Ni utapeli mpya au mimi ndio mshamba??

Ni utapeli mpya au mimi ndio mshamba??

Nimecheka Sana ,halafu kuna jamaa mmoja hapo juu kakuambia kuwa umepigwa na dume,dem alitupa b,nes kadi kaokota dume,kakupanga ukaingia line,kaniacha hoi
Hahahaaa hajielewi huyo ndio maana hata sijamjibu..
 
Nimecheka Sana ,halafu kuna jamaa mmoja hapo juu kakuambia kuwa umepigwa na dume,dem alitupa b,nes kadi kaokota dume,kakupanga ukaingia line,kaniacha hoi
Kwani na wewe utanifanyia hivyo amu
 
Mtembezee Huyo How Come Akugeuze Kiazi Mshkaji Wangu Na Block ukimaliza Tutadiscus Case Yangu
 
Nishaambiwa nitume nauli nikagoma. Nikasema nikuagizie uber naye kagoma. Nikaona isiwe case nikatume nauli akapotea. So unacheka kisha unatulia.
Ha Ha Hivi Lakini Ni Kipindi Hiki Cha Jpm,au Kile Cha Laki Si Pesa?Mnanichanganya Mjue
 
mi kuna mmoja siku za nyuma niliomba kuonana naye mara akadai nimtumie 20 kuna vitu aweke sawa fasta nikamtumia nikampigia two times kapotezea wala hata sikuhangaika kumuulizia ama kumtext. Baada ya mwezi akaanza very sorry ilikuwa blablahaa nyingi.
 
Nimejichekea tuu..... ww ndo utaamua nani mshamba na nani mjanja.
Mkuu wote mimi na yeye ni washamba,ila kwa ujanja yeye kanizidi maana yeye kagain japo si kwa kiwango nilichokuwa nikimkadiria.Amekimbia akiwa amepata vijisenti tu burungutu lenyewe kaliacha.
 
mi kuna mmoja siku za nyuma niliomba kuonana naye mara akadai nimtumie 20 kuna vitu aweke sawa fasta nikamtumia nikampigia two times kapotezea wala hata sikuhangaika kumuulizia ama kumtext. Baada ya mwezi akaanza very sorry ilikuwa blablahaa nyingi.
Ulimkaushia au ulimalizia ulipoishia??
 
Kuna msemo wa Kiingereza kuwa, "If fools don't go to the market, bad wares wont be sold."

You were made a fool bro. Get the lesson na uache kumsikitikia.
 
Kuna msemo wa Kiingereza kuwa, "If fools don't go to the market, bad wares wont be sold."

You were made a fool bro. Get the lesson na uache kumsikitikia.
Nadhani nimekuelewa kuliko wote waliotangulia kuchangia..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom