Tena kirungu kipakwe samli. Weeh!😋
Hana kazi
Wanaume feki wanaopiga wake zao mwanamke hapigwi anatulizwa kwa mapenzi. -Ney wa mitego
Anawaza usiku anawaza mnuno anachokahahahhaha tena kama inanyesha inakuwa raha ni ajee....hahahahahha loh haya maisha raha sana
acha kumwonea mumeo kisa hana kazi. Unazidi kumtia mastress mwishowe ataja jiua bure.
Anawaza usiku anawaza mnuno anachoka
Akinipa chance ya kukaa nae tu hata kama kanuna mambo yanakuwa sawa mara mojahebu niambie mtan vp ungekuwa ww ungemfanyaje mmeo ili afurahi na asinune tena?? Kwa7b ulivyopinda spat picha ingekuwaje
Nlliletwa home na mme mwingine akaninunulia zawadi etc it's was on my birthday ndo nkaambulia kipigo,was supposed to spend that day with my husband but failed him and came in home so late,kiukweli was wrong
Wanaume feki wanaopiga wake zao mwanamke hapigwi anatulizwa kwa mapenzi. -Ney wa mitego
Kweli wanaume fake wanaopiga wake zao lakini hili la kumtaftia mumeo mume mwenza dharau imezidi - hapa kipigo muhimu kinahusikaWanaume feki wanaopiga wake zao mwanamke hapigwi anatulizwa kwa mapenzi. -Ney wa mitego
Haijalishi kosa, Mwanaume anaekupiga hana haya.
Na kama amekupiga mara ya kwanza his more likely to repeat again.......
kumbe!.... Yaan ulistahili kipigo na taraka kabisa..... Mwanamke haukuwa hata na haya?! Hustahili kuitwa mke wa mtu tayar ni mke wa watu.