Art
JF-Expert Member
- Nov 13, 2015
- 611
- 88
Habari zenu wanaJf,
Ebana mimi nna girlfriend, nimedumu nae almost mwaka mzima sasa, lakini kila nikimwambia nampenda au nimemmiss huwa najibiwa majibu kama k, thanx.
Kiukweli haya majibu ya mkato yananikera kweli, na yanakatisha tamaa.
Naombeni ushauri wanaJf
Nifanyaje?
Sasa unahangaika naye wanini? Hapo atakuwa anawaambia wenzake kuwa kuna limtu linajipendekeza haswa. Achana na huyo binti.