Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Status
Not open for further replies.
spade4spade ALIKUA akishangaa anasema Hii SI NI VITA?
mwallu akamwambia kweli Hii Ni vita!

Kwa heshima yako kaka....nasitisha vita hii kwa muda usiojulikana....kwa mume wangu Mentor.....chepuka tu utakavyo...hamhitaji kujificha we na Khantwe......kwa Khantwe....ukiachika nitafanya party... miss neddy nzunae.....nasafiri kidogo...nahitaji mapumziko mafupi
 
Last edited by a moderator:
Eti haki yake kuingilia ndoa yangu....nayo ape we eti


Mmmh dada yang una maneno?! Haya! Huyo nkwela wangu Mentor hamchokozi wifi YENU? AU ni nani ALIKUA anataka ampeleke chimbo mpnz wangu Khantwe ????


Kesho tukutane Kwa mama tuyaongee Maana KM nkwela YEYE Ni SHIRIKALE MIMI NI NTUNGABUTI! nani akokindwa ahene!?!
 
Last edited by a moderator:
yaaani Ntuzu kalishwa vya kulishwa



Hayo Ndio matatizo ya Madada! Nikimpenda mke wangu WANASEMA nimelishwa!

Mbona Wewe MURA alitaka kumpiga mama alipokuja kuwasalimia Na Wewe hukumtetea mama AU Na Wewe MURA KAKULISHA VYA KULISHWA?
 
Last edited by a moderator:
Vas tu skin tite diana hizi tu za buku tatu inayobana wastan yatakaza mipia ni muathirika wa hilo ila navaa hivo na nakuwa fiti
 
Hayo Ndio matatizo ya Madada! Nikimpenda mke wangu WANASEMA nimelishwa!

Mbona Wewe MURA alitaka kumpiga mama alipokuja kuwasalimia Na Wewe hukumtetea mama AU Na Wewe MURA KAKULISHA VYA KULISHWA?

Noo... miss neddy mdogo wetu tunatakiwa Kuwa mfano kwake....Halafu haya ya mama yetu tukayaongelee chemba
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom