Acha kudate na watoto.
Tafuta watu wazima wenzako.
Mkuu nimelipenda ilo jibu
Acha kudate na watoto.
Tafuta watu wazima wenzako.
Yaani mwaka mzima unamwambia unampenda anajibu hivyo na wewe upo tu..
Acha kudate na watoto.
Tafuta watu wazima wenzako.
Habari zenu wanajf,
Ebhana mimi nna girlfriend, nimedumu nae almost mwaka mzima sasa, lakn kila nikimwambia nampenda au nimemmiss huwa najibiwa majibu kama k, thanx, kiukweli haya majibu ya mkato yananikera kweli, na yanakatisha tamaa, naomben ushaur wanajf nifanyaje???
bado nampenda, nlijua ipo cku atabadirika, lakn n yale yale tu kla cku
Habari zenu wanaJf,
Ebana mimi nna girlfriend, nimedumu nae almost mwaka mzima sasa, lakini kila nikimwambia nampenda au nimemmiss huwa najibiwa majibu kama k, thanx.
Kiukweli haya majibu ya mkato yananikera kweli, na yanakatisha tamaa.
Naombeni ushauri wanaJf
Nifanyaje?
xhukuran kwa ushaur mkuu
Habari zenu wanaJf,
Ebana mimi nna girlfriend, nimedumu nae almost mwaka mzima sasa, lakini kila nikimwambia nampenda au nimemmiss huwa najibiwa majibu kama k, thanx.
Kiukweli haya majibu ya mkato yananikera kweli, na yanakatisha tamaa.
Naombeni ushauri wanaJf
Nifanyaje?
Yupo au wapo anae/wanaojibiwa majibu mazuri....fanya kukakaushia wiki kakikaa kimya chapa lapa sio kako hako
Yaani mwaka mzima unamwambia unampenda anajibu hivyo na wewe upo tu..
Wewe huwa unajibu vipi?
Ha ha ha haya mpendwa
boring conversations .......