Ni wakati gani wachawi huroga?

Ni wakati gani wachawi huroga?

Huenda ipo siku nitakuja funguka kama mimi ni mtu wa aina gani, mikasa na visa nilivyopitia, nini maono yangu mara baada ya kupitia hayo, je nimewahi kuwaona majini kwa macho au kuongea nao, mimi ni mchawi au lah, imani yangu
nk
Hapo kutakuwa na funzo zito haswa kwa wale ambao hawajawahi hata kuuhisi uchawi na wale wenye kuujua watasisimkwa na mwili, maana kilichoshamiri leo ujue kiliimarishwa jana na kila kitu kina chanzo chake.
Kwa sasa tujikite katika mada husika.......pia namshukuru mkuu Mshana anavyoleta mada hizi na anafanya kazi kubwa.
Hapo mkuu Jichawi hujajibu kitu na hiyo ni hulka..!
 
Inawezekana kabisa bila wasi wasi wowote.......muhimu ni kujua kuwa umekusanya majini wakali na makatili na kinachowaunganisha sio undugu bali ni maagano.
Viaga (vyakula) vyao vipatikane kwa wakati pamoja na kafara zao ikiwemo zawadi mara baada ya kila wanapomaliza kazi uliyowatuma, ila ukifanya mchezo wanaweza wakaangamia wanao wote (kama unao) pamoja na wewe mwenyewe.
Duh!!! Basi baba......hayo nimeshayaona kwa macho yangu kwa marehemu babu yangu
 
Myth zamani mshana alipokuwa anaandika mada zzake nilikuwa nafungua page moja tu nikisoma naona mhh ila siku h izi ni ni page baada ya page mpaka siku imekuwa ya moto balaaa hahaha cijui ndo natka kuwa mwanga au mchawi hehehe jichawi ebu nimbie siri fupa la kitimoto linasaidia nini
 
mwenye shuhuda pliiiz
ukituonjesha zen ukashinda kutoa
sio poa.
ok tuache hayo mwenye shuhuda pliiizi share na sis basiiii kwani kuna ubayaaaaa
 
Hivi inakuaje kwenye biashara unaambiwa mtu anatumia kitu kuvuta wateja na kupata pesa hii ipo au ni mazungumzo tu!
Na kama ipo masharti ni mpaka kuua au kuna njia nyingine?
Jichawi, mshana jr saidieni hapo
 
Hivi inakuaje kwenye biashara unaambiwa mtu anatumia kitu kuvuta wateja na kupata pesa hii ipo au ni mazungumzo tu!
Na kama ipo masharti ni mpaka kuua au kuna njia nyingine?
Jichawi, mshana jr saidieni hapo
Kwa sehemu kubwa ni story ila hao wanaofanya hivyo wanaishi kwenye matatizo makubwa kuliko faida wanayopata
 
Kuna sehemu tulifanya biashara moja huyo jamaa unakubaliana nae anabadilika kama mara tatu baadae tukafanikisha ila wajuzi wa haya mambo wakasema hao watu hawafanyi biashara mpaka warushe mawe
Yaani waangalie mambo yao kama watapata faida na haitakua na tatizo hii imekaaje?
 
Kuna sehemu tulifanya biashara moja huyo jamaa unakubaliana nae anabadilika kama mara tatu baadae tukafanikisha ila wajuzi wa haya mambo wakasema hao watu hawafanyi biashara mpaka warushe mawe
Yaani waangalie mambo yao kama watapata faida na haitakua na tatizo hii imekaaje?
Yeah kuna watu hawafanyi biashara mpaka wafanye hivyo na hii ipo sana kwa wahindi waarabu na hata wachina na kabila zote za ukanda huo..hapo hufanya mixer ya mizimu majini nyota na ushirikina
 
Back
Top Bottom