Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Status
Not open for further replies.
nitumie picha nione tatizo lako alafu nikupe dawa yake…
 
Ukivaa hizo nguo zitakusaidia sana.
 

Attachments

  • 1405024857519.jpg
    1405024857519.jpg
    8.1 KB · Views: 378
Umeumbwa hivyo, kwa nini utake kuwa ambavyo sio wewe? wanaokupigia miluzi maana yake wamekukubali una shape ya kiafrika. Kama wasisitizam, fanya mazoezi ya kuchoma mafuta. Kama una kauwezo, jiunge na Gym yeyote upewe "cardio" ya makalio. Ni zoezi la kuchoma mafuta ya mwilini, maeneo hayo. Sasakuna uwezekano ukawa na ishu tena na instructor wako kama ni mwanaume.
 
Umeumbwa hivyo, kwa nini utake kuwa ambavyo sio wewe? wanaokupigia miluzi maana yake wamekukubali una shape ya kiafrika. Kama wasisitizam, fanya mazoezi ya kuchoma mafuta. Kama una kauwezo, jiunge na Gym yeyote upewe "cardio" ya makalio. Ni zoezi la kuchoma mafuta ya mwilini, maeneo hayo. Sasakuna uwezekano ukawa na ishu tena na instructor wako kama ni mwanaume.

hata mtoa mada ni mwanaume hamna ishu hapo
 
Sasa makalio yasitikishike ili iweje, ukikosa soko? Bongo hii, hutaki kutunzwa kama kina nanihii?
 
Oh Gilesiiiii!!!!!

Khantwe...na huku wifiyo mwallu wanapita ama tunaeza endeleza huku huku!?>??
 
Last edited by a moderator:
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.

Aisee mkuu Bujibuji mi nilikuwa najua we ni ME kumbe ni KE?
Haya"Shake your ASSet" in davido voice


Sent from my iPad Air using JamiiForums mobile app
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom