saloon

A bar is a long raised narrow table or bench designed for dispensing beer or other alcoholic drinks. They were originally chest high, and a bar, often brass, ran the length of the table, just above floor height, for customers to rest a foot on, which gave the table its name. Over many years, heights of bars were lowered, and high stools added, and the brass bar remains today. The name bar became identified with the business, (also known as a saloon or a tavern or sometimes as a pub or club, referring to the actual establishment, as in pub bar or club bar etc.) is a retail business establishment that serves alcoholic beverages, such as beer, wine, liquor, cocktails, and other beverages such as mineral water and soft drinks. Bars often also sell snack foods such as potato chips (also known as crisps) or peanuts, for consumption on their premises. Some types of bars, such as pubs, may also serve food from a restaurant menu. The term "bar" also refers to the countertop and area where drinks are served. The term "bar" derives from the metal or wooden bar (barrier) that is often located along the length of the "bar".Bars provide stools or chairs that are placed at tables or counters for their patrons. Bars that offer entertainment or live music are often referred to as "music bars", "live venues", or "nightclubs". Types of bars range from inexpensive dive bars
to elegant places of entertainment, often accompanying restaurants for dining.
Many bars operate a discount period, designated a "happy hour" or discount of the day to encourage off-peak-time patronage. Bars that fill to capacity sometimes implement a cover charge or a minimum drink-purchase requirement during their peak hours. Bars may have bouncers to ensure that patrons are of legal age, to eject drunk or belligerent patrons, and to collect cover charges. Such bars often feature entertainment, which may be a live band, vocalist, comedian, or disc jockey playing recorded music.
Patrons may sit or stand at the counter and be served by the bartender. Depending on the size of a bar and its approach, alcohol may be served at the bar by bartenders, at tables by servers, or by a combination of the two. The "back bar" is a set of shelves of glasses and bottles behind the counter. In some establishments, the back bar is elaborately decorated with woodwork, etched glass, mirrors, and lights.

View More On Wikipedia.org
  1. The ghost writer

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mrembo huyu hapa akipiga kazi. Nyie wengine kazi kushinda saloon na kupiga simu za vibumu. (Mizinga)

    Urembo wako usiwe guarantee ya kudate na wanaume kibao Ili wakuweke mjini. Acha kushinda saloon binti acha kushinda mtandaoni kutingisha makalio, kurembuarembua Ili upate likes. Kama mrembo, mbona warembo wapo kibao na wengine walishaiga dunia. Na bado kuna wengine daily wanazaliwa. Punguza...
  2. youngkato

    JamiiForums Tanzania Biashara na Kupata Leseni ya Saloon ya Kiume

    Masharti ya Mwombaji Ili kupewa leseni ya saloon ya kiume, unatakiwa: Uwe raia wa Tanzania mwenye umri wa miaka 18 au zaidi. Usiwe na rekodi ya makosa ya jinai. Uwe na eneo lililoidhinishwa kisheria na linalokidhi viwango vya usafi na afya. Uwe na mkataba wa pango iwapo fremu ya biashara...
  3. Moto wa volcano

    JamiiForums Tanzania Saloon za kike zinawabadilisha sana tabia wanawake

    Nimegundua saloon za kike zinawabadilisha sana tabia wanawake huwa wanafundishana ujinga , ni nafuu mke wako umpe masharti asiwe anaenda saloon za karibu na mtaa wenu. Mafundisho yote ya kijinga ya wanawake utayakuta kwenye saloon zao wanapeana ushetani
  4. youngkato

    JamiiForums Tanzania Unamiliki Saloon ya Kike au Kiume? Haya Ndio Mambo ya Kuzingatia Ili Kupata Leseni ya Biashara

    Mambo ya Kuzingatia Ili Kupata Leseni ya Biashara ya saloon Ikiwa unatoa huduma za saloon ya kike au ya kiume, kupata leseni ya biashara ni wajibu kisheria. Leseni hii ndiyo kibali rasmi kinachokuwezesha kutoa huduma zako kwa uaminifu, bila usumbufu wa kufungiwa au kulipa faini. Hapa chini...
  5. ndege JOHN

    JamiiForums Tanzania Biashara zangu Bora kwa sasa hapa bongo NI apartments, pool tables, saloon.

    Bado kuna upungufu mkubwa wa nyumba na lodge aisee wageni nchini wanazid kuingia mambo NI MENGI wachina na watu kutoka Mataifa wanamiminika kwenye miradi.imagine anakuja mchina anakuta Una nyumban hujamaliza kujenga yuko tayari kukupa hela uimalizie finishing wahamie.cake ya TAIFA iliwe kila mtu...
  6. haszu

    JamiiForums Tanzania Nafikiria kufungua saloon ya kiume kwa ajili ya usafi na urembo.

    Huduma kama 1. Kusafisha kucha Wanaume wengi wanajisahau sana suala la usafi wa kucha, unakuta kucha zimeweka weusi pembeni, nadhan pia ndio wanachangia kuongezeka kwa UTI na infection kwa wadada, kucha sharti ziwe safi. 2. Kupuliza perfume Wanaume wengi wanaharufu kali wengine asili wengine...
  7. nipo online

    JamiiForums Tanzania Biashara ya bucha au saloon?

    Wakuu nina 1,000,000 kati ya kuongeza salon ya pili na kufungua bucha la nyama ipi inaweza nilipa? asanteni
  8. mdukuzi

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimetongoza dada wa saloon juzi,leo amenipiga mzinga na kunitumia lipa namba

    Hata wiki bado,mzigo wenyewe sijala,leo kanipiga mzinga wa 30,000 Cha ajabu amenitumia Lipa namba hapo nikajiuliza nalipia huduma ipi sasa. Nilitaka kumtumia hiyo hela ila kitendo cha kunitumia lipa number ya saloon kwake kina ukakasi
  9. U

    JamiiForums Tanzania Anahitajika dada wa kufanya kazi saloon Dodoma

    Anahitajika dada au mkaka wa saloon anaejua kusuka mitindo yote vizuri, kufanya Makeup, kushonea weavings, kubond n.k Kama Yupo tafadhali anichecki: Inbox Eneo la kazi ni Makulu. NB: Salon ni mpya hivyo anahitajika mtu ambae ana uzoefu na asiwe anakaa mbali sana.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Uitaji wa Vifaa vya saloon ya kike mbeya

    Habari Wana jf naitaji mtu au Duka wanalo uza vifaa vya saloon ya kike mbeya kwa bei nafuu kabisa, asante
  11. M

    JamiiForums Tanzania Wakuu Sh 6M mwenye Crown royal saloon

    Wakuu habari zenu. Nina sh 6m naulizia mwenye Toyota crown royal saloon anauza ameichoka aweke picha na namba ya simu tufanye biashara Au kama hata mwenye Mark X aweke namba Asante
  12. A

    JamiiForums Tanzania Natafuta mfanyakazi wa saloon ya kike

    Wanajamvi natumai mko salama.kama nilivyodokeza hapo juu. Nahitaji mtu wa saloon ya kike, awe wa kike au wa kiume, kikubwa awe anajua kazi zote za saloon kama Kuosha wateja Kuweka Dawa Kusuka Misuko Tofauti Make Up kwa wateja Kubana styles tofauti. Awe anaishi Dar Nipigie kwa simu 0674626208...
  13. Mad Max

    JamiiForums Tanzania Honda 0 Series Saloon: EV yenye muonekano wa ki-future!

    Honda nao hawajachelewa party ya EV, tushaona Honda Prologue, N-VAN e na Ye Series EV, sasa wameleta all new 0 Series Saloon. Kwa sasa wameitangaza tu prototype, mass production haijaanza ila soon itaanza. Itakua na Level 3 ADAS, air suspension, na mazaga kibao. Kilichovutia wengi zaidi ni...
  14. M

    JamiiForums Tanzania Mchanganuo wa biashara ya saluni (vifaa/matumizi/faida)

    Salamu Wakuu Leo Napenda Kuwashirikisha Katika Mchanganuo Huu Wa Biashara Ya SALOON Hasa Ya Kiume. Biashara ya SALOON Ya Kiume ni Wazo Zuri. Hapa chini Nimekuandalia Mchanganuo Wa Biashara Hii Pamoja Na Gharama Halisi (Makadirio) Za Kuanzisha Saluni ya Kiume. KUMBUKA BEI/GHARAMA ZA VITU HAPA...
  15. Kipondo Cha ugoko

    JamiiForums Tanzania Nauza saloon ya kiume (Barber shop)

    Habari zenu wakuu! Kama kichwa cha mada kinavyojieleza, nauza saloon yangu ya kiume(barbershop) iliyopo makongo stend (mageuzio). Nimepata uhamisho wa kikazi hivyo haina budi kuiuza kwani sitoweza kusimamia nikiwa nje ya dares Salam ( mkoani). Saloon iko full ina viti vya kunyolea (barbershop...
  16. Class

    JamiiForums Tanzania Natafuta mfanyakazi wa saloon ya kike

    Wanajamvi natumai mko salama.kama nilivyodokeza hapo juu. Nahitaji mtu wa saloon,awe wa kike au wa kiume,kikubwa awe anajua kazi zote za saloon kama Kuosha wateja Kuweka Dawa Kusuka Misuko Tofauti Make Up kwa wateja Kubana styles tofauti. Saloon ni mpya,naifungua leo, Saloon ipo MKURANGA BUS...
  17. CONTROLA

    JamiiForums Tanzania Mdada anaejua kazi za saloon

    Kama kichwa kinavyosema nahitaji mdada anaejua kazi za saloon (ya kike) Kuosha wateja Kuweka Dawa Kusuka Misuko Tofauti Make Up kwa wateja Kubana styles tofauti Na Nyingine nyingi ambazo atakua ana uelewa nazo. Saloon ni MPYA imekamilika inahutaji tu mtu wa kazi. OFISI/SALOON ipo MBEZI...
  18. M

    JamiiForums Tanzania Siku Saloon za kiume zikigoma Wazee wengi tutaumbuka

    Nimewaza tu wazee wenzangu kuwa tuna kila sababu ya kuwashukuru wenye Barber Shop au Saloon kwa kutusaidia tusiufikirie saaaana uzee tulionao. Wengi tunapaka Black na wengine tunanyoa vipara kumaliza nywele kabisa. Lengo letu ni kuficha Mnvi na Vipara vinavyokuja naturally. Nakumbuka siku za...
  19. T

    JamiiForums Tanzania Hii Kesha,'s saloon Sinza ichunguzwe na wanawake acheni ujinga wa kutengeneza shepu

    Wakati Mkuu wa Mkoa Dar es salaam akiendelea kupambana na makahaba na madanguro Dar aangalie na hili suala la ubakaji unaoendelea katika saloon ya Kesha's iliyopo Sinza. Ni fedheha na aibu kubwa kwa kinachoendelea ndani ya saloon hiyo kikihusisha udhalilishaji wa wazi wa mwanamke. Kwenu...
  20. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania Ewe mwanamke mumeo ukimkuta kwenye saloon hizi piga Makofi

    Hii ndo siri ya kambi kama hamjui nini huwa kinaendelea huko. Msiseme hamkuambiwa.
Back
Top Bottom