Ni wakati gani wachawi huroga?

Ni wakati gani wachawi huroga?

Mkuu wewe ni wa imani gani, vitabu vitukufu vinakubali uchawi upo na Mungu aliuleta ili iwe majaribu kwa watu, km ilivyo pombe, wizi, zinaa, na kuwepo kwa Mungu Mwenyewe.

Nakumbuka Central Africa wanasheria ya kuhukumu wachawi, na kuna jela ya wachawi, Mwandishshi wa Aljazeera alimuuliza Mwanasheria wa serikali ktk nchi hiyo kua uchawi haujathibitishwa kisayans hivyo kwann wanaamini na kuwahumu watuhumiwa wa uchawi pale wanapokamatwa? Jibu la mwanasheria liliku. " watu duniani waislam na wakristo wanaamini uweo wa mungu na miujiza ya mungu ktk maisha yao, na hakuna siku mungu alionekana au kuthibitishwa na sayans kua yupo lakini anaabudiwa,iweje ushangae uchawi ambao tunawwza kumuona mtu anasababisha madhara kwa wengine na pngine anakiri kua amemroga mtu au amkula mtoto wa juran aliepotea.

Hivyo ukiwa unaamini kuna mungu basi usiwe mzito kuamni kua kuna uchawi na unafanya kazi yak

Kubwa ni kua na imani kwamba uchawi ni kiumbe cha mungu km simba, kuku, mbingu, ardh, binadamu, mti, upepo n.k. kwakua ni kiumbe tu basi alieumba ndiilo mwenye nguvu na mamlaka juu ya hicho hivyo usiwe na hofu na uchawi ikazidi hofu yq mungu, na usiwe na matumaini na uchawi ukaacha kumtumaini Mungu. Huo ndio mtazamo wangu.

Hakuna uchawi wewe.

Watu tushatoa changamoto kwa wachawi waturoge humu lakini bado tupo tunadunda tu.
 
Hakuna uchawi wewe.

Watu tushatoa changamoto kwa wachawi waturoge humu lakini bado tupo tunadunda tu.
Mkuu ligi ya uchawi ni kama ligi kati ya wema na ubaya , ni tangia mwanzo wa uumbaji mpaka kiama, kwahiyo kama umeshatambiana nao, jilinde ili kinga yako isipungue, wale wanakushindwa leo uko vizuri ila kesho ukijisahau wanamaliza, kwa hivyo kinga yako iwe ni mfumo wako wa maisha kabisa la sivyo!
Na tena ukitambiana nao usidhani umetambiana na mtu wao, wanahesabu umetambiana na ufalme wao, hivyo you are marked, popote duniani mjumbe wao yeyote anaweza kuendeleza ligi na wewe siku yeyote, hivyo usifikie hatua ya kutambiana nao ila tu endapo una mfumo mzuri wa maisha wenye kukulinda, na huo ni mfumo wa kimungu,
 
Hahahahahaha haya bana, unajua siku zote wanasema waswahili usilolijua sawa na usiku wa giza.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] na unalolijua ni sawa na usiku wa mbalamwezi[emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji779]
 
.
tapatalk_1577055554866.jpeg


Jr[emoji769]
 
Wachawi hutenda mambo yao muda wowote na ni bora usiwaone hivi hivi maana wanayofanya ni mabaya, wanaweza kukugeuzia chakula unachokula na kukuwekea vitu vya ajabu kama funza, michanga nk na wewe ukala na baada ya hapo ukaanza kuumwa(kwao hii huita michezo ama test kukujua kama umeaga sawa sawa), ndio maana katika katika Ukristo kuna maombi karibu kila jambo unalotenda na katika Uislam kuna dua za kula, kuingia msalani, kulala nk.....yote hii ni kwa sababu Mungu alishajua kuwa viumbe viovu ikiwemo wachawi na majini wapo kazini mda wote.
Kwa mfano umeaga kisawasawa kama unavyosema halafu wakakutest nini kitatokea na wewe uliyeaga utajuaje umetestiwa? Kwako Jichawi, Mshana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Siku utuletee mada ya Kazi ya ramba ramba wale wanaowataja wachawi mtaani na kuwaweka dawa ambayo mtu akirudia uchawi wake anaondoka!

Binafsi nawependa sana lakini saingine wanapata vikwazo toka kwa madiwani sijui nao wengine wanaogopa kuumbuka mtaani?!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Teh teh teh ndio.....niliwahi kwenda mji fulani tulipata msiba, wakati wa kula nilipatiwa chakula na wazee watatu wa mji ule.
Nilipoanza kula walikuwa wakiniangalia sana na kama wanaoonyesha jicho la kutaka nile zaidi, nilipomaliza kula nikatapika pembeni chakula chote wakaonyesha kushtuka sana......nikawafuata na kuwaambia kuwa zamu yenu nimeshaiona bado zamu yangu sasa na nikanyanyuka na kusukutua.
Ilikuwa wameweka vitu vikali kiasi ambacho mtu unaweza kwenda na maji hivyo walishtuka kwa kuona mitego yao nimeivuka kirahisi, ndugu Mvumbo, hapo jazba ilishanipanda nikaingia chooni lengo sio kujisaidia bali na mimi kupata wasaa wa kugeuza mashambulizi.

Tumuabudu Mungu atatuepusha na hadaa za dunia hii
Mbona hapo kilichokusaidia ni wewe kuwa uko fit mtu mzito umeaga kwenu? siwe wengine ktk hali kama hyo unafikiri kingetokea nn kama si kubadilishwa jina?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maana zako huwa naziona ziko too low,maana huwa unaunga unga na kutafuta vihabari vya kuokoteleza ili uonekane wewe ni mtaalamu wa sanaa za giza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimejifunza ku focus katika maisha bila kujali changamoto kuna mtu alishawahi kuniuliza nalipwa bei gani nikamwambia silipwi chochote bali ni dhati tu ya rohoni ya kuwafunulia watu haya mambo mpaka leo ni best friend
Haikuwa kazi rahisi wala safari ya furaha na vicheko lakini hatimaye sasa naelekea kueleweka na maswali na chagizo vimepungua mno...lakini haikuwa rahisi
Uncle Mshana na Jichawi mimi chumbani kwangu nikiamka nakuta maji yamemwagwa sakafuni yakaganda kama kitu chenye asili ya sukari mfano soda au chai na ni mara ya pili nimekwisha ona, ni nini hicho

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wala usitafute kujua ninini.. Wewe kimwagie tu maji ya chumvi au maji ya ndimu
Uncle Mshana na Jichawi mimi chumbani kwangu nikiamka nakuta maji yamemwagwa sakafuni yakaganda kama kitu chenye asili ya sukari mfano soda au chai na ni mara ya pili nimekwisha ona, ni nini hicho

Sent using Jamii Forums mobile app

Jr[emoji769]
 
Wala usitafute kujua ninini.. Wewe kimwagie tu maji ya chumvi au maji ya ndimu

Jr[emoji769]
Mkuu @ mshana jr jee ni kwel maj ya chumvi au maj ya ndimu kama ulivosema yanaweza kutumika kukukinga na roho za giza?? Mfano ukinynyuzia maji ya chumv ndan, au ukayaweka kwny chombo maalum ndan kwko inasaidia kufukuza nguvunza giza?? Maana naona hata maji ya baraka wanayotumia wakatoliki wa Roma ni ya chumvi..

Swali lingne mkuu.. nimekua nikisikia kua bangi ni jani takatifu katika imani ya( KiRasta) kwamba mtu yoyote anayetumia bangi inakua ni ngumu kama sio haiwezekan kabisa kumloga au kumdhuru kichawi. Na ndio maana wenzetu marasta hupiga bangi kwnza kabla ya ibada wakiamin hufukuza roho zote chafu. Na pia nilishawahi kusikia kisa kimoja ambapo mtu aliekua akiamin analogwa alipoenda kwa mganga alipewa bangi ili kujikinga. Je kuna ukwel wowote kuhusu hli?? Na kama upo matumiz yake sahihi ni yap?? Ni lazima kuvuta? Au la..
 
Nitakurejea
Mkuu @ mshana jr jee ni kwel maj ya chumvi au maj ya ndimu kama ulivosema yanaweza kutumika kukukinga na roho za giza?? Mfano ukinynyuzia maji ya chumv ndan, au ukayaweka kwny chombo maalum ndan kwko inasaidia kufukuza nguvunza giza?? Maana naona hata maji ya baraka wanayotumia wakatoliki wa Roma ni ya chumvi..

Swali lingne mkuu.. nimekua nikisikia kua bangi ni jani takatifu katika imani ya( KiRasta) kwamba mtu yoyote anayetumia bangi inakua ni ngumu kama sio haiwezekan kabisa kumloga au kumdhuru kichawi. Na ndio maana wenzetu marasta hupiga bangi kwnza kabla ya ibada wakiamin hufukuza roho zote chafu. Na pia nilishawahi kusikia kisa kimoja ambapo mtu aliekua akiamin analogwa alipoenda kwa mganga alipewa bangi ili kujikinga. Je kuna ukwel wowote kuhusu hli?? Na kama upo matumiz yake sahihi ni yap?? Ni lazima kuvuta? Au la..

Jr[emoji769]
 
Ukiuliza hili swali wengi watakuambia usiku...lakini kiuhalisia ni kwamba wachawi huroga muda wowote katika mazingira yoyote na popote.Wale wa usiku ni wanga na washirikina tuu.

Mwanga kazi yake kubwa ni kufurahisha nafsi kwa kukuchezea na kukuchosha lakini hana madhara kivile.

Mshirikina ni mpiga dili na mfanyabiashara ni mtu wa kati huyu ndio mhusika mkuu wa kupeleka kwa wachawi zana za kufanyia madawa kama nywele damu, nguo, nyayo, kucha, viungo vya binadamu kulingana na mahitaji nk nk..

Mshirikina hana muda bali huangalia ni saa ngapi na sehemu gani sahihi ya kufanya yake ili apate alichokusudia (kumbuka mshirikina pia anaweza kuwa mwanga au mchawi )

Sasa basi mchawi yeye ndo yule anayejiita au kujifanya mganga wa kienyeji huyu anacheza na fani zote tatu uchawi ushirikina na ulozi.

Ni mchawi huyu huyu anayeweza kukuroga kwa kutumia ushirikina wake kisha akakutibu kwa kutumia uganga wake ni michezo tu ya kucheza na zana.

Mchawi na mshirikina huweza kufanya mambo yao popote na vile jinsi wapendavyo wao japo kupitia ushirikina hupata vitendea kazi na kupitia uchawi huweza kutoa tiba.

Mpiga zongo ni mchawi si mshirikina japo anatumia ushirikina kukupiga hilo zongo.

Ukikuta umewekewa madawa sehemu jua ni mchawi katumia ushirikina kufanya yake

View attachment 324847View attachment 324848

Lakini usihadaike wala kubabaika siku hizi uchawi wa kweli unapotea kilichobaki ni stori na mazingaombwe.

Kitakachokuumiza ni imani yako na woga wako.Simama na Mungu wako utafunuliwa mengi.
tatizo lako mkuu unaandikaga mada 'complex' kwa kifupi ukidhani umeeleweka!
 
Back
Top Bottom