Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,783
- 40,566
wapi sheik Kipozeo?
jamaa anavyopenda mat'ako makubwa kama ya buji angechanganykiwa
wapi sheik Kipozeo?
Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.
mnaosema bu@bujibuji ni mwanaume thibitisheni!!
Jamaa ni mwanaume na tumeshakutana nae mara nyingi tu kwenye shughuli za JF DAR Wing....hii ni ajali tu imemkumba.
nisaidie pliz nataka ku mp mtu maelezo sijawai kufanya hivyo!
Sijakuelewa mkuu....unataka kutuma PM na hujui au tatizo lako ni lipi hasa
Jamaa ni mwanaume na tumeshakutana nae mara nyingi tu kwenye shughuli za JF DAR Wing....hii ni ajali tu imemkumba.
Ndio mkuu nataka kutuma pm na sijui ila si kwa bujibuji nina shida na member mmoja humu!
still tunapendekeza Mchambuzi kupewa hicho cheo, maana kila mtu hapa aliyesema ni OPINION zake na sio muamuzi wa mwisho ! kwa hiyo sio vibaya wanaJF mkiendelea kutoa maoni yenu yawe aidha kumuunga mkono Mchambuzi au kumponda, napenda kusema kwamba katika watu waliochangia hii mada hakuna yeyote ambaye aliyekuwa muamuzi wa mwisho ni opinion zao tu !
still tunapendekeza Mchambuzi kupewa hicho cheo, maana kila mtu hapa aliyesema ni OPINION zake na sio muamuzi wa mwisho ! kwa hiyo sio vibaya wanaJF mkiendelea kutoa maoni yenu yawe aidha kumuunga mkono Mchambuzi au kumponda, napenda kusema kwamba katika watu waliochangia hii mada hakuna yeyote ambaye aliyekuwa muamuzi wa mwisho ni opinion zao tu !
We acha tu mkuu. wengine na namba za simu tulitoa kabisa.
nenda kuna sehem imeandikwa Private message then kuna sehem ya send new message
then itakuja recipient unaemtumia tittle y amessage kwenye body ni message yenyewe then
una submit
bado na wewe na siku ajali ikikukumba unishtue nije kukuokoa
nenda kuna sehem imeandikwa Private message then kuna sehem ya send new message
then itakuja recipient unaemtumia tittle y amessage kwenye body ni message yenyewe then
una submit
thanx my dia! japo kwangu inakuja tofaut najaribu ku pm wewe kama itakubali!
thanx my dia! japo kwangu inakuja tofaut najaribu ku pm wewe kama itakubali!
nilikuwa sijasoma post yako hapo juu kumbe heaven on earth mkeo ndo mana umepanic!!!!polesay what???????