Nifanye biashara gani ambayo naweza kuingiza laki moja kila siku

Mill 20 ni nyingi.
Ila kutafuta biashara ya kupata faida 100k kwa siku sio ishu ndogo.

Maana , hata ukiiwekea kwa wastani, ina maana ni Mill 3 kwa mwezi kama faida.

Hapa ushatoa cost zote za kuendesha hiyo biashara.

Na hiyo biashara ww ndio unakaa mwenyewe au una ajili mtu?.

Mm nashauri,
Wekeza mill 10 na mill 10 anzisha biashara yoyote utakayoona inakufaa kwa sasa.

Hiyo unayowekeza itapanda thaman baada ya miaka 5.

Maaana fedha huisha.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Mill 20 ni nyingi.
Ila kutafuta biashara ya kupata faida 100k kwa siku sio ishu ndogo.

Maana , hata ukiiwekea kwa wastani, ina maana ni Mill 3 kwa mwezi kama faida.

Hapa ushatoa cost zote za kuendesha hiyo biashara.

Na hiyo biashara ww ndio unakaa mwenyewe au una ajili mtu?.

Mm nashauri,
Wekeza mill 10 na mill 10 anzisha biashara yoyote utakayoona inakufaa kwa sasa.

Hiyo unayowekeza itapanda thaman baada ya miaka 5.

Maaana fedha huisha.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Asante kwa ushauri...hiyo nyengine ya kuwekeza niwekeze bank au umemaanisha nini?
 
Joyful 95 hiyo ela ni nyingi inamake sense Sana kuiwekeza Kwa faida ya asilimia 10% Kwa mwez nakushaur fanya hivyo
10% X 20M = 2M per month
Mwezi mmoja Sawa na 20 working days Kwa faida ya 2M Kwa mwezi nisawa na laki moja Kwa siku kama unavotaka
Zingatia mtaji wako unabakia palepale20M
2M kwa mwezi ni sawa na 67,000 kwa siku boss
 
Ningekuchangia ushauri katika mawili matatu kulingana na uzoefu wangu mdogo nilionao. Kitu muhimu cha kwanza cha kuzingatia kabla ya yote ni kufanya Utafiti yakinifu, research, research and research again, eneo uliopo? Uwezo na ujuzi wako katika hio biashara? soko na ushindani katika hio biashara? athari za jua/mvua, changamoto na miundombinu katika miongo yote ya mwaka? Jee access ya barabara inakuwaje wakati wa mvua/jua kali? umeme/maji/uegeshaji magari ya wateja/waleta bidhaa? Uwekezaji ni wa kumiliki ama kukodi?
Ni hivi biashara kwa asilimia kubwa ni HUDUMA, namaanisha kutoa huduma mostly katika sehemu kuu hizi Makazi, Chakula, Mavazi, Afya na Elimu na minyororo mengine mingi inayotegemeana na sekta kuu hizi, mfano urembo, ie vipodozi, saloon, mapambo ya ndani/nje ya nyumba etc. Baada ya reseach ya kutosha angalia huduma gani ina changamoto kubwa na vipi unaweza kuitatua hio changamoto? Kisha kaongee kwa kujifunza na watu ambao tayari wanafanya hio biashara kwa uzoefu wa miongo kadhaa, hata kama kwa malipo, sababu wao ndio watakaoiwokoa hela yako trust me! Baada ya yote ndio uanze biashara yako, la mwisho lazima uwe na passion katika kitu unachotaka kufanya, kama hio saloon ni hobby yako na unahisi huduma iliopo kuna kitu kinakosekana ambacho unaweza kukiboresha katika eneo unalokusudia na demand ipo ya kutosha then itakua rahisi kupata hio hela, ila mwisho biashara ni wateja na kujenga customer base si kitu cha haraka, unahitaji muda, huduma bora na Mungu kwa maana hata ujiandae vipi, kuna changamoto zisizoepukika zitatokea tu, mfano mvua kali = umeme shida which is equal to wateja less, barabara closed = Rough time in business. Kila la kheri.
 
Asante kwa ushauri...Mungu akubariki sana
Ningekuchangia ushauri katika mawili matatu kulingana na uzoefu wangu mdogo nilionao. Kitu muhimu cha kwanza cha kuzingatia kabla ya yote ni kufanya Utafiti yakinifu, research, research and research again, eneo uliopo? Uwezo na ujuzi wako katika hio biashara? soko na ushindani katika hio biashara? athari za jua/mvua, changamoto na miundombinu katika miongo yote ya mwaka? Jee access ya barabara inakuwaje wakati wa mvua/jua kali? umeme/maji/uegeshaji magari ya wateja/waleta bidhaa? Uwekezaji ni wa kumiliki ama kukodi?
Ni hivi biashara kwa asilimia kubwa ni HUDUMA, namaanisha kutoa huduma mostly katika sehemu kuu hizi Makazi, Chakula, Mavazi, Afya na Elimu na minyororo mengine mingi inayotegemeana na sekta kuu hizi, mfano urembo, ie vipodozi, saloon, mapambo ya ndani/nje ya nyumba etc. Baada ya reseach ya kutosha angalia huduma gani ina changamoto kubwa na vipi unaweza kuitatua hio changamoto? Kisha kaongee kwa kujifunza na watu ambao tayari wanafanya hio biashara kwa uzoefu wa miongo kadhaa, hata kama kwa malipo, sababu wao ndio watakaoiwokoa hela yako trust me! Baada ya yote ndio uanze biashara yako, la mwisho lazima uwe na passion katika kitu unachotaka kufanya, kama hio saloon ni hobby yako na unahisi huduma iliopo kuna kitu kinakosekana ambacho unaweza kukiboresha katika eneo unalokusudia na demand ipo ya kutosha then itakua rahisi kupata hio hela, ila mwisho biashara ni wateja na kujenga customer base si kitu cha haraka, unahitaji muda, huduma bora na Mungu kwa maana hata ujiandae vipi, kuna changamoto zisizoepukika zitatokea tu, mfano mvua kali = umeme shida which is equal to wateja less, barabara closed = Rough time in business. Kila la kheri.
 
Hello nifanye biashara gani, lengo langu nipate angalau laki moja kila siku.

Binafsi napenda saloon ya kike lakini sina uhakika kama nitaingiza laki moja kwa siku.

Naomba Ushauri wenu tafadhali.
Fursa zipo nyingi Sana.

Kuna zile ambazo unazipenda ila kiuhalisia huna uwezo wa kuzisimamia na zinahitaji watu waaminifu ili kuzisimamia na ziweze kusonga mbele na kwa bahati mbaya huna hao watu waaminifu.

Kuna zile huna passion nazo kabisa ila kuzisimamia kwako ni rahisi Sana.

Inasemwa kua fanya kile unachopenda ila ajabu ni kua upendo wa binadamu hua unabadirika mara kwa mara.

Sambamba na hilo ninazo Fursa mbalimbali naweza kukukumbusha kama kama umesahau au kama huzijui basi nakujulisha.

Ni fursa Katika kilimo cha michikichi/mawese.

Kwenye kilimo hiki kuna fursa nyingi sana ni uwezo wako tu wa maamuzi ya kipi ukifanye na kwa wakati gani.

Unaweza kuchagua kwa fursa iliyopo ndani yake kwa kufanya ikupe return kubwa sana kwa mda mrefu ujao au uwe unapata Kiasi cha wastan kila siku au miezi kadhaa unachukua chako. Yote yanawezekana.

Ila kwa sasa niseme kama kweli upo serious wasiliana nami upate ushauri Kwenye sekta hiyo ya mawese.

Naongea kwa kua nimekua nikiifanya kwa mda mrefu matunda nimeyaona.

Kuna njia za kisasa na za kizamani.

Wasiliana nami PM kwa ushauri na namna ya kuendesha Biashara hii kama utapenda. Na hata kama yupo mwingine anapenda na anahitaji kuijua in and out nitatoa taarifa sahihi zote ninazo zijua ila kwa waliopo serious tu.

Fursa zilizopo ndani yake zipo ndogo na kubwa. Zipo hata za watu wa laki kadhaa kama mtaji na hata mamilioni kama mtaji ni suala la mfuko wako.

Karibuni. Inbox yangu ipo wazi.

NB: maelezo ya fursa zilizopo ni Mengi sana hivyo kuandika ni shughuri pevu yahitaji kuongea.
 
Fursa zipo nyingi Sana.

Kuna zile ambazo unazipenda ila kiuhalisia huna uwezo wa kuzisimamia na zinahitaji watu waaminifu ili kuzisimamia na ziweze kusonga mbele na kwa bahati mbaya huna hao watu waaminifu.

Kuna zile huna passion nazo kabisa ila kuzisimamia kwako ni rahisi Sana.

Inasemwa kua fanya kile unachopenda ila ajabu ni kua upendo wa binadamu hua unabadirika mara kwa mara.

Sambamba na hilo ninazo Fursa mbalimbali naweza kukukumbusha kama kama umesahau au kama huzijui basi nakujulisha.

Ni fursa Katika kilimo cha michikichi/mawese.

Kwenye kilimo hiki kuna fursa nyingi sana ni uwezo wako tu wa maamuzi ya kipi ukifanye na kwa wakati gani.

Unaweza kuchagua kwa fursa iliyopo ndani yake kwa kufanya ikupe return kubwa sana kwa mda mrefu ujao au uwe unapata Kiasi cha wastan kila siku au miezi kadhaa unachukua chako. Yote yanawezekana.

Ila kwa sasa niseme kama kweli upo serious wasiliana nami upate ushauri Kwenye sekta hiyo ya mawese.

Naongea kwa kua nimekua nikiifanya kwa mda mrefu matunda nimeyaona.

Kuna njia za kisasa na za kizamani.

Wasiliana nami PM kwa ushauri na namna ya kuendesha Biashara hii kama utapenda. Na hata kama yupo mwingine anapenda na anahitaji kuijua in and out nitatoa taarifa sahihi zote ninazo zijua ila kwa waliopo serious tu.

Fursa zilizopo ndani yake zipo ndogo na kubwa. Zipo hata za watu wa laki kadhaa kama mtaji na hata mamilioni kama mtaji ni suala la mfuko wako.

Karibuni. Inbox yangu ipo wazi.

NB: maelezo ya fursa zilizopo ni Mengi sana hivyo kuandika ni shughuri pevu yahitaji kuongea.
Asante kwa ushauri...ubarikiwe
 
Kama ni rahisi hivyo hapo ulipo kila mtu atafanya hivyo huenda mkagawana wateja usipate tena hizo (unless barrier of entry ni kubwa) yaani wengine hawawezi kuiga kutokana na mtaji au ujuzi wako.., In short kila kinategemea soko / wateja...

Ila kuna the worlds oldest proffession ukifanya hii kama una wadau / wafanyakazi huenda ukapata zaidi ya hio ila kwa nchi yetu utaishia gerezani landa nenda Amsterdam.....
 
Joyful 95 hiyo ela ni nyingi inamake sense Sana kuiwekeza Kwa faida ya asilimia 10% Kwa mwez nakushaur fanya hivyo
10% X 20M = 2M per month
Mwezi mmoja Sawa na 20 working days Kwa faida ya 2M Kwa mwezi nisawa na laki moja Kwa siku kama unavotaka✅✅
Zingatia mtaji wako unabakia palepale20M
Kwanza hakuna Bank inayotoa 10% KWA MWAKA? nyingi hutoa fixed deposit faida ya 6% kw mwaka.
hiyo ya kupata 10% kwa mwezi utaipata wapi; labda Desi
 
Chukua milioni 10 fungua fixed akaunti NMB.
Milioni 10 iliyobakia nenda Silverland Tanzania/Silverland Dar nunua vifaranga aina y SASSO 1000 kila mmoja ni 1400, wafuge ndani ya miezi minne watakuwa wamekuwa wakubwa kweli kweli utauza kwa 15,000 au 20,000 kwa mmoja.
NB: SASSO ni kuku chotara wanaovumilia magonjwa na hali ngumu zote.

Gharama ya kuwahudumia SASSO 1000 pamoja na banda, madawa n.k havitazidi hata milioni 5.
Pia jifunze formula ya kutengeneza chakula cha kuku wewe mwenyewe ili kupunguza gharama.
 
Back
Top Bottom