Nifanyeje kumbembeleza mme Huyu?

Nifanyeje kumbembeleza mme Huyu?

He is a friend not more sema mume wangu amenielewa tayari,unajua Angekuwa Mtu mbaya naingeweza muleta home

siku nyingne usirudie utoto kama huo hyo inakuwa kama dhara. Ina maana urafki huo mlianza hyo siku?? Urafiki gan wa mwanamke na mwanaume tena mke wa mtu?? Ipo siku utakuja kuumia kwa kukosa maarifa.... Kwann asijulikane sku zote kama rafiki na ajulikane sku ya birthday??
 
Morning glory shosti lazima upigwe!!
Tena naona hajakupiga sawasawa.......sasaivi ulitakiwa uwe unaugulia kitandani
Kumpiga ndo suluhisho? Na siku akikutwa yeye na mwanamke apigwe...? I think people should treat each other like adults, kumpiga mtu ndo kutamfanya mtu asichanue sketi akiamua? Tena ndo ataenda kubembelezwa na huyo bebi kesho yake. Mwanaume mwenye akili hahitaji kupiga, anaweza kuongea sentensi 2 tu zikawa zaidi ya kipigo! Kama koti limembana alivue tu, kipigo will most likely not change anything sana sana kipigo kitaongeza woga na usiri kama mtu anataka kufanya yake behind his back
 
lijitu linikung'ute halafu nitafute namna ya kupatana nae.

Maneenah.

Liende selo kwanza siku mbili na baridi hii??
 
lijitu linikung'ute halafu nitafute namna ya kupatana nae.

Maneenah.

Liende selo kwanza siku mbili na baridi hii??
Teheeee ndo mi naposhangaa sasa... mtu mzima napigwa na mtu nlokutana nae barabarani miaka kadhaa ilopita. All in the name of "my husband..." Mfyuuuu!
 
lijitu linikung'ute halafu nitafute namna ya kupatana nae.

Maneenah.

Liende selo kwanza siku mbili na baridi hii??

usipojiheshim na ukaendekeza dharau utapigwa tu.. Polis wenyew wako wapi wa kumuweka mwanaume sero?? Wakat jamaa akienda na 20 tu bas sero imekufa utatukanwa ww mwenyew
 
Unajua Huyu Jamaa ni kaka wa rafiki yangu na Ana mke wake kilichofanyika rafiki yangu wa kike aliniita na kununulia zawadi Za siku yangu ya kuzaliwa Kwa sababu kaka yake alikuwepo na gari ndo akanirush nyumbani na hakukuwa na tatizo lolote hapo sema namna ya kukuelewesha mume wangu,people don't take it so negative aisee
 
Unajua Huyu Jamaa ni kaka wa rafiki yangu na Ana mke wake kilichofanyika rafiki yangu wa kike aliniita na kununulia zawadi Za siku yangu ya kuzaliwa Kwa sababu kaka yake alikuwepo na gari ndo akanirush nyumbani na hakukuwa na tatizo lolote hapo sema namna ya kukuelewesha mume wangu,people don't take it so negative aisee

hata hivyo ulistahili kupigwa kwanini hukuongozana na mumeo?
 
Unajua Huyu Jamaa ni kaka wa rafiki yangu na Ana mke wake kilichofanyika rafiki yangu wa kike aliniita na kununulia zawadi Za siku yangu ya kuzaliwa Kwa sababu kaka yake alikuwepo na gari ndo akanirush nyumbani na hakukuwa na tatizo lolote hapo sema namna ya kukuelewesha mume wangu,people don't take it so negative aisee

sasa si ungefunguka hvyo tangu mwanzo? Alaaa!! Angalia sku nyingne watakuja kukuchomoa bandama pasipo nakosa.
 
Back
Top Bottom