Nifanyeje kumbembeleza mme Huyu?

Nifanyeje kumbembeleza mme Huyu?

Jamani nimekosana na kipenzi changu na akanipiga sana Jana Usiku na hakukuwa na Amani kabisa, sitaki tununiane tena Usiku Huu, nahisi Mimi ndo mwenye makosa nifanyeje kumbembeleza na nifanyeje agundue that I am truly sorry

Msaada wana MMU.

Be blessed

mpeleke polisi kisheria hapo ametenda kosa la kudhuru mwili au jaribio la kuua
 
Simple....mvalie kimtego. Uzalendo utamshinda. Mkido tu maongezi automatic.
 
jamani umepigwa na bado huna furaha unaomba ushauri msinuniane....umekuwa punching bag,ngoja akutie ukilema wa maisha ndo akili zitakukaa sawa kichwani!

ameshakwambia yeye ndiye mkosaji!!
sio kila mtu anataka kulea watoto peke yake, kuna wengine kitendo cha mwanaume kuwepo tu ni faraja tosha kwao.
suala la kuombana msamaha kwa wanafamilia ni dogo sana.

wengine mnawaza beijing tuu kila wakati.
 
ameshakwambia yeye ndiye mkosaji!!
sio kila mtu anataka kulea watoto peke yake, kuna wengine kitendo cha mwanaume kuwepo tu ni faraja tosha kwao.
suala la kuombana msamaha kwa wanafamilia ni dogo sana.

wengine mnawaza beijing tuu kila wakati.

Kulea watoto??where is this coming from!well well its her body and her life muache atolewe mpaka macho!!
 
yes please...
kuna mtu nilimwomba anifundishe akauchuna...
I will be thankful...

Good morning NK!

Umeamkaje mpendwa?

well, nimekumbuka sasa hivi ile assignment.. Kama unataka kuweka video hapa unafanya hivi:

Chukua link ya video kutoka youtube, copy it!

Halafu tazama kwenye screen yako hapa, kuanzia alama ya Bold (B) hesabu hapo mpaka kitufe cha 14 hapo kwenye Row kinaitwa insert video!

Bonyeza hicho kialama chenye alama kama ya mkanda wa film, kikifunguka tu, paste link (URL) yako uliyo-copy kutoka youtube.

Kisha unaweza kuandika ujumbe wowote chini yake ama ni comment yoyote uliyokuwa ukitaka andika iendane sambamba na video hiyo!

Jaribu hii formula, ukishindwa usisite kuniuliza tena na tena!



cc King's daughter
 
Last edited by a moderator:
Jamani nimekosana na kipenzi changu na akanipiga sana Jana Usiku na hakukuwa na Amani kabisa, sitaki tununiane tena Usiku Huu, nahisi Mimi ndo mwenye makosa nifanyeje kumbembeleza na nifanyeje agundue that I am truly sorry

Msaada wana MMU.

Be blessed

Duh jamani. Why it has to be this way? Pole sana dear . My dear natamani nijue kuwa Mko kwenye kabisa ya kidini au ni ile ya juu juu kuwammekutana na kupendana na mkaamua kuishi pamoja. My dear naelewa yes umekosa lakini Kweli Jamani kwa kosa gani mpaka mmeo afikie kurusha mkono wake ,Kwako. Jamani Mimi ninaona wote MNA makosa wewe unayo makosa ambayo umekiri, na hata mumeo pia.ana makosa. My dear mwanammke huwa hapigwi just ujue hivyo ,Bali anaelimishwa na kueleweshwa. Wanawake huwa humbelezwa,kujaliwa na kama katika ugomvi hamuelewani ni bora mume a walk outside ,kwa nini nimesema mwanamme ufanye hivyo ? Kwa sababu yeye ndiye very angry or na temptations ya kumpiga mkewe. Na kwa upande mwingine mwanamke aki walk away from mume, mume anaona kadharauliwa or kavunjiwa heshima na ndio hasira zitazidi. Wanawake tunatake mengi sana lakini kitu kimoja usikubali mume wako au mchumba, or boyfriend akupige hata siku moja, na sisemi hivi ili uwe jeuri hapana . Bali kuepusha athari zake baadae , za kisaokolojia na mahusiano mengine .Kama imetokea Umepigwa hebu naomba hasira zikiisha hebu muulize mwenzio kwa upole tuu ,why amefanya hivyo? Na Je ni Nia sahihi aliyoifanya? Umuueleze kuwa hujapendezewa kabisa hata kama jina makosa . Baada ya hapo ombaeneni msamaha hilo kosa lisijiyokeze tena, na hii ni kwa mume na mke Wa ndoa ya kidini, na pia iwe ni Mara ya kwanza kutokea maishani. Ukija kwa wachumba na boyfriend please usikubali ,hivi jiulize kama akiwa anaanza kukupiga sasa hivi hata ndoani hamjaingia Je mkiingia itakuwaje? So tafakari hilo halafu jiulize utaweza maisha hayo ya kupigwa yakija kutokea tena au kuendelea mkiwa ndoani au? Then take from there.

Mimi ninavyojua wanawake wengi wanaopigwa, kwenye mahusiano wanakuwa waoga Wa kuongea na kumuelewesha wenzao matendo yao,na kuna wengine wanaendelea na mahusiano basi tuu kwa sababu ya aibu,woga,kutojiamini, na hofu nyingi zilizotanda moyoni. Wengi wao wakishapigwa na wawenza wao wanapoteza zile hisia , trust na upendo waliokuwa nayo mwanzoni kwa wapendwa wako. They are not happy at all na ndio maana wengine wakikutana na wanaume wengine wanaofariji wanajikuta wanaingia kwenye usaliti.
So mpendwa tuje kwenye issue yako hebu jiulize Je hii ni Mara ya kwanza kutokea? Ndoa yenu ya kidini? Kwa maana Hakuna dini yeyote iliyosema umpige mkeo au mumeo kila dini au maandiko yanazungumzia Amani, upendo na utulivu. Baada ya kujiuliza hayo hebu jaribu Mama kuandaa mazingira ya kuongea na huyo mumeo. Mazingira yanaweza kuwa chumbani, outing,sehemu ya faragha na usimuogope kumueleza unayojisikia toka moyoni mwako kumbuka ni mumeo. Baada ya kujieleza msikilize atasema nini then muombeaneni msamaha yaishe . My dear usikubali kudundwa kama ngoma. Kama hii hali ikitokea tena ,shirikisha wazazi wake, kumbuka wewe ni mwanadamu, and you are beautiful woman who any men can have you as a wife . Nasema hivi kwa sababu kuna wanaume/ wanawake hawajui thamani ya mke/ mume sasa ukikutana hao au kama unaishi na hao inakuwa ni shida. Na wewe pia una moyo kwa kuwa wewe ni mwanadamu na moyo wako mpendwa si chuma . Usisahau kumtanguliza Mungu kwa kila jambo. My love Mungu akuongoze ,na akupe busara/ hekima za Kuweka maamuzi yanayompezesha yeye kwa mapenzi yake, amen. Nakupenda sana na pole kwa yaliyokusibu. Hope moyo kwa kuwa kila jaribu lina mlango Wa kutokea amen. Thanks!
 
Thank You...
Ngoja nijaribu
Good morning NK!

Umeamkaje mpendwa?

well, nimekumbuka sasa hivi ile assignment.. Kama unataka kuweka video hapa unafanya hivi:

Chukua link ya video kutoka youtube, copy it!

Halafu tazama kwenye screen yako hapa, kuanzia alama ya Bold (B) hesabu hapo mpaka kitufe cha 14 hapo kwenye Row kinaitwa insert video!

Bonyeza hicho kialama chenye alama kama ya mkanda wa film, kikifunguka tu, paste link (URL) yako uliyo-copy kutoka youtube.

Kisha unaweza kuandika ujumbe wowote chini yake ama ni comment yoyote uliyokuwa ukitaka andika iendane sambamba na video hiyo!

Jaribu hii formula, ukishindwa usisite kuniuliza tena na tena!



cc King's daughter
 
Last edited by a moderator:


mwanafunzi wako anaendelea kufanya practice...
 
Last edited by a moderator:
We mpe 0713. Yeye ndo atakuomba radhi.
 
afu best mbona umetujia na ID mpya...

Huu mwandiko naijua kabisa...te te te...

Good morning NK!

Umeamkaje mpendwa?

well, nimekumbuka sasa hivi ile assignment.. Kama unataka kuweka video hapa unafanya hivi:

Chukua link ya video kutoka youtube, copy it!

Halafu tazama kwenye screen yako hapa, kuanzia alama ya Bold (B) hesabu hapo mpaka kitufe cha 14 hapo kwenye Row kinaitwa insert video!

Bonyeza hicho kialama chenye alama kama ya mkanda wa film, kikifunguka tu, paste link (URL) yako uliyo-copy kutoka youtube.

Kisha unaweza kuandika ujumbe wowote chini yake ama ni comment yoyote uliyokuwa ukitaka andika iendane sambamba na video hiyo!

Jaribu hii formula, ukishindwa usisite kuniuliza tena na tena!



cc King's daughter
 
Last edited by a moderator:
afu best mbona umetujia na ID mpya...

Huu mwandiko naijua kabisa...te te te...
Hahahaaa! huwezi utambua hata kidogo! maybe uwe shekh yahya mdogo! lol.

My old ID has lost its password, so nimeona isiwe tabu! Nimekuja kivingine ila sisumbui mtu yeyote just because nawajua, no!
 
Back
Top Bottom