana mimi nna girlfriend, nimedumu nae almost mwaka mzima sasa, lakini kila nikimwambia nampenda au nimemmiss huwa najibiwa majibu kama k, thanx.
Kiukweli haya majibu ya mkato yananikera kweli, na yanakatisha tamaa.
Naombeni ushauri wanaJf
Nifanyaje?
Kuna watu mna mioyo migumu humu balaa..mwanamke sio lazima akuambie hakutaki live..
Jibu unalo moyoni lakini hutaki kuamini. Subiri nikusaidie....Huyo dada hakupendi
Mkuu nawe ni teenager?? Teenager conversations : xaxa, xory, k, xana..... Very boring
Anyway ebu punguza mawasiliano au mchunie uone kama atakutafuta[/QUO
boring sana, poa ntajarb
ata me na wangu alinijib ivo mwanzon mwa mahucano'na nko mwaka mmoja na nusu af miez kaa nane iv cjamwambia nmemic mpak aseme yy
Mwambie k welcome. Ukimaliza punguza mawasiliano kwa muda wa mwezi jikaze kisabuni hata kama umemmiss. Akikupigia kuwa brief tu kama upo busy fulani. Na wewe majibu ya k, later! Nite! Morning...! Then piga kimya. kama una umuhimu kwake atakutafuta. Asipokutafuta akajishusha then umepata jibu. U r giving her too much attention na anajua upo tu umekolea sana u can't do nothing! Step back and see... let her miss and appreciate you!