MSAADA: Kila biashara ikianza kuchanganya nasimamisha kila kitu, nakuja kuzinduka wakati nimeshaharibu pakubwa

Brojust

Member
Sep 17, 2016
60
92
Samahani kwa mwandiko mbovu kidogo ila naandika nikiwa nina hasira sana baada ya jamaa yangu kuniletea taarifa nimekosa zaidi ya mil 2 kizembe sana.

Mimi ni kijana wa taaluma ya sheria na biashara, naweza sema nina kipaji maana nimekuwa msaada kwa watu wengi sana, na pia kuna wengine wamekuwa wakifanya mimi kuwa kama daraja kwako, sio kwamba nipo competent hapana ila nina inborn character ambayo naweza fanya jambo lako likafanikiwa tena kiurahisi tena kwa gharama ndogo sana.

Sasa hapa katikati nilifungua ofisi (mpaka leo ipo) maeneo ya Buguruni. Namshukuru Mungu nilianza kwa masihara tu ila baada ya watu kujua huduma zangu nikaanza kuaminika sana (hata na watu wa humu JF).

Shida ni moja, kwa siku za karibuni nimekuwa napata hali isiyo eleweka, naweza kufunga office hata wiki mbili bila sababu yoyote na wala hata simu sipokei, baadae akili inarudi naambiwa yaani watu walikuwa wananitafuta sana na nimekosa hela kabisa.

Mara ya kwanza niliona ni kawaida tu nikaenda kanisani, nikasali lakini labda mniambie nakosea wapi jamani.

Yaani kwa kifupi, huwa na loose kila kitu hadi nauli nakosa, ila nikija ofisini nikianza kufanya kazi ndani ya muda mchache tu hata wiki mbili, kazi zinachangaya napata clients wapya na madili kibao, nikianza ku take off tu sijui kitu gani huwa kinaniingia basi wale wateja wote nawapoteza na hata kuingia madeni fedheha pamoja na kuitwa tapeli.

Yaani hii hali inaniumiza sana sababu baada kama ya wiki moja ndio akili inakuja na nagundua kwamba nina office. Wakati mwingine nachelewesha kazi za watu na mambo mengi kibao.

Juzi tu kulikuwa kazi yaani ya bure kabisa kuna documents fulani hivi kuziandika na kufuatilia vibali kwenye taasisi fulani. Mteja alifika almost 2M sasa huyo jamaa aliyemleta ameniambia alinitafuta karibia siku 4 mpaka kazi akaenda kumpa mtu mwingine. Mimi simu sipokei nimekaa tu sehemu sijielewi ila muda huo nakuwa nakunywa pombe.

Jamani naomba kusaidiwa, mbona nasali sana au sijui kusali? Nina laana? Mbona naomba toba kila siku? Nalogwa (hapa sina uhakika sababu ninasumbuliwa sana na ndoto za ajabu)?

Nifanye nini? Vijana wenzangu wanaendelea mimi nipo pale pale! Nina taaluma, nina office tena ya kwangu, ila maisha yangu hayaeleweki?

Naomba msaada jamani wa kiroho au kimwili.

Mungu awabariki.
 
Jamaa unaonekana unakismart sana. Unaweza share aina ya Biashara nasi tuone uwezekano wakuifungua huku tunduma. Tukusanye mia2 mia3
 
Jamaa unaonekana unakismart sana. Unaweza share aina ya Biashara nasi tuone uwezekano wakuifungua huku tunduma. Tukusanye mia2 mia3
Mbona kawaida tu! Mwanasheria, nasajiri biashara, kampuni na Taasisi, naandika proposal, business plan, na transform idea into tangible business concept pia naidevelop na kukutanisha na stakeholders kwenye field husika. Mengine ni kuzurura kwenye potential site na kutafuta parfect business idea nai customize kutokana na mazingira yetu then nauza. Na mengine mengi tuu.
 
Mbona kawaida tu! Mwanasheria, nasajiri biashara, kampuni na Taasisi, naandika proposal, business plan, na transform idea into tangible business concept pia naidevelop na kukutanisha na stakeholders kwenye field husika. Mengine ni kuzurura kwenye potential site na kutafuta parfect business idea nai customize kutokana na mazingira yetu then nauza. Na mengine mengi tuu.
Nakubali mwanetu
 
Watu wengi ambao mambo yao yanaharibika sababu ya utumiaji wa pombe uliopitiliza sio watu wazuri wa kupokea ushauri na kuufanyia kazi.

Hubadilika tu pale mambo yanapokwenda kombo (learning the hard way). Mfano kufukuzwa kazi, kukimbiwa na mke, kupoteza biashara, kuharibu mahusiano na wadau. Etc.

Mkuu jichunguze, achana na visingizio
 
Watu wengi ambao mambo yao yanaharibika sababu ya utumiaji wa pombe uliopitiliza sio watu wazuri wa kupokea ushauri na kuufanyia kazi.

Hubadilika tu pale mambo yanapokwenda kombo (learning the hard way). Mfano kufukuzwa kazi, kukimbiwa na mke, kupoteza biashara, kuharibu mahusiano na wadau. Etc.

Mkuu jichunguze, achana na visingizio
Nashukuru sana kaka ila mpaka naweka hapa ni kwamba nahisi kuna kitu hakipo sawa ndio maana wakati namalizia nikasema kwa ambao mnaweza kunisaidia mlifanyaje nahitaji msaasa either wa kiroho ama kimwili, nafsi yangu ipo tayari kupokea. Sio kwamba nakosa Kodi ndio maana nimekuja hapa hapana, kodi yangu ipo na nina uhakika wa kupata Ila tu, kwanini kila nikianza ku take off narudi moja ? Kama hutojali share na Mimi ndio maana kubwa ya great thinkers
 
Hopefully utapata wateja wengi kupitia humu maana branding yako nimeielewa

1. Jiangalie tabia zako binafsi, je ni mtu wa kuridhika upesi kiasi ukipata pesa kidogo ya kukufaa kwa wakati mchache inakupatia uvivu. Ila njaa ikirudi na kukosa hela ya pombe ndio unarudi

2. Unao watu wanaokutegemea kiasi wanakupa inspiration ya kutafuta au wewe ni wale, unakuta una ofisi na kila kitu ila wazazi nao walo vizuri. Kwa hiyo hata ukifanya uvivu unajua dunia haitokutesa maana una sehemu ya kujishikiza

3.je, huwa unasali kwa kumshirikisha labda mtumishi wa Mungu ili akupe tag ya maombi au unasali unavyoona ni sawa

4. Je, unaipenda hiyo kazi au unaifanya kwa ajili ya kusogeza siku maana kuweza kufanya kitu flani si sawa na kukipenda.


5. Umeshawashirikisha wazazi au watu wazima maana kuna mambo mengine unakuta ni ya ukoo au wanajua ni nini cha kufanya ila wewe unapambana peke yako.

6. Unakaa maeneo gani, je katika eneo unaloishi kuna watu wa haiba na kariba yako au wewe ndio unaonekana kijana uliyepiga hatua ya kimaisha. Maana kuna mitaa ukiishi kwa namna hiyo, macho yote yapo kwako, sio vizur pia

Yote kwa yote.kama umelijua tatizo, usijihurumie kulitatua na ukihisi hiyo hali
 
Work hard.

_20231123_161759.JPG
 
#ILA MUDA HUO NAKUWA NAKUNYWA POMBE.

Utazunguka sana ilaa hapo ndo uchawi ulipoo..pole sana kma kuna mtu kakulogea kwenye pombe maana kiufupi utapoteza kila kitu kuna dogo langu aliniambia kanda ya singida ndo mambo yao ukianza kufanikiwa tu unalogewa kwenye pombee aisee ulevi na wew wew na kulewa. So kama hujalogwa jitafakari na ujianze upya
 
Samahani kwa mwandiko mbovu kidogo ila naandika nikiwa nina hasira sana baada ya jamaa yangu kuniletea taarifa nimekosa zaidi ya mil 2 kizembe sana.

Mimi ni kijana wa taaluma ya sheria na biashara, naweza sema nina kipaji maana nimekuwa msaada kwa watu wengi sana, na pia kuna wengine wamekuwa wakifanya mimi kuwa kama daraja kwako, sio kwamba nipo competent hapana ila nina inborn character ambayo naweza fanya jambo lako likafanikiwa tena kiurahisi tena kwa gharama ndogo sana.

Sasa hapa katikati nilifungua ofisi (mpaka leo ipo) maeneo ya Buguruni. Namshukuru Mungu nilianza kwa masihara tu ila baada ya watu kujua huduma zangu nikaanza kuaminika sana (hata na watu wa humu JF).

Shida ni moja, kwa siku za karibuni nimekuwa napata hali isiyo eleweka, naweza kufunga office hata wiki mbili bila sababu yoyote na wala hata simu sipokei, baadae akili inarudi naambiwa yaani watu walikuwa wananitafuta sana na nimekosa hela kabisa.

Mara ya kwanza niliona ni kawaida tu nikaenda kanisani, nikasali lakini labda mniambie nakosea wapi jamani.

Yaani kwa kifupi, huwa na loose kila kitu hadi nauli nakosa, ila nikija ofisini nikianza kufanya kazi ndani ya muda mchache tu hata wiki mbili, kazi zinachangaya napata clients wapya na madili kibao, nikianza ku take off tu sijui kitu gani huwa kinaniingia basi wale wateja wote nawapoteza na hata kuingia madeni fedheha pamoja na kuitwa tapeli.

Yaani hii hali inaniumiza sana sababu baada kama ya wiki moja ndio akili inakuja na nagundua kwamba nina office. Wakati mwingine nachelewesha kazi za watu na mambo mengi kibao.

Juzi tu kulikuwa kazi yaani ya bure kabisa kuna documents fulani hivi kuziandika na kufuatilia vibali kwenye taasisi fulani. Mteja alifika almost 2M sasa huyo jamaa aliyemleta ameniambia alinitafuta karibia siku 4 mpaka kazi akaenda kumpa mtu mwingine. Mimi simu sipokei nimekaa tu sehemu sijielewi ila muda huo nakuwa nakunywa pombe.

Jamani naomba kusaidiwa, mbona nasali sana au sijui kusali? Nina laana? Mbona naomba toba kila siku? Nalogwa (hapa sina uhakika sababu ninasumbuliwa sana na ndoto za ajabu)?

Nifanye nini? Vijana wenzangu wanaendelea mimi nipo pale pale! Nina taaluma, nina office tena ya kwangu, ila maisha yangu hayaeleweki?

Naomba msaada jamani wa kiroho au kimwili.

Mungu awabariki.
Ww ni cha pombe ukipiga pesa unakwenda kulewa na ukishalewa kila kitu unasahau ,unakuja kupata unafuu umeishiwa pesa na umepoteza,wateja, tafuta mfanyakazi weka oficn ,mfanyakazi wako ajue wapi unaishi na kila jion ukitoka ificn toka,nae ili ajue wapi unapokunywa na kupanda juu ya meza kifua wazi ukiimba hovyo, cku ikitokea kazi ya maana akufuate huko bar ufanye kazi kisha uwendelee na kazi ya kulewa
 
#ILA MUDA HUO NAKUWA NAKUNYWA POMBE.

Utazunguka sana ilaa hapo ndo uchawi ulipoo..pole sana kma kuna mtu kakulogea kwenye pombe maana kiufupi utapoteza kila kitu kuna dogo langu aliniambia kanda ya singida ndo mambo yao ukianza kufanikiwa tu unalogewa kwenye pombee aisee ulevi na wew wew na kulewa. So kama hujalogwa jitafakari na ujianze upya
@rikiboy kwa watu wa singida nasadiki. kisa cha kwanza kwenye uzi
huu ni kutoka manyoni. Katika ulimwengu wa kishirikina, nguo yako ni wewe
 
Hopefully utapata wateja wengi kupitia humu maana branding yako nimeielewa

1. Jiangalie tabia zako binafsi, je ni mtu wa kuridhika upesi kiasi ukipata pesa kidogo ya kukufaa kwa wakati mchache inakupatia uvivu. Ila njaa ikirudi na kukosa hela ya pombe ndio unarudi

2. Unao watu wanaokutegemea kiasi wanakupa inspiration ya kutafuta au wewe ni wale, unakuta una ofisi na kila kitu ila wazazi nao walo vizuri. Kwa hiyo hata ukifanya uvivu unajua dunia haitokutesa maana una sehemu ya kujishikiza

3.je, huwa unasali kwa kumshirikisha labda mtumishi wa Mungu ili akupe tag ya maombi au unasali unavyoona ni sawa

4. Je, unaipenda hiyo kazi au unaifanya kwa ajili ya kusogeza siku maana kuweza kufanya kitu flani si sawa na kukipenda.


5. Umeshawashirikisha wazazi au watu wazima maana kuna mambo mengine unakuta ni ya ukoo au wanajua ni nini cha kufanya ila wewe unapambana peke yako.

6. Unakaa maeneo gani, je katika eneo unaloishi kuna watu wa haiba na kariba yako au wewe ndio unaonekana kijana uliyepiga hatua ya kimaisha. Maana kuna mitaa ukiishi kwa namna hiyo, macho yote yapo kwako, sio vizur pia

Yote kwa yote.kama umelijua tatizo, usijihurumie kulitatua na ukihisi hiyo hali
Ahsante sana kaka nimezichukua point zote sita (6) baadhi tayari ndio nazifanyia kazi, mfano nilikuwa nakaa sehemu ambayo mimi ndio msomi jamii yote inayonizunguka ni jamaa zetu tu wa kazi za kawaida na wengine ni wazee wastaafu, nimehama almost mbali kabisa na kuanzia dec 1 ndio Kodi yangu inaanza kusoma.

Then, Kama hutojari au yeyote anayesoma comment hii nataka kujua ni maombi ya aina gani binadamu unaweza kumuomba mungu kwa kuongea nae kabisa ili akutoe kwenye kifungo cha pombe ?

Pili, Ngoja nishare story moja na wewe hapo nyuma kuna rafiki yangu wa kike baada ya kuhangaika sana akaniambia basi twende kwa bwana mmoja hivi (Shekhe) tumefika pale yule jamaa akaniuliza maswali machache ikiwemo jina langu, jina la Mama, jina la baba, akapiga hesabu zake pale akasema wewe tatizo lako ni namba moja. Yaaani utazunguka weee Ila tatizo ni namba moja, Sasa mbona alinipa dawa zake nikatumia lakini sijafanikiwa ?

Ndio maana naomba wajuvi wa Imani yangu (mkristo) natokaje hapa ? Ahsante
 
Ww ni cha pombe ukipiga pesa unakwenda kulewa na ukishalewa kila kitu unasahau ,unakuja kupata unafuu umeishiwa pesa na umepoteza,wateja, tafuta mfanyakazi weka oficn ,mfanyakazi wako ajue wapi unaishi na kila jion ukitoka ificn toka,nae ili ajue wapi unapokunywa na kupanda juu ya meza kifua wazi ukiimba hovyo, cku ikitokea kazi ya maana akufuate huko bar ufanye kazi kisha uwendelee na kazi ya kulewa
Duuuh kaka, nashukuru lazima nipokee comments yako sababu nataka kutoka huku, Ahsante sana ila mie sio cha pombe kiasi hicho.
 
Samahani kwa mwandiko mbovu kidogo ila naandika nikiwa nina hasira sana baada ya jamaa yangu kuniletea taarifa nimekosa zaidi ya mil 2 kizembe sana.

Mimi ni kijana wa taaluma ya sheria na biashara, naweza sema nina kipaji maana nimekuwa msaada kwa watu wengi sana, na pia kuna wengine wamekuwa wakifanya mimi kuwa kama daraja kwako, sio kwamba nipo competent hapana ila nina inborn character ambayo naweza fanya jambo lako likafanikiwa tena kiurahisi tena kwa gharama ndogo sana.

Sasa hapa katikati nilifungua ofisi (mpaka leo ipo) maeneo ya Buguruni. Namshukuru Mungu nilianza kwa masihara tu ila baada ya watu kujua huduma zangu nikaanza kuaminika sana (hata na watu wa humu JF).

Shida ni moja, kwa siku za karibuni nimekuwa napata hali isiyo eleweka, naweza kufunga office hata wiki mbili bila sababu yoyote na wala hata simu sipokei, baadae akili inarudi naambiwa yaani watu walikuwa wananitafuta sana na nimekosa hela kabisa.

Mara ya kwanza niliona ni kawaida tu nikaenda kanisani, nikasali lakini labda mniambie nakosea wapi jamani.

Yaani kwa kifupi, huwa na loose kila kitu hadi nauli nakosa, ila nikija ofisini nikianza kufanya kazi ndani ya muda mchache tu hata wiki mbili, kazi zinachangaya napata clients wapya na madili kibao, nikianza ku take off tu sijui kitu gani huwa kinaniingia basi wale wateja wote nawapoteza na hata kuingia madeni fedheha pamoja na kuitwa tapeli.

Yaani hii hali inaniumiza sana sababu baada kama ya wiki moja ndio akili inakuja na nagundua kwamba nina office. Wakati mwingine nachelewesha kazi za watu na mambo mengi kibao.

Juzi tu kulikuwa kazi yaani ya bure kabisa kuna documents fulani hivi kuziandika na kufuatilia vibali kwenye taasisi fulani. Mteja alifika almost 2M sasa huyo jamaa aliyemleta ameniambia alinitafuta karibia siku 4 mpaka kazi akaenda kumpa mtu mwingine. Mimi simu sipokei nimekaa tu sehemu sijielewi ila muda huo nakuwa nakunywa pombe.

Jamani naomba kusaidiwa, mbona nasali sana au sijui kusali? Nina laana? Mbona naomba toba kila siku? Nalogwa (hapa sina uhakika sababu ninasumbuliwa sana na ndoto za ajabu)?

Nifanye nini? Vijana wenzangu wanaendelea mimi nipo pale pale! Nina taaluma, nina office tena ya kwangu, ila maisha yangu hayaeleweki?

Naomba msaada jamani wa kiroho au kimwili.

Mungu awa
 
Back
Top Bottom