Nifanyeje kumbembeleza mme Huyu?

Nifanyeje kumbembeleza mme Huyu?

Kuwa tu mpole,timiza majukumu yako with a smiling face.
Don't push too hard,mpe nafasi hasira zake zipungue then atakuwa sawa tu!!!
Pole kwa kipigo though.

Mi naamini nikimdunda mpenzi tafsiri yake nampenda.
 
Mbona wenzangu mna-comment as if hamjasikia alichosema? Hivi huyu baby wake alivompiga mbona mnafumbia macho jamani? Mbona mie naona sehemu ya kumshikia ndo hapo mana shosti kosa lako lishafutwa kwa kipigo alichokupa, hapo we nuna ili akuombe yeye ndo akuombe msamaha.


Tatizo hatujui shosti alilikoroga vipi,pamoja na kipigo bado anatafuta njia ya kumbembeleza zaidi ina maana alikosea pakubwa!!
Mie simshauri anune maana kama mumewe sio mtu wa kujishusha naye mnuno utachukua muda mrefu na utawa cost,ni vizuri bidada ambaye ndio alikosa mwanzo ajishushe tu ili upepo mbaya upite then huko baadae kabisa watajadili jinsi ya kurekebishana wanapokoseana bila kuhusisha kipigo!!
 
Sema kosa ulilopigiwa kwanza ndio utapata ushauri ulio bora, naona wote wanakushauri kirahisirahisi as if kosa lako ni kuchelewa kupika ama ulichelewa kumfungulia mlango mumeo. Makosa hayo ni mepesi kutatulika, ila usitegemee msamaha rahisi kwa kosa kama kufumaniwa, kushikwa ulozi, kushikwa na wizi.
 
Mbona wenzangu mna-comment as if hamjasikia alichosema? Hivi huyu baby wake alivompiga mbona mnafumbia macho jamani? Mbona mie naona sehemu ya kumshikia ndo hapo mana shosti kosa lako lishafutwa kwa kipigo alichokupa, hapo we nuna ili akuombe yeye ndo akuombe msamaha.

Kwa style hiyo huwezi kuwa na amani. Angalia kina mama wengi ambao wamedumu vizuri kwenye ndoa zao waliwashepu waume zao kwa kunyenyekea na mwisho waume waliwaheshimu na kuacha vipigo. Upendo hutafuta amani....mtoa hoja ana upendo na mumewe ndo maana anatafuta amani. Hiki unachopendekeza wewe hakitokani na upendo bali some other phenomenon of your type.
 
Kwa style hiyo huwezi kuwa na amani. Angalia kina mama wengi ambao wamedumu vizuri kwenye ndoa zao waliwashepu waume zao kwa kunyenyekea na mwisho waume waliwaheshimu na kuacha vipigo. Upendo hutafuta amani....mtoa hoja ana upendo na mumewe ndo maana anatafuta amani. Hiki unachopendekeza wewe hakitokani na upendo bali some other phenomenon of your type.

Ye ameomba ushauri nami nimejitahidi kumpatia kwani kuna ubaya jamani
 
[/B]
Tatizo hatujui shosti alilikoroga vipi,pamoja na kipigo bado anatafuta njia ya kumbembeleza zaidi ina maana alikosea pakubwa!!
Mie simshauri anune maana kama mumewe sio mtu wa kujishusha naye mnuno utachukua muda mrefu na utawa cost,ni vizuri bidada ambaye ndio alikosa mwanzo ajishushe tu ili upepo mbaya upite then huko baadae kabisa watajadili jinsi ya kurekebishana wanapokoseana bila kuhusisha kipigo!!

Asante kwa kunishauri na mie pia but angejaribu na hiyo yangu ingependeza pia
 
Jamani nimekosana na kipenzi changu na akanipiga sana Jana Usiku na hakukuwa na Amani kabisa,staki tununiane tena Usiku Huu, nahisi Mimi ndo mwenye makosa nifanyeje kumbembeleza na nifanyeje agundue that I am truly sorry,msaada wana MMU
Be blessed

Fafanua Hapo penye wekundu usaidiwe

Pole na kipijo
 
Ulimfanyanini? Hujatolewa manundu kweli mmmh maisha yakupgwa bado yapo tu? Btw-mpe muda hasira zake zipungue kwanza ! Atakapoanza kuchepuka ndo utakoma!! Pole
 
Kuna vitu unapaswa kufanya ila hufanyi na vilevile kuna vitu hupaswi kuvifanya ila wewe unafanya! Ndoa inataka uelewa mpana sana na sio mambo 6X6 tu baada ya hapo basi kila mtu anaangalia ustaarabu wake ujue hapo kuna utata na haichukui muda mrefu utasikia ndoa iko matatani.

Kupendana, kuheshimiana, kuvumiliana na kuamininana ndio nguzo pekee katika ndoa! Vingine matokeo tu!!
Ngumi kwenye ndoa zetu zisingekuwepo kama hayo niliyoyataja yangezingatiwa na wanandoa wote, fujo kwenye ndoa zinasababishwa na mmoja au wanandoa wote kujiamini kuwa anajua/wanajua kupita kiasi na kusahau kuwa ndoa ni somo lisilo na ukomo na halina graduate! Siku una-graduate kwenye ndoa yako ni siku unaingia kaburini tu...

Mtaumizana bure! kupigana ni dalili za kukosa uvumilivu au uvumilivu kufika ukomo, na hii ni hatari! Mkishaanza kupigana kwenye ndoa hata vile vionjo vya mapenzi ya dhati vinaanza kupungua hata kama mlizoea kuwasiliana kwa siku zaidi ya mara tatu itapotea! Kama mlikuwa mna mtindo wa kwenda family vacation kila mwaka utaona inatoweka na mambo mengine ndo yatakuwa priority. Hata ule moto wa "baby I miss you , Honey I love you, Darlin etc vyote hivyo vitabaki kuwa hekaya tu!!

Kaa chini na mumeo kama mnapendana, mwambie Mungu hapendi ugomvi kati ya wanandoa na kuwa unatambua kosa lako,unalijutia na hutalirudia tena. Mwambie ingawa ulikosea lakini kukupiga si kitu chema kinakuumiza kama mtoto wa kike na inapunguza upendo.
Mkumbushe the bygone days mlikuwa mkiishi vipi, the good times mlipokuwa pamoja na mipango yenu ya kimaisha ya kujenga familia bora yenye amani na upendo!

Mpendane upya na hiyo itoke mioyoni mwenu na Mungu atasimamia ndoa yenu.

Ubarikiwe!
 
Back
Top Bottom