Tz hii kuna maneno tunabadilisha matumizi yake sana.jamaa kazidiwa akili tenana kabinti kadogoo tu.
Bahati mbaya sana sijakuelewa unachomaanishaKupigwa ni kupigwa tu haijalishi una ela nyingi yani umepigwa tena kilofa kweli...
Sikujua kama kuna watu wanapigwa hivi bado hayo mengine ni kujifariji ungekuwa na pesa nyingi alipokuomba 50,000 akakwambia anaumwa ingemtumia laki kabisa alipokuomba 25000 itimie ela ya dawa ungemwongeza na ya matunda na juice sasa wewe unatuma hata huongezi ela ya kutolea halafu unadai una pesa.
Na hicho ndio kinachoniuma. Kwamba nilimpenda mtu mwenye Iq ndogo na asiye na ustaarabu...Ni utoto uluochanganyika na ujinga. Nadhani umesalimika na kuwa na uhusiano na mtu mwenye IQ ndogo kama huyo.
Yaani anamgusa kipofu wakati ndio tunataka kuanza kula,angesubiri subiri kidogo basi.....Hahaa hakujua kula na kipofu
Wanapenda Pesa kuliko utuKabinti ni karembo kweli. Mzee mzima nikasema wacha nitupe nyavu. Baada ya kutoa ya moyoni nikaambiwa mi nina mtu wangu. Nikamwambia hamna shida basi chukua business card yangu ili kama utanihitaji au kubadili mawazo uweze kuwasiliana na mimi.
Akaipokea kwa mikono miwili. Siku mbili baadae naona namba ngeni inanipigia. Napokea naambiwa mimi ni yule uliyenipa business card yako juzi,nikafurahi kuona mrembo anaanza kuingia line. Tukaongea kwa kirefu mchana huo.
Jioni naona ujumbe kwenye simu, baby naumwa sana na wewe ndio tumaini langu la mwisho. Naomba nitumie 50,000 niende hospitali. Mzee mzima nikaona mambo si haya,fasta tigo pesa ikahusika.kesho yake naambiwa baby asante sana kwa msaada wako ila ile hela imepungua 25,000 ili niweze kununua dawa.
Bila kujiuliza nikatuma hiyo hela. Cha kushangaza kesho yake namtafuta kumuulizia hali nakuta ameniblock nikaishia kucheka tu na kumuona ni mjinga aliyekosa vingi toka kwangu kwa kujiona ametosheka na hiyo 75,000.
Usikariri ushauri unaosoma toka kwa wengine kwenye mitandao ya kijamii ndugu yangu. Hapa nilipo mimi ndio masikini kuliko wote katika ukoo wangu...Nakuhurumia mkuu,kwa kupoteza fedha zako.ivi una ndugu mwenye shida?nikwe bibi zko kijiji asinge msaidi hyo pesa?acha izo...tafakali ktk hloo
Duh..... Wataendelea kuwa single moms sana tu kwa mtaji huo......Wanapenda Pesa kuliko utuView attachment 730315
Kabinti ni karembo kweli. Mzee mzima nikasema wacha nitupe nyavu. Baada ya kutoa ya moyoni nikaambiwa mi nina mtu wangu. Nikamwambia hamna shida basi chukua business card yangu ili kama utanihitaji au kubadili mawazo uweze kuwasiliana na mimi.
Akaipokea kwa mikono miwili. Siku mbili baadae naona namba ngeni inanipigia. Napokea naambiwa mimi ni yule uliyenipa business card yako juzi,nikafurahi kuona mrembo anaanza kuingia line. Tukaongea kwa kirefu mchana huo.
Jioni naona ujumbe kwenye simu, baby naumwa sana na wewe ndio tumaini langu la mwisho. Naomba nitumie 50,000 niende hospitali. Mzee mzima nikaona mambo si haya,fasta tigo pesa ikahusika.kesho yake naambiwa baby asante sana kwa msaada wako ila ile hela imepungua 25,000 ili niweze kununua dawa.
Bila kujiuliza nikatuma hiyo hela. Cha kushangaza kesho yake namtafuta kumuulizia hali nakuta ameniblock nikaishia kucheka tu na kumuona ni mjinga aliyekosa vingi toka kwangu kwa kujiona ametosheka na hiyo 75,000.
Umeliwa mkuu. Tena na mwanaume mwenzio. Demu aliitupa business card yako akaiokota muhuni mmoja. Na yeye ndio aliyekupiga..Kabinti ni karembo kweli. Mzee mzima nikasema wacha nitupe nyavu. Baada ya kutoa ya moyoni nikaambiwa mi nina mtu wangu. Nikamwambia hamna shida basi chukua business card yangu ili kama utanihitaji au kubadili mawazo uweze kuwasiliana na mimi.
Akaipokea kwa mikono miwili. Siku mbili baadae naona namba ngeni inanipigia. Napokea naambiwa mimi ni yule uliyenipa business card yako juzi,nikafurahi kuona mrembo anaanza kuingia line. Tukaongea kwa kirefu mchana huo.
Jioni naona ujumbe kwenye simu, baby naumwa sana na wewe ndio tumaini langu la mwisho. Naomba nitumie 50,000 niende hospitali. Mzee mzima nikaona mambo si haya,fasta tigo pesa ikahusika.kesho yake naambiwa baby asante sana kwa msaada wako ila ile hela imepungua 25,000 ili niweze kununua dawa.
Bila kujiuliza nikatuma hiyo hela. Cha kushangaza kesho yake namtafuta kumuulizia hali nakuta ameniblock nikaishia kucheka tu na kumuona ni mjinga aliyekosa vingi toka kwangu kwa kujiona ametosheka na hiyo 75,000.

Inafundisha kuwa wajinga ndio waliwaostori yako inatufundisha nini??
Kabinti ni karembo kweli. Mzee mzima nikasema wacha nitupe nyavu. Baada ya kutoa ya moyoni nikaambiwa mi nina mtu wangu. Nikamwambia hamna shida basi chukua business card yangu ili kama utanihitaji au kubadili mawazo uweze kuwasiliana na mimi.
Akaipokea kwa mikono miwili. Siku mbili baadae naona namba ngeni inanipigia. Napokea naambiwa mimi ni yule uliyenipa business card yako juzi,nikafurahi kuona mrembo anaanza kuingia line. Tukaongea kwa kirefu mchana huo.
Jioni naona ujumbe kwenye simu, baby naumwa sana na wewe ndio tumaini langu la mwisho. Naomba nitumie 50,000 niende hospitali. Mzee mzima nikaona mambo si haya,fasta tigo pesa ikahusika.kesho yake naambiwa baby asante sana kwa msaada wako ila ile hela imepungua 25,000 ili niweze kununua dawa.
Bila kujiuliza nikatuma hiyo hela. Cha kushangaza kesho yake namtafuta kumuulizia hali nakuta ameniblock nikaishia kucheka tu na kumuona ni mjinga aliyekosa vingi toka kwangu kwa kujiona ametosheka na hiyo 75,000.
Mgeni huyu anayeishi kihalali Tanzania hayo mambo kwao hayapoKwan mkuu unaishi wap maana huo mfumo kwetu ulipita 2010 hv