God's son pzoo
Member
- Oct 10, 2015
- 59
- 1
- Thread starter
- #121
Mwambie k welcome. Ukimaliza punguza mawasiliano kwa muda wa mwezi jikaze kisabuni hata kama umemmiss. Akikupigia kuwa brief tu kama upo busy fulani. Na wewe majibu ya k, later! Nite! Morning...! Then piga kimya. kama una umuhimu kwake atakutafuta. Asipokutafuta akajishusha then umepata jibu. U r giving her too much attention na anajua upo tu umekolea sana u can't do nothing! Step back and see... let her miss and appreciate you!
we genius mkuu, nmekuelewa sana, ngoja nfanyie kazi