Mgirik
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 13,258
- 13,368
ficha mashuka yote akipigwa barid usiku unampooza na mchezo uadui kushney
hahahaaaaa! Atamng'oa meno
ficha mashuka yote akipigwa barid usiku unampooza na mchezo uadui kushney
Jamani nimekosana na kipenzi changu na akanipiga sana Jana Usiku na hakukuwa na Amani kabisa,staki tununiane tena Usiku Huu, nahisi Mimi ndo mwenye makosa nifanyeje kumbembeleza na nifanyeje agundue that I am truly sorry,msaada wana MMU
Be blessed
Muombe msamaha ..
Fanya majukumu yako with smiling face hakikisha unakaa kihasara hasara na nguo ya mtego ambayo mpenzio anaipenda ila usilazimishe kuongea sana kwa maana yawezekana bado ana hasira.use body language zaid
Fafanua Hapo penye wekundu usaidiwe
Pole na kipijo
mmewako anafanya kazi gani?
Kuna vitu unapaswa kufanya ila hufanyi na vilevile kuna vitu hupaswi kuvifanya ila wewe unafanya! Ndoa inataka uelewa mpana sana na sio mambo 6X6 tu baada ya hapo basi kila mtu anaangalia ustaarabu wake ujue hapo kuna utata na haichukui muda mrefu utasikia ndoa iko matatani.
Kupendana, kuheshimiana, kuvumiliana na kuamininana ndio nguzo pekee katika ndoa! Vingine matokeo tu!!
Ngumi kwenye ndoa zetu zisingekuwepo kama hayo niliyoyataja yangezingatiwa na wanandoa wote, fujo kwenye ndoa zinasababishwa na mmoja au wanandoa wote kujiamini kuwa anajua/wanajua kupita kiasi na kusahau kuwa ndoa ni somo lisilo na ukomo na halina graduate! Siku una-graduate kwenye ndoa yako ni siku unaingia kaburini tu...
Mtaumizana bure! kupigana ni dalili za kukosa uvumilivu au uvumilivu kufika ukomo, na hii ni hatari! Mkishaanza kupigana kwenye ndoa hata vile vionjo vya mapenzi ya dhati vinaanza kupungua hata kama mlizoea kuwasiliana kwa siku zaidi ya mara tatu itapotea! Kama mlikuwa mna mtindo wa kwenda family vacation kila mwaka utaona inatoweka na mambo mengine ndo yatakuwa priority. Hata ule moto wa "baby I miss you , Honey I love you, Darlin etc vyote hivyo vitabaki kuwa hekaya tu!!
Kaa chini na mumeo kama mnapendana, mwambie Mungu hapendi ugomvi kati ya wanandoa na kuwa unatambua kosa lako,unalijutia na hutalirudia tena. Mwambie ingawa ulikosea lakini kukupiga si kitu chema kinakuumiza kama mtoto wa kike na inapunguza upendo.
Mkumbushe the bygone days mlikuwa mkiishi vipi, the good times mlipokuwa pamoja na mipango yenu ya kimaisha ya kujenga familia bora yenye amani na upendo!
Mpendane upya na hiyo itoke mioyoni mwenu na Mungu atasimamia ndoa yenu.
Ubarikiwe!
mmmmh! Wachaaaaaaa!
Nini tna mguno huooo
Nlliletwa home na mme mwingine akaninunulia zawadi etc it's was on my birthday ndo nkaambulia kipigo,was supposed to spend that day with my husband but failed him and came in home so late,kiukweli was wrong
umempa ushaur mzur hapo hata kama mwanaume ni dikteta lakin lazma awe mpole hahahaaaa! Chezea nyuchi ww
Nlliletwa home na mme mwingine akaninunulia zawadi etc it's was on my birthday ndo nkaambulia kipigo,was supposed to spend that day with my husband but failed him and came in home so late,kiukweli was wrong
Nani kasema nimfumanuie mimi nimdunde then nimuombe msamaha labda niwe kichaaaaa...Mbona wenzangu mna-comment as if hamjasikia alichosema? Hivi huyu baby wake alivompiga mbona mnafumbia macho jamani? Mbona mie naona sehemu ya kumshikia ndo hapo mana shosti kosa lako lishafutwa kwa kipigo alichokupa, hapo we nuna ili akuombe yeye ndo akuombe msamaha.
Don't play with power of nyuchi wewe....unampa saut 21 za mahaba na hapo nipo kiasara hasara hawez kuvuka