Nikimwambia nampenda, najibiwa "K, thanx"!

Nikimwambia nampenda, najibiwa "K, thanx"!

Habari zenu wanaJf,

Ebana mimi nna girlfriend, nimedumu nae almost mwaka mzima sasa, lakini kila nikimwambia nampenda au nimemmiss huwa najibiwa majibu kama k, thanx.

Kiukweli haya majibu ya mkato yananikera kweli, na yanakatisha tamaa.

Naombeni ushauri wanaJf

Nifanyaje?

Dogo mwambie mwenyewe ili ajuwe hisia zako. Hata ukipata ushauri wa kumuacha sio kama umesolve problem, kama umeweza kumwambia unampenda basi najua unaweza kumwambia. Kwanini hajibu anakupenda pia anamalizia na k and thanks?
 
Dogo mwambie mwenyewe ili ajuwe hisia zako. Hata ukipata ushauri wa kumuacha sio kama umesolve problem, kama umeweza kumwambia unampenda basi najua unaweza kumwambia. Kwanini hajibu anakupenda pia anamalizia na k and thanks?

nimekusoma vzur mkuu
 
Mm kama demu nikimtaka anakuja nimgonge ...ata aitikie vp ....i don't care
 
Habari zenu wanaJf,

Ebana mimi nna girlfriend, nimedumu nae almost mwaka mzima sasa, lakini kila nikimwambia nampenda au nimemmiss huwa najibiwa majibu kama k, thanx.

Kiukweli haya majibu ya mkato yananikera kweli, na yanakatisha tamaa.

Naombeni ushauri wanaJf

Nifanyaje?

Geuza maandishi ya ubao. mwambie humpendi na isipomuona wala hummic then skilizia atakujibu vp
 

Whichever her reasons may be, one thing for sure is,
The relationship is boring!
Ila sababu zinaweza kuwa;
a) Kakuchoka tu, "what u have offer is not enough for what she needs in a boyfriend"(kama wewe ni boyfriend version 1.0 anahitaji boyfriend version 2.0 or higher)
b) Kachoka style yenu ya mambo ya sasa
c) She is lurking upon a potential relationship but she is not confident in him so she can't let u go YET.
d) She might be going through some stuff na akili yote iko huko kiasi kwamba umuhimu wa uhusiano kwake umepungua.

Whatever the reason is, it'll leave you with two options;
1) Kama unampenda sana sana na unadhani she is the one. Basi kuwa naye karibu sana na umchunguze u might find out the reason, uwe tayari kumsaidia arudi kwenye uhusiano ama ku let go if things go wrong.
2) Kama ni mpitaji just get the hell out, u don't want to go down that road dude!

At least we umemjibu kiungwana
 
Mwambie tu hupendi hayo majibu. Mimi wangu tulikua kwenye good terms alikua anapenda kujibu hivyo hivyo "K"
Nikamkataza akanyooka.
 

Whichever her reasons may be, one thing for sure is,
The relationship is boring!
Ila sababu zinaweza kuwa;
a) Kakuchoka tu, "what u have offer is not enough for what she needs in a boyfriend"(kama wewe ni boyfriend version 1.0 anahitaji boyfriend version 2.0 or higher)
b) Kachoka style yenu ya mambo ya sasa
c) She is lurking upon a potential relationship but she is not confident in him so she can't let u go YET.
d) She might be going through some stuff na akili yote iko huko kiasi kwamba umuhimu wa uhusiano kwake umepungua.

Whatever the reason is, it'll leave you with two options;
1) Kama unampenda sana sana na unadhani she is the one. Basi kuwa naye karibu sana na umchunguze u might find out the reason, uwe tayari kumsaidia arudi kwenye uhusiano ama ku let go if things go wrong.
2) Kama ni mpitaji just get the hell out, u don't want to go down that road dude!
Aisee siku hizi kuna mambo eti version 2. Kwa hiyo unataka kusema jamaa drives zake haziinngiliani na version mpya ya oerating system ya mpenzi wake kwa hiyo ajiupdate?
 
wewe unabahati xana mimi naambiwa
p
ndo kushnei wee endelea nae mpaka kieleweke 2jue msiba huo utakuwa wa nani
 
Aisee siku hizi kuna mambo eti version 2. Kwa hiyo unataka kusema jamaa drives zake haziinngiliani na version mpya ya oerating system ya mpenzi wake kwa hiyo ajiupdate?

Ndo hivyo mkuu, kama huyo girl wake alikuwa anafurahia hela za jamaa, swaga, sehemu anakompeleka na vitu wanavyoenjoy. Kashazoea, sasa anataka vitu vya juu zaidi ya jamaa anavyoprovide. Kuna two options tu, jamaa apambane ameet new requirements ama amwachie anayeweza kumeet requirements achukue mzigo. Chungu kumeza lakini dunia ya sasa ndo inazunguka hivyo!
Honestly me ikinifika namwacha tu akaenjoy life, ya nini kumbania mtoto wa watu?

Women, unlike men who when in need of something struggles to get it, have two options. Either they struggle to get it or they find a man who can get it for them.
 
kijana usiogope wala usikatishwe tamaa na ushauri unaopewa humu

huyo ni wako anakupenda sana we muonyeshe upendo mambo mengine yatakaa sawa

kila la kheri

Acha kumshauri mwenzako apoteze muda
 
Back
Top Bottom