Poa basi nimeelewa mkuu
Bado kanuna?
Poa basi nimeelewa mkuu
Poa basi nimeelewa mkuu
Raha mno, ndo maana mtu akinuniwa lazma aombe ushauri
Rafiki si nimekumbia usiniite jaman
Siwez kuona au kusikia hii kitu huyu Dada kapitiliza ujasiri na hata mshipa wa aibu ndo mana alikataa kusema tatizo
Amshukuru hyo mumewe ambaye kajaliwa busara na hekima mwingine angemtegeua nyonga .....michepuko sio dili jaman aache uhuni
Sielewi tatizo ni nini..inatia hasira tamaa za kishenzi hizi....
Unatema bigijii kwa karanga ya kuonjeshwa
siku nyingne usirudie utoto kama huo hyo inakuwa kama dhara. Ina maana urafki huo mlianza hyo siku?? Urafiki gan wa mwanamke na mwanaume tena mke wa mtu?? Ipo siku utakuja kuumia kwa kukosa maarifa.... Kwann asijulikane sku zote kama rafiki na ajulikane sku ya birthday??
Omba msamaha tu then muache hasira zikipungua mtakuwa vizuri
kwanini hutaki usiku anune kwani mvua inanyesha?
Lala uchi uku umeinama
Haijalishi kosa, Mwanaume anaekupiga hana haya.
Na kama amekupiga mara ya kwanza his more likely to repeat again.......
daah, mama unakaribisha domestic violenceJamani nimekosana na kipenzi changu na akanipiga sana Jana Usiku na hakukuwa na Amani kabisa,staki tununiane tena Usiku Huu, nahisi Mimi ndo mwenye makosa nifanyeje kumbembeleza na nifanyeje agundue that I am truly sorry,msaada wana MMU
Be blessed
Kuna vitu unapaswa kufanya ila hufanyi na vilevile kuna vitu hupaswi kuvifanya ila wewe unafanya! Ndoa inataka uelewa mpana sana na sio mambo 6X6 tu baada ya hapo basi kila mtu anaangalia ustaarabu wake ujue hapo kuna utata na haichukui muda mrefu utasikia ndoa iko matatani.
Kupendana, kuheshimiana, kuvumiliana na kuamininana ndio nguzo pekee katika ndoa! Vingine matokeo tu!!
Ngumi kwenye ndoa zetu zisingekuwepo kama hayo niliyoyataja yangezingatiwa na wanandoa wote, fujo kwenye ndoa zinasababishwa na mmoja au wanandoa wote kujiamini kuwa anajua/wanajua kupita kiasi na kusahau kuwa ndoa ni somo lisilo na ukomo na halina graduate! Siku una-graduate kwenye ndoa yako ni siku unaingia kaburini tu...
Mtaumizana bure! kupigana ni dalili za kukosa uvumilivu au uvumilivu kufika ukomo, na hii ni hatari! Mkishaanza kupigana kwenye ndoa hata vile vionjo vya mapenzi ya dhati vinaanza kupungua hata kama mlizoea kuwasiliana kwa siku zaidi ya mara tatu itapotea! Kama mlikuwa mna mtindo wa kwenda family vacation kila mwaka utaona inatoweka na mambo mengine ndo yatakuwa priority. Hata ule moto wa "baby I miss you , Honey I love you, Darlin etc vyote hivyo vitabaki kuwa hekaya tu!!
Kaa chini na mumeo kama mnapendana, mwambie Mungu hapendi ugomvi kati ya wanandoa na kuwa unatambua kosa lako,unalijutia na hutalirudia tena. Mwambie ingawa ulikosea lakini kukupiga si kitu chema kinakuumiza kama mtoto wa kike na inapunguza upendo.
Mkumbushe the bygone days mlikuwa mkiishi vipi, the good times mlipokuwa pamoja na mipango yenu ya kimaisha ya kujenga familia bora yenye amani na upendo!
Mpendane upya na hiyo itoke mioyoni mwenu na Mungu atasimamia ndoa yenu.
Ubarikiwe!
Made in tarime/ maraMi naamini nikimdunda mpenzi tafsiri yake nampenda.
Lala uchi uku umeinama
well and Good! cc Morning glorykwani mara ya kwanza alimpiga nini?:alien::alien: