JKT Kujenga nyumba elfu 5 kwa ajili ya Maasai wa Ngorongoro wanaohamia Msomera

ChoiceVariable

JF-Expert Member
May 23, 2017
43,048
49,731
Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro na cdf mstaafu Mabeyo ametembelea Msomera kukagua maandalizi ya ujenzi wa nyumba 5,000 za Maasai wanaohama Ngorongoro.

ujenzi wa nyumba hizo utafanywa na Vijana wa JKT Kwa oparesheni ambapo takribani Nguvu kazi ya watu elfu 6 wanatakiwa kufanikisha ujenzi huo.

Najiuliza mbona ratio ya manpower 6,000 vs Idadi ya nyumba 5,000 hai make sense?

kwamba Kila mtu atapewa nyumba Moja na msaidizi robo au itakuaje? Mtawezaje kujenga nyumba elfu 5 zote Kwa wakati mmja Kwa idadi hiyo ya Manpower? Kwa nini msialike na Vijana wa mtaani waje kujipatia kipato?


View: https://youtu.be/Us4HUXvRg3Y?si=QR447ygOdhtNsA83
 
Kama imewezekana kuwahamisha wamasai basi pia wazanzibar wahamishiwe bara hasa mkoa wa pwani wilaya za bagamoyo na mkuranga na kigamboni mkoa wa DSM na visiwa vijengwe hoteli za kitalii na kuwe sehemu maalumu kwa ajili ya utalii pekee .
 
Kama imewezekana kuwahamisha wamasai basi pia wazanzibar wahamishiwe bara hasa mkoa wa pwani wilaya za bagamoyo na mkuranga na kigamboni mkoa wa DSM na visiwa vijengwe hoteli za kitalii na kuwe sehemu maalumu kwa ajili ya utalii pekee .
Sawa tuu Wala Haina shida
 
Hilo wekezaji limeamua liachiwe mbuga ya wanyama, litakuwa limetoa hela ndefu kuhamisha vijiji vyote vilivyoko ndani ya hifadhi. Serikali ina hela gani ya kuhamisha vijiji na kujenga nyumba nzuri za kisasa elfu tanao halafu wahamishwaji wakakae bure?
 
Hilo wekezaji limeamua liachiwe mbuga ya wanyama, litakuwa limetoa hela ndefu kuhamisha vijiji vyote vilivyoko ndani ya hifadhi. Serikali ina hela gani ya kuhamisha vijiji na kujenga nyumba nzuri za kisasa elfu tanao halafu wahamishwaji wakakae bure?
😁😁😁😁😁😁😁😂😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom