Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,472
- 12,889
Yeah ila inategemea na eneo husika mkuuMgeni nani kuna sehemu ni ushuani sana. Ila kwa thamani ya ardhi nadhani maramba inaongoza.
Yeah ila inategemea na eneo husika mkuuMgeni nani kuna sehemu ni ushuani sana. Ila kwa thamani ya ardhi nadhani maramba inaongoza.
Upo sahii mkuuKijichi ni kwakishua KULIKO malamba mawili lakin kwa nyumba za kupangisha malamba mawili ni bei KULIKO kijichi
Hivi mnaizungumzia mgeni gani hiyo ambayo mnaiita uswahilini? Kipindi fulani nilikua natafuta kiwanja nikapelekwa kwe viwanja wanaita vya BOT, kiwanja tu 50mil na ni kumejengeka vizuri. Kuna lami inakuja kutokea nyumba za NSSF Kibada.Okay
Sure location yake ndo inaishushia hadhi! uelekeo wa njia ya kusini kwa bahati mbaya tokea zaman pamekuwa ni maeneo ambayo yanaonekana ni ya hadhi ya chini! halaf jina nalo dah mgen nani!🙉 nishafika huko ni kweli kuna nyumba nzuri ila ndo hivyo tena!Hivi mnaizungumzia mgeni gani hiyo ambayo mnaiita uswahilini? Kipindi fulani nilikua natafuta kiwanja nikapelekwa kwe viwanja wanaita vya BOT, kiwanja tu 50mil na ni kumejengeka vizuri. Kuna lami inakuja kutokea nyumba za NSSF Kibada.
Mtoni Kijichi inaweza kua iko ndani ya mbagala kweli lakin kuna baadhi ya maeneo ni ya kishua mno, hayana uswahili uswahili.
Nakushauri kama ni umetumiwa picha jaribu kwenda wewe Mwenyewe mpaka huko ukakague.
Mimi naishi Goba..juzi kati nilienda Kijichi...watu wanabaeza ila Kijichi ni best place sema watu hawajui..barabara zote zina lami kama vile upo masaki..na kijichi imejengeka sema watu hawajui wanaleta ujuaji mwingiMie nina uhusiano na maeneo yote. Nenda mgeni nani. Ni km 15 to city centre na kuna miundombinu. Huko kwingine ni zaidi ya km 25.
Mimi naishi Goba..juzi kati nilienda Kijichi...watu wanabeza ila Kijichi ni best place sema watu hawajui..barabara zote zina lami kama vile upo masaki..na kijichi imejengeka sema watu hawajui wanaleta ujuaji mwingi[ kijichi ni ushuani /QUOTE]
Nakazia!Daah!
Aisee kijichi pako ushuani sana, hata thamaani ya Ardhi nadhani inazidi ile ya malamba mawili. Chagua ya Kijichi jamaa yangu...Heshima kwenu wakuu.
Kuna jamaa yangu kaniomba kiasi fulani cha fedha kwa malipo ya moja ya nyumba zake ambazo moja iko Mgeni Nani na nyingine iko Mbezi Maramba Mawili.Zote ni nzuri za kisasa na zina ukubwa sawa.
Sina ufahamu mzuri na vitongoji vya jiji la Dar hivyo nimeona nije kwenu wakuu mnisaidie kuchagua kati ya hizo Location mbili ni ipi ina thamani zaidi na ipi italeta kodi nzuri zaidi.
Natanguliza shukrani wakuu
Poa mkuuAisee kijichi pako ushuani sana, hata thamaani ya Ardhi nadhani inazidi ile ya malamba mawili. Chagua ya Kijichi jamaa yangu...
Hatari sanaNakazia!
Wanasoma heading tu alafu wanacoment Dah!
Wakisikia iko Mbagala ndo inakua hivyo but yeah Kijichi ni ushuaniMimi naishi Goba..juzi kati nilienda Kijichi...watu wanabaeza ila Kijichi ni best place sema watu hawajui..barabara zote zina lami kama vile upo masaki..na kijichi imejengeka sema watu hawajui wanaleta ujuaji mwingi
Wakukurupuka wako wengiSijui kama jamaa alisoma nilichoandika
Chukua mbezi Malamba mawili utanishukuruHeshima kwenu wakuu.
Kuna jamaa yangu kaniomba kiasi fulani cha fedha kwa malipo ya moja ya nyumba zake ambazo moja iko Mgeni Nani na nyingine iko Mbezi Maramba Mawili.Zote ni nzuri za kisasa na zina ukubwa sawa.
Sina ufahamu mzuri na vitongoji vya jiji la Dar hivyo nimeona nije kwenu wakuu mnisaidie kuchagua kati ya hizo Location mbili ni ipi ina thamani zaidi na ipi italeta kodi nzuri zaidi.
Natanguliza shukrani wakuu
😆😆😆😆Wenye akili wote hutafuta nyumba au viwanja morogoro road au kule bagamoyo road
Huko kwengine ni uswekeni wanna, wachawi, wahuni, vibaka, na mambo kedekede
Ipo hv kwa mimi nimekulia kijichi n nimeishi mbezi ila mgeni nani na mazingira yake na nyumba zilizopo n miundombinu yake kwa sasa naweza kusema vinashabiiana na maeneo wanayo ishi wakubwa mf ostarbay au masaki pia ni mazingira ambayo yamejengeka kimakazi zaid na si kibiashara kam maeneo mengine hivyo hata upande wa kodi zake zipo chini ukilinganish na mbezi ila gharama ya kiwanja ipo juu kuliko mbezi hivyo kama unatak kuishi na familia basi nenda Kijichi ila kam kwaajili ya biashara bas nenda mbezi kwakuwa mbezi kunamuingiliano mkubwa wa watu tofauti na kijichi na kodi zake zipo juu
Nasikitika kuwa hukujui mgeninani, na wala havina ukaribu na mbagala. Unajua kiwanja mgeninani kinafika shilingi ngapi? Connectivity ya mgeninani na maeneo mengine kama kibada, kigamboni au hata mjini iko vizuri kabisa, tafauti na maramba mawili.Nenda mbezi maramba mawili.mgeninani ni mbagala,hata kodi inaweza kuwa chini compared na mbezi..thamani ya mgeninani haifikii mbezi
Sure mkuuWakukurupuka wako wengi
Naomba sababu kiongoziChukua mbezi Malamba mawili utanishukuru