Katoa kulingana na uwezo wake. wambili havai moja hatulingani uwezo hilo liko wazi. kama angepewa mzigo akauthaminisha kwenye viwango anavyotaka hata angehonga nyumba shida iko wapi? kula kitu roho inapenda mawazo ya kimaakini utayajua. Mzee hiyo mbinu kwenu vijana wenye hela zenu ndiyo the best. unatafuta hela za nini hayo ndiyo matumizi.Inawezekana umepigwa zaidi ya hapo...yaani umetoa card tuu umeigharamia hivyo ungepewa papuchi si ungepeleka hadi vyeti vya kuzaliwa,Chuo na passport ...
Jua ni kali mnostori yako inatufundisha nini??
Mkuu tumia namba nyingine mwambie aje achukue laki mbili akajiuguze, atakuja fasta nawe utakamilisha ule ujinga ulioukusudiaMkuu niliishia kucheka tu.
Mkuu kama hayo ndio matumizi sawa tafuta hela ukipewa papuchi honga Nyumba upate heshima na hela ni zako sisi wenye roho za kichimbachumvi wacha tuendelee kushangaa tuu na kula kwa macho...Katoa kulingana na uwezo wake. wambili havai moja hatulingani uwezo hilo liko wazi. kama angepewa mzigo akauthaminisha kwenye viwango anavyotaka hata angehonga nyumba shida iko wapi? kula kitu roho inapenda mawazo ya kimaakini utayajua. Mzee hiyo mbinu kwenu vijana wenye hela zenu ndiyo the best. unatafuta hela za nini hayo ndiyo matumizi.
Teh teh teh.Kupigwa kwa mwanaume huwaga ni siri ya ndani. Takwimu ni kubwa kuliko unavyodhania, lakini wengi hawasemi, ni kilio cha samaki chozi kubebwa na maji.Inawezekana umepigwa zaidi ya hapo...yaani umetoa card tuu umeigharamia hivyo ungepewa papuchi si ungepeleka hadi vyeti vya kuzaliwa,Chuo na passport ...
Kinachoniuma zaidi ni kuona kuwa niliyedhani ninampenda kumbe ni mpumbavu...Na wala sio hiyo hela. Kama ni hela mbona tunasaidia wengi bila hata kutegemea kurudishiwa....Teh teh teh.Kupigwa kwa mwanaume huwaga ni siri ya ndani. Takwimu ni kubwa kuliko unavyodhania, lakini wengi hawasemi, ni kilio cha samaki chozi kubebwa na maji.
Kiukweli inauma sana kuliwa bila kupewa nafasi ya kula.
Duh,kweli nimezidiwa ujanja. Ila namsikitikia yeye aliyekosa vikubwa zaidi..Kimsingi mzee mwezangu umepigwa hata kama unaona ni pesa kidogo.
Haa swahiba upoo..???Ha Ha Paka,hizo Ni Porojo Zako ,bora Ungentumia Mie Swaiba Wako Lol Umepigwa
Wacha nifungulie PM tuingie chumbani...Ha Ha Paka,hizo Ni Porojo Zako ,bora Ungentumia Mie Swaiba Wako Lol Umepigwa