Ni utapeli mpya au mimi ndio mshamba??

Ni utapeli mpya au mimi ndio mshamba??

Mkuu kwanza pole kwa yaliyokupata,
Pili nikueleze tu huyo ndez ata kun unblock na longo longo kibao na hapo usifanye makosa
 
Watoto wakiswazi washamba sana.... Vinaumalaya wakishamba sana... Wamezoea kuinamishwa na kupewa 10,000 sasa kupata 75,000 bila kuliwa amekuona bwege.. Badala yakuona ni opportunity.Nawewe mkuu keshokutwa yake angekuomba tena japo 30,000 vp tigopesa ingehusika tena?
 
Haha hapo kaona kaokota dodo kwenye mchongoma inaeleka alikublock akijua kakufaid kwelkwel
Huyo dem kama sio wa Mbagala bas gongolamboto maana kama ameona 75k ni kubwa hadi AKARARA MBERE kuna walakin hapo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom