Asprin
Platinum Member
- Mar 8, 2008
- 68,273
- 96,401
Naku pm I hope sio kidume lol
komredi, hizi ID zenye majina ya mvutomvuto unatakiwa uchunge sana PM zako za utongozaji.
Naku pm I hope sio kidume lol
Naku pm I hope sio kidume lol
komredi, hizi ID zenye majina ya mvutomvuto unatakiwa uchunge sana PM zako za utongozaji.
Wee sio kila mtu jike dume usinipeperushie ndege angu mwache akujeee
Hata hii mizinga mnalalamika wanawake wanapiga kumbe mnatusingizia tu
Hahahaha keimamae zako walah....
Machale yananicheza, unaweza kuwa Zinduna weye.
Naku pm I hope sio kidume lol
Na ID yangu ya gfsonwin nimeipumzisha sasa na-move na ingine ya masai dada ...gusa unase!!!
Wee sio kila mtu jike dume usinipeperushie ndege angu mwache akujeee
hahahahaha......yafunge na manati
Mhhhhh! Haya banaaaa mie nilidhani siku zote weye ni njemba kumbe ni mdada....Yaache tu yatingishike yakiwa magumu hayatingishiki utarudi hapa tena kulalama, "Matak_ yangu magumu sana hayatingishiki, nifanyeje ili yatingishike?"
hahahahaha......
Bujibuji imekuaje tena....
kama ulikua unabadnduliwa ndo hasara zake hizonina mwili wa kawaida kabisa, ila huko nyuma nina mzigo mzito, laini, kiasi kwamba unatingishika sana nitembeapo. Naona aibu kwani nashangiliwa na kupigiwa miluzi.
Nimejaribu kuvaa skin tight zaidi ya tatu kwa pamoja ili kukaza nyama zisitingishike lakini haisaidii.
Nimejaribu aina mbalimbali za mazoezi lakini bado tatizo liko palepale.
Nisaidieni means jf mwenzenu.