Nifanye biashara gani ambayo naweza kuingiza laki moja kila siku

Chukua milioni 10 fungua fixed akaunti NMB.
Milioni 10 iliyobakia nenda Silverland Tanzania/Silverland Dar nunua vifaranga aina y SASSO 1000 kila mmoja ni 1400, wafuge ndani ya miezi minne watakuwa wamekuwa wakubwa kweli kweli utauza kwa 15,000 au 20,000 kwa mmoja.
NB: SASSO ni kuku chotara wanaovumilia magonjwa na hali ngumu zote.

Gharama ya kuwahudumia SASSO 1000 pamoja na banda, madawa n.k havitazidi hata milioni 5.
Pia jifunze formula ya kutengeneza chakula cha kuku wewe mwenyewe ili kupunguza gharama.
Asante sana Mungu akubariki
 
Chukua milioni 10 fungua fixed akaunti NMB.
Milioni 10 iliyobakia nenda Silverland Tanzania/Silverland Dar nunua vifaranga aina y SASSO 1000 kila mmoja ni 1400, wafuge ndani ya miezi minne watakuwa wamekuwa wakubwa kweli kweli utauza kwa 15,000 au 20,000 kwa mmoja.
NB: SASSO ni kuku chotara wanaovumilia magonjwa na hali ngumu zote.

Gharama ya kuwahudumia SASSO 1000 pamoja na banda, madawa n.k havitazidi hata milioni 5.
Pia jifunze formula ya kutengeneza chakula cha kuku wewe mwenyewe ili kupunguza gharama.
Kwa nadharia hii biashara kila mtu huona ni rahisi hivi, ila kivitendo unakuja kugundua ina changamoto nyingi sana, mfano unaweka makadirio ya chakula katika miezi 6 inakuja kuzidi nje ya bajeti, na kupata quality ya chakula bora nayo ishu, kuna chakula unaweza lisha miezi 8 kuku hawaongezeki uzito tu na unaweza kufika muda wa kuuza ukakuta soko limeshuka, ukahangaika mwezi na bei na kila kuku wakizidisha kukukalia hata siku3 wanakukosti gharama zaidi, unaishia kuwauza kwa shoti. Na mwisho ukitaka kukwepa hasara ni lazima unapoanzia hii biashara umuajiri kijana ambaye tayari ana uzoefu wa kutosha ili kukupa uzoefu na mfano chakula cha vifaranga, muda wa kubadilisha chakula, muda wa chanjo, namna ya kusafisha mabanda na kadhalika. Kila kitu katika hii biashara kinategemea Timing ukikosea imekula kwako big time.
 
Kwa nadharia hii biashara kila mtu huona ni rahisi hivi, ila kivitendo unakuja kugundua ina changamoto nyingi sana, mfano unaweka makadirio ya chakula katika miezi 6 inakuja kuzidi nje ya bajeti, na kupata quality ya chakula bora nayo ishu, kuna chakula unaweza lisha miezi 8 kuku hawaongezeki uzito tu na unaweza kufika muda wa kuuza ukakuta soko limeshuka, ukahangaika mwezi na bei na kila kuku wakizidisha kukukalia hata siku3 wanakukosti gharama zaidi, unaishia kuwauza kwa shoti. Na mwisho ukitaka kukwepa hasara ni lazima unapoanzia hii biashara umuajiri kijana ambaye tayari ana uzoefu wa kutosha ili kukupa uzoefu na mfano chakula cha vifaranga, muda wa kubadilisha chakula, muda wa chanjo, namna ya kusafisha mabanda na kadhalika. Kila kitu katika hii biashara kinategemea Timing ukikosea imekula kwako big time.
Ndio mkuu ila hawa ni SASSO sio BROILER. Nimeshauri SASSO kwa kuwa hawa ni kama kuku wa kienyeji tu kila kitu wanakula.
 
Kubet hii itakusaidia sana mtaji 10,000/=
Ukitafuta odds 10+ ukastake nahisi utapata zaidi ya laki moja unayo hitaji kwa siku.
 
Ndio mkuu ila hawa ni SASSO sio BROILER. Nimeshauri SASSO kwa kuwa hawa ni kama kuku wa kienyeji tu kila kitu wanakula.
Sawa nimekuelewa niliweka angalizo tu kwa maana watu wengi wanajua kufuga kuku ni mteremko hadi waingie ndio wanakuja elewa kumbe sio rahisi kivile.
 
Sawa nimekuelewa niliweka angalizo tu kwa maana watu wengi wanajua kufuga kuku ni mteremko hadi waingie ndio wanakuja elewa kumbe sio rahisi kivile.
Kweli mkuu. Mfano Broiler ili upate faida lazima ale sio zaidi ya wiki nne umuuze fasta. Akila wiki tano umeshapata hasara.

Ndio maana sasa hivi watu wanakimbilia kwenye kuku CHOTARA ambao gharama zao za uendeshaji ni chini na bei unauza juu.
 
Mimi nipo mkoa wa Dar Es Salaam...naishi Kigamboni....na ningependa biashara yangu nifanyie hapahapa Dar Es Salaam

Kwako wewe mwanamke na eneo ulilopo fanya biashara ya chakula.

Chakula namaanisha kilichopikwa. Angalia eneo husika na mahitaji ya watu wanataka kula nini asubuhi, mchana na jioni. Ni hela ndogo ndogo inaingia lakini ukiwa na vitu vingi utakuwa umeingiza pesa nzuri.

Mfano ukawa na supu, chapati nk asubuhi, chakula muhimu kulingana na eneo mchana na jioni na pia bila kusahau kuku, chipsi na mishikaki, michemsho na vinywaji. Mengine utaboresha kadri unavyoendelea.

Tahadhali ni katika usimamizi wa kazi na pesa. Hii itakulipa lakini ukizembea tu katika usimamizi wa kutoa huduma bora na kupokea pesa na kuitunza umekwisha.

Hii biashara haitakuhitaji mtaji mkubwa sana maana ukishaanza utakuwa na access ya kuchukua vitu kwa maduka na jioni unalipa. Unaweza kuanza na mtaji wa milioni 3 ukawa na mgahawa mzuri na baada ya muda ukarejesha gharama zako na kuanza kupata faida.

Mengine hapo utatafiti mwenyewe
Usiingie kwenye biashara usiyoweza kuisimamia mwenyewe kwa sasa. Utapigwa.
 
Kwako wewe mwanamke na eneo ulilopo fanya biashara ya chakula.

Chakula namaanisha kilichopikwa. Angalia eneo husika na mahitaji ya watu wanataka kula nini asubuhi, mchana na jioni. Ni hela ndogo ndogo inaingia lakini ukiwa na vitu vingi utakuwa umeingiza pesa nzuri.

Mfano ukawa na supu, chapati nk asubuhi, chakula muhimu kulingana na eneo mchana na jioni na pia bila kusahau kuku, chipsi na mishikaki, michemsho na vinywaji. Mengine utaboresha kadri unavyoendelea.

Tahadhali ni katika usimamizi wa kazi na pesa. Hii itakulipa lakini ukizembea tu katika usimamizi wa kutoa huduma bora na kupokea pesa na kuitunza umekwisha.

Hii biashara haitakuhitaji mtaji mkubwa sana maana ukishaanza utakuwa na access ya kuchukua vitu kwa maduka na jioni unalipa. Unaweza kuanza na mtaji wa milioni 3 ukawa na mgahawa mzuri na baada ya muda ukarejesha gharama zako na kuanza kupata faida.

Mengine hapo utatafiti mwenyewe
Usiingie kwenye biashara usiyoweza kuisimamia mwenyewe kwa sasa. Utapigwa.
Asante Mungu akubariki
 
"Nifanye biashara gani"
Ni swali gumu sana

Swali hili linaweza kujibiwa na
1. Unachopenda (Hobby yako)
2. Mazingira ulipo (Location)
3.Uzoefu (Experience)*
4.connection (network yako)
5.Mtaji
6.Muda (management) na
7.Watu (wasaidizi waaminifu)

Tafakari mambo haya 7 kwa kina.
Mkuu uko vizuri Sana big up sana
 
Milioni 20 jenga vyumba 20 vya kupangisha,
Chumba simple cha kupangisha mpaka kukamilika ujenzi ni 1mil × 20 = 20mil.

Ni chumba simple,
Ukihitaji vyumba classic vitapungua idadi.

Fundi ninaye.
Acha kumdanganya mkuu
 
Hello nifanye biashara gani, lengo langu nipate angalau laki moja kila siku.

Binafsi napenda saloon ya kike lakini sina uhakika kama nitaingiza laki moja kwa siku.

Naomba Ushauri wenu tafadhali.
biashara yoyote unaweza kuingiza hata 1m kwa siku ila swali ni kwamba una mtaji wa sh ngap?
 
Milioni 20 jenga vyumba 20 vya kupangisha,
Chumba simple cha kupangisha mpaka kukamilika ujenzi ni 1mil × 20 = 20mil.

Ni chumba simple,
Ukihitaji vyumba classic vitapungua idadi.

Fundi ninaye.


We jamaa umepiga hesabu kweli, kwanza hivyo vyumba 20 kwa mil 20 sijui kama vitavutia.

Pili assume amejenga vyumba 20 kila chumba elfu 50, kwa mwezi itakuwa mil 1 tu bado hajafikia lengo lake la laki kwa siku, hebu tafuta biashara nyingine ya kumshauri
 
Leta mil 20 nikujengee vyumba 20.

Dogo hiyo 25k kwa vyumba ishirini kwa mwezi ni laki tano, gawanya kwa 30 unapata sh ngapi? Umemwelewa mtoa mada anataka faida sh ngapi kwa siku?

Hapa sizungumzii vyumba vya maonyesho.
Ni vyumba vile vya kawaida tu,
Ambapo kwa hapa dar vinapangishwa kwa wastani wa 25+k visivyo na umeme..
 
Leta mil 20 nikujengee vyumba 20.

Hapa sizungumzii vyumba vya maonyesho.
Ni vyumba vile vya kawaida tu,
Ambapo kwa hapa dar vinapangishwa kwa wastani wa 25+k visivyo na umeme..

Dogo piga hesabu zako vzr 25k kwa vyumba ishirini itatoa laki kwa siku?
 
Baada ya kumkosoa huyo jamaa aliyemdanganya mtoa mada ajenge room 20 simple idea yake ni mbaya. Ngoja na mimi nitoe ushauri kidogo.

Kwanza kabisa sahau kuhusu faida laki kwa siku, sijasema haiwezekani, mimi ninaamini anything is possible, hata hiyo laki kwa siku siyo jambo la kushangaza ila sahau kwanza kuhusu hilo.

Pili, hiyo milioni ishirini ni mtaji mzuri, kamwe usithubutu kuanzisha biashara yeyote ile ukalaza huo mtaji wote chini, sijasema kwamba biashara haitakiwi ifikie mtaji wa milioni 20, inaweza ikawa zaidi ya hapo, ila sasa kulingana na hela yako uliyonayo, tenga kwanza milioni 10 pembeni usiitumie.

Tatu, fanya biashara unayoipenda na una uzoefu nayo, kama huna uzoefu wowote wa biashara yeyote jifunze kwanza biashara mojawapo utakayoipenda au tafuta ushauri kwa expert wa biashara hiyo hiyo utakayoianzisha, kisha ukiiva anza biashara kwa mtaji wa milioni 10 huku ukiendelea kujifunza kupitia changamoto zake, ukiwa expert unaweza kuongeza mtaji.

Mwisho kabisa, ukifanya biashara yako remember to "PAY YOURSELF FIRST"
 
8 Reactions
Reply
Back
Top Bottom