mwallu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 6,787
- 4,215
mambo!
umeamkaje mamii?
Safi....habari yako Shem?
mambo!
umeamkaje mamii?
Ah mazafanta...wife nimekukubali...!
Good morning to you...
Anakaba hadi penati
Aisee mkuu Bujibuji mi nilikuwa najua we ni ME kumbe ni KE?
Haya"Shake your ASSet" in davido voice
Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
Ah mazafanta...wife nimekukubali...!
Good morning to you...
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.
Morning...
Nakuangalia tu...baadae tusilaumiane
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.
Halafuuu mimi na wewe ni wa kushindwana jambo kweli!???
Shikamoo mawowowo mtikisiko.
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.
Mmmmmmh!?!!