Ni wakati gani wachawi huroga?

Ni wakati gani wachawi huroga?

Kuna watu wanafanya biashara kwa kutumia hii habari ya kuosha nyota na wanapiga hela ila wewe unashangaa hupati hela kama wao na wewe wakikupeleka mambo yanakaa sawa miezi mitatu.
Mara mtaalamu anakuambia inabidi tuiweke vizuri uendelee kupiga hela kuiweka vizuri unashangaa mtu wako wa karibu anakua zezeta na wakati mwingine kufa hii vipi?
 
Kuna watu wanafanya biashara kwa kutumia hii habari ya kuosha nyota na wanapiga hela ila wewe unashangaa hupati hela kama wao na wewe wakikupeleka mambo yanakaa sawa miezi mitatu.
Mara mtaalamu anakuambia inabidi tuiweke vizuri uendelee kupiga hela kuiweka vizuri unashangaa mtu wako wa karibu anakua zezeta na wakati mwingine kufa hii vipi?
Ni ujinga kumharibu mtu akili kwa ajili ya manufaa binafsi
 
Nimejifunza ku focus katika maisha bila kujali changamoto kuna mtu alishawahi kuniuliza nalipwa bei gani nikamwambia silipwi chochote bali ni dhati tu ya rohoni ya kuwafunulia watu haya mambo mpaka leo ni best friend
Haikuwa kazi rahisi wala safari ya furaha na vicheko lakini hatimaye sasa naelekea kueleweka na maswali na chagizo vimepungua mno...lakini haikuwa rahisi
Habari ndugu mshana jr
Mimi ninamwamini Mungu kwa kweli na ndilo tegemeo langu. Lakini kwa muda sasa mambo yangu yamekuwa si mazuri na namna ya kuamua kufanya kitu imekuwa ni shida sana. Hata kama ni mpango muhimu sana najikuta pasipo sababu ya msingi nimeupuuza na ama nachelewa kutekeleza hivyo kukosa fursa au naacha kabisa kutekeleza. Imefikia pahala hata ufuatiliaji WA mambo madogo kama marekebisho madogo ya gari ya biashara najikuta nachukua muda mrefu sana kuamua au kutekeleza pasipo kizuizi cha wazi. Najiuliza sana ni nini kinanitokea lakini nashimdwa kuelewa na nabaki kumwomba Mungu ulinzi na hekima yake.
Kama wiki mbili zimepita kuna ndugu zangu na marafiki zangu wameanzisha kampeni ya kutaka kunipeleka kwa wawaitao wataalam kwa kuwa wameambiwa kuna MTU anatumia nyota yangu kwa hiyo siwezi kujiletea marekebisho mwenyewe pasipo mtaalam ati anayetumia nyota yangu ndiye hunipangia nini cha kufanya.
Kwa kuogopa kuwa teja la wachawi nimekuwa nakwepa sana vikao na hao ndugu na marafiki wanaotaka "kunisaidia" kwa njia ya kishirikina
Naomba ushauri.
Sijakufuata PM kwa kuwa nafaham wengine wengi wanaweza kuwa na tatixo kama langu hivyo kupitia hapa wote tutajifunza pamoja.
Hili tatizo limeanza zaidi ya miaka 3 iliyopita
 
Habari ndugu mshana jr
Mimi ninamwamini Mungu kwa kweli na ndilo tegemeo langu. Lakini kwa muda sasa mambo yangu yamekuwa si mazuri na namna ya kuamua kufanya kitu imekuwa ni shida sana. Hata kama ni mpango muhimu sana najikuta pasipo sababu ya msingi nimeupuuza na ama nachelewa kutekeleza hivyo kukosa fursa au naacha kabisa kutekeleza. Imefikia pahala hata ufuatiliaji WA mambo madogo kama marekebisho madogo ya gari ya biashara najikuta nachukua muda mrefu sana kuamua au kutekeleza pasipo kizuizi cha wazi. Najiuliza sana ni nini kinanitokea lakini nashimdwa kuelewa na nabaki kumwomba Mungu ulinzi na hekima yake.
Kama wiki mbili zimepita kuna ndugu zangu na marafiki zangu wameanzisha kampeni ya kutaka kunipeleka kwa wawaitao wataalam kwa kuwa wameambiwa kuna MTU anatumia nyota yangu kwa hiyo siwezi kujiletea marekebisho mwenyewe pasipo mtaalam ati anayetumia nyota yangu ndiye hunipangia nini cha kufanya.
Kwa kuogopa kuwa teja la wachawi nimekuwa nakwepa sana vikao na hao ndugu na marafiki wanaotaka "kunisaidia" kwa njia ya kishirikina
Naomba ushauri.
Sijakufuata PM kwa kuwa nafaham wengine wengi wanaweza kuwa na tatixo kama langu hivyo kupitia hapa wote tutajifunza pamoja.
Hili tatizo limeanza zaidi ya miaka 3 iliyopita
Nipe muda takujibu
 
Habari ndugu mshana jr
Mimi ninamwamini Mungu kwa kweli na ndilo tegemeo langu. Lakini kwa muda sasa mambo yangu yamekuwa si mazuri na namna ya kuamua kufanya kitu imekuwa ni shida sana. Hata kama ni mpango muhimu sana najikuta pasipo sababu ya msingi nimeupuuza na ama nachelewa kutekeleza hivyo kukosa fursa au naacha kabisa kutekeleza. Imefikia pahala hata ufuatiliaji WA mambo madogo kama marekebisho madogo ya gari ya biashara najikuta nachukua muda mrefu sana kuamua au kutekeleza pasipo kizuizi cha wazi. Najiuliza sana ni nini kinanitokea lakini nashimdwa kuelewa na nabaki kumwomba Mungu ulinzi na hekima yake.
Kama wiki mbili zimepita kuna ndugu zangu na marafiki zangu wameanzisha kampeni ya kutaka kunipeleka kwa wawaitao wataalam kwa kuwa wameambiwa kuna MTU anatumia nyota yangu kwa hiyo siwezi kujiletea marekebisho mwenyewe pasipo mtaalam ati anayetumia nyota yangu ndiye hunipangia nini cha kufanya.
Kwa kuogopa kuwa teja la wachawi nimekuwa nakwepa sana vikao na hao ndugu na marafiki wanaotaka "kunisaidia" kwa njia ya kishirikina
Naomba ushauri.
Sijakufuata PM kwa kuwa nafaham wengine wengi wanaweza kuwa na tatixo kama langu hivyo kupitia hapa wote tutajifunza pamoja.
Hili tatizo limeanza zaidi ya miaka 3 iliyopita
Kwanza nikupe pole sana kwa haya unayopitia
Pili nikupongeze kwa ujasiri wa kuwa mkweli na muwazi mbele ya wote
Nianze kwa kusema kuwa Mungu anakupenda bado tena anakupenda sana
Kuna watu wanapitia vipindi vigumu sana kwa sasa kuliko wewe..wengine wako vitandani hospital na majumbani huku hata hela ya matibabu ikiwa ishu, kuna wengine hawana ajira na wana changamoto za ada kodi nk, kuna wengine wana changamoto za mahusiano na tatizo kubwa likiwa ni kipato
Mungu wetu ni mwema tena ni mwema sana kamwe hawezi kukupa majaribu kupita uwezo wako na kamwe hawezi kukufungia milango yote
Akifunga wa juu wa chini atakuachia wazi Akifunga wa kushoto wa kulia hataufunga....ukitulia na kumtegemea yeye atakuonyesha njia ya kutokea

KUHUSU NDUGU ZAKO:
Pamoja mimi mshana jr kupewa majina yote mabaya yahusuyo nguvu za giza na pamoja na kuongelea kwa mapana yake ishu za wachawi na ushirikina lakini kamwe sitakushauri uende huko ...huko sio pa kwenda huko unaenda kutengeneza maagano na viapo vitakavyokutesa milele
Kuna kufungwa katika maisha kuna kuchezewa kwingi tu kuna kurogwa...lakini mpaka haya yatokee basi Mungu mwenyewe karuhusu kama iliyokuwa kwa Ayubu....hakuna jaribu lisilo na mwisho kwakuwa michezo yote ya mwanadamu ina kikomo chake na kiboko yake...Mungu mwenye enzi yote

Ushauri wangu;
Usiende popote usifanye chochote bali simama na Mungu wako Omba funga sali, hata kama utachekwa hata kama utadhihakiwa hata kama utatengwa na watu wa dunia hata kama utapoteza kila kitu...simama na imani yako na Mungu wako....Kutapambazuka tuu hata usiku uwe mrefu kiasi gani lakini Kutapambazuka
Usiende kwa waganga
Usiende kwa wasafisha nyota
Usiende kulewa pombe
Usitumie madawa ya kulevya
SIMAMA IMARA SIMAMA NA MUNGU WAKO faida yake utaiona
 
Hii kitu ina tafsiri nyingi sana
Hata kwenye nyumba zetu kuna upande no njia au mapito ya nguvu za giza
Kuna baadhi ya milalo huvutia nguvu za giza
Kuna upande pia wanna hupenda kufanya mambo yao
Daaah Mkuu mim huwa naangaika sana siku nikilalia mgongo. Huwa naota kama vile mtu ananinyiga au kunikaba shingoni. Na hapa huwa naangaika sana kujinasua mwisho hadi nashituka usingizini huwa nahema kwa nguvu kanakwamba nilikuwa naangaikia roho. Some time namuota mtu ninae mfaham kuwa ndo ananikaba na huwa ni watu tofauti tofauti wa karbu yangu pengine majirani au marafki.
Hii maana ake nin Mkuu mshana jr
 
Daaah Mkuu mim huwa naangaika sana siku nikilalia mgongo. Huwa naota kama vile mtu ananinyiga au kunikaba shingoni. Na hapa huwa naangaika sana kujinasua mwisho hadi nashituka usingizini huwa nahema kwa nguvu kanakwamba nilikuwa naangaikia roho. Some time namuota mtu ninae mfaham kuwa ndo ananikaba na huwa ni watu tofauti tofauti wa karbu yangu pengine majirani au marafki.
Hii maana ake nin Mkuu mshana jr
Vitu vingine wala havina mahusiano yoyote na ushirikina
Ukitaka kulala vema ni kulalia mkono wa kulia mshazari usilale ubapa au kifudifudi
 
Kwanza nikupe pole sana kwa haya unayopitia
Pili nikupongeze kwa ujasiri wa kuwa mkweli na muwazi mbele ya wote
Nianze kwa kusema kuwa Mungu anakupenda bado tena anakupenda sana
Kuna watu wanapitia vipindi vigumu sana kwa sasa kuliko wewe..wengine wako vitandani hospital na majumbani huku hata hela ya matibabu ikiwa ishu, kuna wengine hawana ajira na wana changamoto za ada kodi nk, kuna wengine wana changamoto za mahusiano na tatizo kubwa likiwa ni kipato
Mungu wetu ni mwema tena ni mwema sana kamwe hawezi kukupa majaribu kupita uwezo wako na kamwe hawezi kukufungia milango yote
Akifunga wa juu wa chini atakuachia wazi Akifunga wa kushoto wa kulia hataufunga....ukitulia na kumtegemea yeye atakuonyesha njia ya kutokea

KUHUSU NDUGU ZAKO:
Pamoja mimi mshana jr kupewa majina yote mabaya yahusuyo nguvu za giza na pamoja na kuongelea kwa mapana yake ishu za wachawi na ushirikina lakini kamwe sitakushauri uende huko ...huko sio pa kwenda huko unaenda kutengeneza maagano na viapo vitakavyokutesa milele
Kuna kufungwa katika maisha kuna kuchezewa kwingi tu kuna kurogwa...lakini mpaka haya yatokee basi Mungu mwenyewe karuhusu kama iliyokuwa kwa Ayubu....hakuna jaribu lisilo na mwisho kwakuwa michezo yote ya mwanadamu ina kikomo chake na kiboko yake...Mungu mwenye enzi yote

Ushauri wangu;
Usiende popote usifanye chochote bali simama na Mungu wako Omba funga sali, hata kama utachekwa hata kama utadhihakiwa hata kama utatengwa na watu wa dunia hata kama utapoteza kila kitu...simama na imani yako na Mungu wako....Kutapambazuka tuu hata usiku uwe mrefu kiasi gani lakini Kutapambazuka
Usiende kwa waganga
Usiende kwa wasafisha nyota
Usiende kulewa pombe
Usitumie madawa ya kulevya
SIMAMA IMARA SIMAMA NA MUNGU WAKO faida yake utaiona
Amen. Nakuhakikishia ndugu yangu, watashindana nami lakini hawatashinda.
Mungu wangu ni Mkuu sana...
Nitasimama imara katika yeye anitiaye nguvu.
 
Mkuu@H 1N1 pole kwa yote achana na Habari za waganga wakienyeji ukiniuliza mimi nitakwambia habari zahao watu achana nao....Nikweli Mara nyingi wengi hatuamini uweza wa MUNGU wa kweli nahii nikutokana na Ibada tunazofanya makanisani mimi sijui ww ni waimani gani lkn kama ni Mkristo nahasa haya Makanisa tuliyorithi...mara nyingi Ibada zimekuwa zakukariri Ingawa sasa hivi wamebadilika wana fundisha hasa kuhusu Maisha mimi ni mLUTHERI zamani nami nilikuwa naenda Kanisani kama mazoea lkn nilipogundua Umuhimu wa Mafundisho nimetokea huko nina ushuhuda wakutosha sana nikiwa na muda nitakuhadithia kukutia MOYO kwamba muabudu MUNGU wa kweli...Ukimuabudu kwa kumaanisha yote yanawezekana...kuhusu tatizo lako kuna uwekano wajanja wamedaka NYOTA yako...wanaifanyia kazi Kumbuka kila MTU anazaliwa na Nyota yenye kona 5 ndio inayobeba kusudi la Mungu ya kwanza KIBALI....yapili....NDOA..ya tatu....FEDHA...ya nne AFYA..ya 5 kuMILIKI...sasa washirikina wanatafuta Nyota za watu aidha wafanikiwe kwenye Biashara au kama ni wanawake pengine kupendwa nk...wakienda kwa waganga wanapatia hivyo vitu nawao wanavipata kupitia watt wachanga au watu wazima ambao Nyota zao hazijachezewa....Kuhusu kuwa mzito kufanikisha jambo la maendeleo kuna mambo mawili aidha ni Mizimu huko kwenu kama kuna maagano yalifanyika kutofanikiwa au ndio wachawi wamefanya yao...ni Habari ndefu ndg yangu usione maskini ukadhani wamejitakia wengine Umaskini wao ni wakutengenuzwa na wanadamu wenzao nakushauri tafuta mafundisho upambane Utatoka mimi nimepitia hayo....
 
Mkuu@H 1N1 pole kwa yote achana na Habari za waganga wakienyeji ukiniuliza mimi nitakwambia habari zahao watu achana nao....Nikweli Mara nyingi wengi hatuamini uweza wa MUNGU wa kweli nahii nikutokana na Ibada tunazofanya makanisani mimi sijui ww ni waimani gani lkn kama ni Mkristo nahasa haya Makanisa tuliyorithi...mara nyingi Ibada zimekuwa zakukariri Ingawa sasa hivi wamebadilika wana fundisha hasa kuhusu Maisha mimi ni mLUTHERI zamani nami nilikuwa naenda Kanisani kama mazoea lkn nilipogundua Umuhimu wa Mafundisho nimetokea huko nina ushuhuda wakutosha sana nikiwa na muda nitakuhadithia kukutia MOYO kwamba muabudu MUNGU wa kweli...Ukimuabudu kwa kumaanisha yote yanawezekana...kuhusu tatizo lako kuna uwekano wajanja wamedaka NYOTA yako...wanaifanyia kazi Kumbuka kila MTU anazaliwa na Nyota yenye kona 5 ndio inayobeba kusudi la Mungu ya kwanza KIBALI....yapili....NDOA..ya tatu....FEDHA...ya nne AFYA..ya 5 kuMILIKI...sasa washirikina wanatafuta Nyota za watu aidha wafanikiwe kwenye Biashara au kama ni wanawake pengine kupendwa nk...wakienda kwa waganga wanapatia hivyo vitu nawao wanavipata kupitia watt wachanga au watu wazima ambao Nyota zao hazijachezewa....Kuhusu kuwa mzito kufanikisha jambo la maendeleo kuna mambo mawili aidha ni Mizimu huko kwenu kama kuna maagano yalifanyika kutofanikiwa au ndio wachawi wamefanya yao...ni Habari ndefu ndg yangu usione maskini ukadhani wamejitakia wengine Umaskini wao ni wakutengenuzwa na wanadamu wenzao nakushauri tafuta mafundisho upambane Utatoka mimi nimepitia hayo....
Asante sana dolevaby
 
Mkuu@H 1N1 pole kwa yote achana na Habari za waganga wakienyeji ukiniuliza mimi nitakwambia habari zahao watu achana nao....Nikweli Mara nyingi wengi hatuamini uweza wa MUNGU wa kweli nahii nikutokana na Ibada tunazofanya makanisani mimi sijui ww ni waimani gani lkn kama ni Mkristo nahasa haya Makanisa tuliyorithi...mara nyingi Ibada zimekuwa zakukariri Ingawa sasa hivi wamebadilika wana fundisha hasa kuhusu Maisha mimi ni mLUTHERI zamani nami nilikuwa naenda Kanisani kama mazoea lkn nilipogundua Umuhimu wa Mafundisho nimetokea huko nina ushuhuda wakutosha sana nikiwa na muda nitakuhadithia kukutia MOYO kwamba muabudu MUNGU wa kweli...Ukimuabudu kwa kumaanisha yote yanawezekana...kuhusu tatizo lako kuna uwekano wajanja wamedaka NYOTA yako...wanaifanyia kazi Kumbuka kila MTU anazaliwa na Nyota yenye kona 5 ndio inayobeba kusudi la Mungu ya kwanza KIBALI....yapili....NDOA..ya tatu....FEDHA...ya nne AFYA..ya 5 kuMILIKI...sasa washirikina wanatafuta Nyota za watu aidha wafanikiwe kwenye Biashara au kama ni wanawake pengine kupendwa nk...wakienda kwa waganga wanapatia hivyo vitu nawao wanavipata kupitia watt wachanga au watu wazima ambao Nyota zao hazijachezewa....Kuhusu kuwa mzito kufanikisha jambo la maendeleo kuna mambo mawili aidha ni Mizimu huko kwenu kama kuna maagano yalifanyika kutofanikiwa au ndio wachawi wamefanya yao...ni Habari ndefu ndg yangu usione maskini ukadhani wamejitakia wengine Umaskini wao ni wakutengenuzwa na wanadamu wenzao nakushauri tafuta mafundisho upambane Utatoka mimi nimepitia hayo....
Nashukuru sana dolevaby na nimekuelewa.
Mimi ni Mkristo kwa imani
Naamini ninaweza kushinda kwa maombi tuu.
Labda ningekusymbua usichoke kunitia moyo kwa kunionyesha mapito uliyowahi au uliyoyaona watu wakipitia na namna njema ya kumshitaki ibilisi.
Ninajitahidi katika Bwana na namtegemea.
Nimeamua niwasikilie na ntawaambia msimamo wangu ambao ni maamuzi ya moyo wangu.
Siwezi kumtegemea mwanadam mwenzangu...
 
Jumamosi hutawala nyota inayoitwa Zohali hivyo siku hii hutumika sana kurogea ama kuombea watu mabaya maana ni rahisi zaidi kufanikisha, siku nyingine ni jumanne.....hapo hutawala nyota ya Mirihi (moto) hapo inakuwa ni rahisi kufarakanisha, kutuma uadui na ukawa na nguvu kiasi kwamba mwenye kuja kutibu lazima ajuwe sawa sawa kucheza na nyota (iwapo ni mganga).
Ijumaa hii zaidi hutumiwa na majini

Nilikuwa na rafiki yangu tulikuwa kwenye biashara ambayo nilimualika katika kampuni ambayo tulifungua mimi na rafiiki yangu mwingine..

Yule jamaa niliyemualika alikua na imani za waganga sana...Kuna mambo yalikuwa ayaendi sawa akawa anashawishi twende kwa mganga wake uku roho yangu ilipinga ilo jambo na kuwa nzito ajabu ila ni kawaida yangu jambo lolote baya likiwa mbele yangu kuna hali uwa naisi na kujua mbele kuna kitu kibaya bila kutambua iko kitu kibaya kinatokeaje...

Nilikataa na kumuambia jina langu unalijua nenda kacheki mwenyewe uje unipe majibu alirudi na kuniambia una ulinzi mkali sana watu wengi wamekujaribu wameshindwa akaniambia ila jamaa kaniambia twende jnne akanipe dawa kamili...na akanimbia kasema mtagombana na partner wako na wakati uo uo alikuwa anataka mazoe na jamaa yangu tuko naye kibiashara ila jamaa ataki,

Nilikuja kugombana naye from no where yeye mwenyewe na jamaa yangu pia ambaye tuko partner naye tuliyumba kimausiano katika biashara kwa kuwa nilijua siri nililiombea ilo swala likapita vema......

Nilikuja kujifunza dont trust anyone zaidi ya mzazi wako na ndugu zako basiiiii...
Yani nimekuwa siwapendi marafiki mbaya sikuu izi DUNIA NI MBAYA SANAAAA....
 
Ukiuliza hili swali wengi watakuambia usiku...lakini kiuhalisia ni kwamba wachawi huroga muda wowote katika mazingira yoyote na popote.Wale wa usiku ni wanga na washirikina tuu.

Mwanga kazi yake kubwa ni kufurahisha nafsi kwa kukuchezea na kukuchosha lakini hana madhara kivile.

Mshirikina ni mpiga dili na mfanyabiashara ni mtu wa kati huyu ndio mhusika mkuu wa kupeleka kwa wachawi zana za kufanyia madawa kama nywele damu, nguo, nyayo, kucha, viungo vya binadamu kulingana na mahitaji nk nk..

Mshirikina hana muda bali huangalia ni saa ngapi na sehemu gani sahihi ya kufanya yake ili apate alichokusudia (kumbuka mshirikina pia anaweza kuwa mwanga au mchawi )

Sasa basi mchawi yeye ndo yule anayejiita au kujifanya mganga wa kienyeji huyu anacheza na fani zote tatu uchawi ushirikina na ulozi.

Ni mchawi huyu huyu anayeweza kukuroga kwa kutumia ushirikina wake kisha akakutibu kwa kutumia uganga wake ni michezo tu ya kucheza na zana.

Mchawi na mshirikina huweza kufanya mambo yao popote na vile jinsi wapendavyo wao japo kupitia ushirikina hupata vitendea kazi na kupitia uchawi huweza kutoa tiba.

Mpiga zongo ni mchawi si mshirikina japo anatumia ushirikina kukupiga hilo zongo.

Ukikuta umewekewa madawa sehemu jua ni mchawi katumia ushirikina kufanya yake

View attachment 324847View attachment 324848

Lakini usihadaike wala kubabaika siku hizi uchawi wa kweli unapotea kilichobaki ni stori na mazingaombwe.

Kitakachokuumiza ni imani yako na woga wako.Simama na Mungu wako utafunuliwa mengi.
Ukiuliza hili swali wengi watakuambia usiku...lakini kiuhalisia ni kwamba wachawi huroga muda wowote katika mazingira yoyote na popote . Hii Ni kweli kabisa.
 
Kama alichukuliwa msukule huko kaburini mtakuta gogo...huyo alichukuliwa kimazingara na facts nyingi ambazo zimesababisha aonekane tena
Mshana siku nyingine uje hapa utupe somo la namna watu wanavyochukuliwa Misukule na sababu au namna wanavyorudi huku Duniani.
 
Back
Top Bottom