chipaka.com
JF-Expert Member
- Dec 5, 2015
- 2,883
- 1,195
Silahaa,
huko chooni ulifanya nini?Teh teh teh ndio.....niliwahi kwenda mji fulani tulipata msiba, wakati wa kula nilipatiwa chakula na wazee watatu wa mji ule.
Nilipoanza kula walikuwa wakiniangalia sana na kama wanaoonyesha jicho la kutaka nile zaidi, nilipomaliza kula nikatapika pembeni chakula chote wakaonyesha kushtuka sana......nikawafuata na kuwaambia kuwa zamu yenu nimeshaiona bado zamu yangu sasa na nikanyanyuka na kusukutua.
Ilikuwa wameweka vitu vikali kiasi ambacho mtu unaweza kwenda na maji hivyo walishtuka kwa kuona mitego yao nimeivuka kirahisi, ndugu Mvumbo, hapo jazba ilishanipanda nikaingia chooni lengo sio kujisaidia bali na mimi kupata wasaa wa kugeuza mashambulizi.
Tumuabudu Mungu atatuepusha na hadaa za dunia hii
Hii kitu ina tafsiri nyingi sanaKwann ulalaji wa kitandani upande flan unakua unaota ndoto za kutisha tisha hadi ukiamia upande mwingine wa kitanda. Hii inasababishwa na nn?? mshana jr
Kitu rahisi ni kutupia mifupa ya kitimoto halafu uone matokeo yake lakini ishu ya kutaka uwaone au wagande ni jambo linalohusisha mambo mengi ya kishirikinamshana jr hivi karibuni nimeanza kusikia kitu kikipita juu ya bati chenye tambo kama binadamu. Yaan tambo mbilimbili, hata mpaka alfajiri kikifika mwisho kinalia mlio ambazo bado sijajua ni mnyama au mdudu gani. Swali langu ni kwamba je atakuwa mwanga?? I wish siku moja anate nimuone live maana ananikosesha usingizi as you know alfajiri ndio kausingizi kananoga...
Kwa kwa hiyo mkuu jichawi UMEEAGA na huku mnasema Tumuombe Mungu!! Ni mungu yupi huyo! Au kwa habari ya kinga mungu hana tatizo na hilo ni kama ulinzi Mwingine?Teh teh teh ndio.....niliwahi kwenda mji fulani tulipata msiba, wakati wa kula nilipatiwa chakula na wazee watatu wa mji ule.
Nilipoanza kula walikuwa wakiniangalia sana na kama wanaoonyesha jicho la kutaka nile zaidi, nilipomaliza kula nikatapika pembeni chakula chote wakaonyesha kushtuka sana......nikawafuata na kuwaambia kuwa zamu yenu nimeshaiona bado zamu yangu sasa na nikanyanyuka na kusukutua.
Ilikuwa wameweka vitu vikali kiasi ambacho mtu unaweza kwenda na maji hivyo walishtuka kwa kuona mitego yao nimeivuka kirahisi, ndugu Mvumbo, hapo jazba ilishanipanda nikaingia chooni lengo sio kujisaidia bali na mimi kupata wasaa wa kugeuza mashambulizi.
Tumuabudu Mungu atatuepusha na hadaa za dunia hii
Kitu rahisi ni kutupia mifupa ya kitimoto halafu uone matokeo yake lakini ishu ya kutaka uwaone au wagande ni jambo linalohusisha mambo mengi ya kishirikina
ijumaa! Kha ndo cku ya ibadaJumamosi hutawala nyota inayoitwa Zohali hivyo siku hii hutumika sana kurogea ama kuombea watu mabaya maana ni rahisi zaidi kufanikisha, siku nyingine ni jumanne.....hapo hutawala nyota ya Mirihi (moto) hapo inakuwa ni rahisi kufarakanisha, kutuma uadui na ukawa na nguvu kiasi kwamba mwenye kuja kutibu lazima ajuwe sawa sawa kucheza na nyota (iwapo ni mganga).
Ijumaa hii zaidi hutumiwa na majini
Mkuu, wewe endelea kuwa mbishi na wakati mtoa mada anajua uchawi vilivyo.Imani za kichawi ni imani tu.
Hakuna jingine la ziada lililo na athari za uhalisia.
Ni mambo ya kufikirika yasiyo na nguvu zozote
Mkuu, wewe endelea kuwa mbishi na wakati mtoa mada anajua uchawi vilivyo.Imani za kichawi ni imani tu.
Hakuna jingine la ziada lililo na athari za uhalisia.
Ni mambo ya kufikirika yasiyo na nguvu zozote
nimeona mkuuNilishaendelea katika post zilizopita
ahaa mkuu hii kitu ianzishie uzi basiiiTeh teh teh ndio.....niliwahi kwenda mji fulani tulipata msiba, wakati wa kula nilipatiwa chakula na wazee watatu wa mji ule.
Nilipoanza kula walikuwa wakiniangalia sana na kama wanaoonyesha jicho la kutaka nile zaidi, nilipomaliza kula nikatapika pembeni chakula chote wakaonyesha kushtuka sana......nikawafuata na kuwaambia kuwa zamu yenu nimeshaiona bado zamu yangu sasa na nikanyanyuka na kusukutua.
Ilikuwa wameweka vitu vikali kiasi ambacho mtu unaweza kwenda na maji hivyo walishtuka kwa kuona mitego yao nimeivuka kirahisi, ndugu Mvumbo, hapo jazba ilishanipanda nikaingia chooni lengo sio kujisaidia bali na mimi kupata wasaa wa kugeuza mashambulizi.
Tumuabudu Mungu atatuepusha na hadaa za dunia hii
Huoni huko unakotuambia tufuate ndiko kuzuri zaidi? Au wewe unazo imani zote mbili za asili na hizi zilizokuja?Mimi nimeaga.....halafu nakusihi wewe usifuate kama mimi.....na pia nakuonyesha kipi cha kufuata