Ni utapeli mpya au mimi ndio mshamba??

Ni utapeli mpya au mimi ndio mshamba??

Muache aende zake, wakati unatoa ulifurahi na kupata amani ya moyo hivyo kuna stress ulizipunguza achana naye
Sasa swali ninalojiuliza,nimtendeje mtu huyu endapo atarudi maana najua atarudi tu tena na uongo mwingi...
 
Kabinti ni karembo kweli. Mzee mzima nikasema wacha nitupe nyavu. Baada ya kutoa ya moyoni nikaambiwa mi nina mtu wangu. Nikamwambia hamna shida basi chukua business card yangu ili kama utanihitaji au kubadili mawazo uweze kuwasiliana na mimi.

Akaipokea kwa mikono miwili. Siku mbili baadae naona namba ngeni inanipigia. Napokea naambiwa mimi ni yule uliyenipa business card yako juzi,nikafurahi kuona mrembo anaanza kuingia line. Tukaongea kwa kirefu mchana huo.

Jioni naona ujumbe kwenye simu, baby naumwa sana na wewe ndio tumaini langu la mwisho. Naomba nitumie 50,000 niende hospitali. Mzee mzima nikaona mambo si haya,fasta tigo pesa ikahusika.kesho yake naambiwa baby asante sana kwa msaada wako ila ile hela imepungua 25,000 ili niweze kununua dawa.

Bila kujiuliza nikatuma hiyo hela. Cha kushangaza kesho yake namtafuta kumuulizia hali nakuta ameniblock nikaishia kucheka tu na kumuona ni mjinga aliyekosa vingi toka kwangu kwa kujiona ametosheka na hiyo 75,000.
Naomba nisaidie 100000 nikatibiwe katika burungutu aliloliacha
 
Sasa swali ninalojiuliza,nimtendeje mtu huyu endapo atarudi maana najua atarudi tu tena na uongo mwingi...
Utajua hapo hapo baada ya maelezo yake huenda kaibiwa simu utamjibu kwa jinsi ya maelezo yake
 
Kama nakuona roho inavyokuuma kwakupigwa 75000, umeamua kuja kusaka faraja humu
 
Hahahaaa hajielewi huyo ndio maana hata sijamjibu..
Mkuu katika kubadilishana mawazo, lolote linaweza likatokea.
Huo mchezo unatumiwa na matapeli ya kiume kuweka picha za malaya wakali.
Ukilipigia linakijibu kwa kutumia magic voice ya kike laini ya kinahaba,unalegea na unatozwa tu.
 
Hivyo ndio vidada cheap, kuna mmoja nilimtoa mahali baada ya kuchat kwa siku mbili akanambia anakuja kuniona nikasema poa, akiwa njian ananicall eti anadaiwa elfu 30 na rafiki yake na anamdhalilisha mbele za watu, nikajua tu ni uongo ila nikamtumia baada ya kujibu ahsante hakupatikana tena lol, baada ya mwezi akanitafuta nilichomfanyia naamini hata shoga ake wa karibu kashindwa kumsimulia.

elfu 30 seriously!!!
 
Hivyo ndio vidada cheap, kuna mmoja nilimtoa mahali baada ya kuchat kwa siku mbili akanambia anakuja kuniona nikasema poa, akiwa njian ananicall eti anadaiwa elfu 30 na rafiki yake na anamdhalilisha mbele za watu, nikajua tu ni uongo ila nikamtumia baada ya kujibu ahsante hakupatikana tena lol, baada ya mwezi akanitafuta nilichomfanyia naamini hata shoga ake wa karibu kashindwa kumsimulia.

elfu 30 seriously!!!
I m curious to know what you did to her....
 
Mkuu huyo hachelewi sasa ivi atarudi tena analialia.. Atakuja na uongo oooh Simu yangu ilijiblock hapo hapo Mvue Chupi siku moja then utoka kama Filbert Bay
Baada ya kugonga mashine na wewe m'block jumla!
 
Nimecheka sana..Jana nilitoa bia Moja sh 3000/- Ana mtoto wa mwaka mmoja. Nimehofu sana halo ya kachanga
 
Kabinti ni karembo kweli. Mzee mzima nikasema wacha nitupe nyavu. Baada ya kutoa ya moyoni nikaambiwa mi nina mtu wangu. Nikamwambia hamna shida basi chukua business card yangu ili kama utanihitaji au kubadili mawazo uweze kuwasiliana na mimi.

Akaipokea kwa mikono miwili. Siku mbili baadae naona namba ngeni inanipigia. Napokea naambiwa mimi ni yule uliyenipa business card yako juzi,nikafurahi kuona mrembo anaanza kuingia line. Tukaongea kwa kirefu mchana huo.

Jioni naona ujumbe kwenye simu, baby naumwa sana na wewe ndio tumaini langu la mwisho. Naomba nitumie 50,000 niende hospitali. Mzee mzima nikaona mambo si haya,fasta tigo pesa ikahusika.kesho yake naambiwa baby asante sana kwa msaada wako ila ile hela imepungua 25,000 ili niweze kununua dawa.

Bila kujiuliza nikatuma hiyo hela. Cha kushangaza kesho yake namtafuta kumuulizia hali nakuta ameniblock nikaishia kucheka tu na kumuona ni mjinga aliyekosa vingi toka kwangu kwa kujiona ametosheka na hiyo 75,000.
Halafu utasema kuwa hujawahi kubeti??
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom