Nilikua ninampango nawewe but kwa hali hii nimeghairi
Hatari sana hii aisee! watu tulizama pm kumbe tunamuimbisha bujibuji?
Ayaache hivyo hivyo......We yaache yatingishike tu kwani unayatingisha makusudi wengine ndo raha yetu hiyo kuona yakitingishika
Paka mafuta ya kimbo ...teh teh
Pole mkuu! Hawa mods sa zingine wana masifa sana bana.....sasa ndio nini hii kuumbuana hivi?:coffee:Nina mwili WA kawaida kabisa, ILA huko nyuma Nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika Sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means JF mwenzenu.
Ha ha ha uliona mbali mzee....
duuuh mtu mzima kaadhirika leo
Mods fungeni uzi bana, sio fresh
Kwa nini ufungwe? wengine ndo kwanza tunauona, haya nambie nini kinaendelea manake sielewi!
Huu uzi uliletwa kitambo na ''Gilesi'', ghafla jana ukaungwa na almaaruf Bujibuji ambae tunaamini ni man(mambo ya multiple IDs), sasa hapa hakuna tena ushauri watu wanatoa juu ya Makalio ya ''Gilesi'', bali ni personal attack