Kinyonga01
Member
- May 22, 2023
- 45
- 161
Habari zenu wapwa poleni na Majukumu ya Kila siku.
Mimi ni kijana wa miaka 24 nimehitimu chuo mwaka huu katika Shahada ya Uchumi na Fedha (Bachelor Degree in economics and finance) kwenye Moja ya vyuo vya uhasibu hapa nchini.
Katika Maisha ya kusoma nilifanikiwa kufanya savings ya kiasi Fulani Cha pesa na baada ya kuhitimu Baba yangu mzazi Aliniongezea kiasi Cha pesa kwa Lengo la kufanya biashara nikisubiri Neema ya mwenyezi MUNGU ya kupata Ajira.
Nimekuja kwenye jukwaa hili kuomba ushauri kwa wazoefu ni biashara Gani naweza fanya kwa mtaji huu.
Naomba kuwasilisha
Mimi ni kijana wa miaka 24 nimehitimu chuo mwaka huu katika Shahada ya Uchumi na Fedha (Bachelor Degree in economics and finance) kwenye Moja ya vyuo vya uhasibu hapa nchini.
Katika Maisha ya kusoma nilifanikiwa kufanya savings ya kiasi Fulani Cha pesa na baada ya kuhitimu Baba yangu mzazi Aliniongezea kiasi Cha pesa kwa Lengo la kufanya biashara nikisubiri Neema ya mwenyezi MUNGU ya kupata Ajira.
Nimekuja kwenye jukwaa hili kuomba ushauri kwa wazoefu ni biashara Gani naweza fanya kwa mtaji huu.
Naomba kuwasilisha