Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Nifanyeje mat'ako' yasitingishike nitembeapo?

Status
Not open for further replies.
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.
aiseeeee..........!!!!!!!!!!
 
Kwa heshima yako kaka....nasitisha vita hii kwa muda usiojulikana....kwa mume wangu Mentor.....chepuka tu utakavyo...hamhitaji kujificha we na Khantwe......kwa Khantwe....ukiachika nitafanya party... miss neddy nzunae.....nasafiri kidogo...nahitaji mapumziko mafupi

ohoooops my dada nitakumisije waniachaje alone
 
Last edited by a moderator:
Wewe hapo
Sijui ulikunywa siku hizo?
mwallu my dear, tell me the truth..! what are you guys talking about here?
kuna ka-vitz na ist hapa nataka nikutumie kwa m-pesa!
hebu niambie nini kinaendelea hapa eenh!
 
mwallu my dear, tell me the truth..! what are you guys talking about here?
kuna ka-vitz na ist hapa nataka nikutumie kwa m-pesa!
hebu niambie nini kinaendelea hapa eenh!

We missed you Shem.....that's the truth
 
We missed you Shem.....that's the truth

oh! really? but i got your sister hanging up with another man confidently!
what do you about that? sukuma tradition allows that?
 
oh! really? but i got your sister hanging up with another man confidently!
what do you about that? sukuma tradition allows that?

Really? My lil sis has manners bana....maybe she got a bit lonely and decided to flirt ...am sure it was nothing serious
 
weka pic
maana skintyt tatu badoo?
nimeimagine nimechemka.
ila yakupasa ushukuru kwa aliye kuumba
 
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.

Tatizo dogo sana hilo uwe unavaa khanga moko bila chochote yataacha kutikisika.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom