Duuh,ila watu Wana kauliKujenga nyumba ni kuzika pesa, ni uoga wa maisha.
Nadhani inategemea kipato na flow yake.Habair wanajamii
Ebu tujadili kidogo, kwa mawazo yako ni wakati gani sahihi wa kujenga nyumba.
Mtaani kuna kauli kuwa pesa ya ujenzi ni bora ufanye biashara zingine badala ya kujenga, nataka kujua ni wakati gani sahihi unaweza kumiliki nyumba.
Habair wanajamii
Ebu tujadili kidogo, kwa mawazo yako ni wakati gani sahihi wa kujenga nyumba.
Mtaani kuna kauli kuwa pesa ya ujenzi ni bora ufanye biashara zingine badala ya kujenga, nataka kujua ni wakati gani sahihi unaweza kumiliki nyumba.
Hapana kuna muda ukifika nyumba inakuwa na very stable retuns.Kujenga nyumba ni kuzika pesa, ni uoga wa maisha.
Za kuambiwa changanya na zako.Kujenga nyumba ni kuzika pesa, ni uoga wa maisha.
anaesema hivo hana uhakika wa mlo kwa siku,,,,Habair wanajamii
Ebu tujadili kidogo, kwa mawazo yako ni wakati gani sahihi wa kujenga nyumba.
Mtaani kuna kauli kuwa pesa ya ujenzi ni bora ufanye biashara zingine badala ya kujenga, nataka kujua ni wakati gani sahihi unaweza kumiliki nyumba.
hizi kauli ni za wapangaji konkiKujenga nyumba ni kuzika pesa, ni uoga wa maisha.
vineno vya wapangaji huyoZa kuambiwa changanya na zako.
#MaendeleoHayanaChama
sawa mpangajiNakazia , kujenga ni uoga wa maisha
unatamba mjini sababu ya sisi wewe mwenye nyumbasawa mpangaji
bila mimi utalala bwawaniunatamba mjini sababu ya sisi wewe mwenye nyumba
mwenye nyumba unanihitaji mimi zaidi kuliko mimi nnavyokuhitaji wewebila mimi utalala bwawani
kwahiyo unataka tuanzishe debatemwenye nyumba unanihitaji mimi zaidi kuliko mimi nnavyokuhitaji wewe
achana na debate, njoo N5 hapa tutafune Noahkwahiyo unataka tuanzishe debate
WeweNyumba ndo maisha yenyewe . mwenzio nikiona wenzangu wanajenga najisemea ivi kwann Mungu hakunipa mume ambaye nikishindwa bas atajenga yeye for our kids.Sad
😄achana na debate, njoo N5 hapa tutafune Noah