Ni upumbavu mtu mweusi kuishi tamaduni za kiarabu

Ni upumbavu mtu mweusi kuishi tamaduni za kiarabu

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
16,697
Reaction score
39,155
1. Unakuta mnyamwezi au Muha anaomba Bismillah, salamaleko alhamudilalah hicho kiarabu na hajui maana yake,
Hivi ukisema Asante Mungu utakufa?

2. Mgogo au Mluguru na kipiripiri chake eti anafuga ndevu ili awe kama mwarabu?
Hajui waarabu wao wameubwa na ndevu nyingi hata wakifuga ndevu zinawakaa wanapendeza
Unaona kajitu kana ndevu panya buku

3 Unakuta Mnyakusya au Mkinga muda wote amevaa makobazi ili awe kama mwarabuani
Hajui Uarabuni Wanavaa makobazi kwakuwa ardhi Yao ina mchanga sana na jangwani
Sasa wewe upo kwenye tope la Mbozi majarubani umevaa makobazi ili ujinasibishe na waarabu, si upumbavu huo

4 Uvaaji wa makanzu
Sasa wewe Msukuma upo porini unachunga ng'ombe unavaa kanzu ili iweje
Utaswaga vipi hao ng'ombe au utakimbia vipi na hilo gauni lako

Hujui waarabu Wanavaa makanzu kutokana na hali ya joto Kali na tatizo lao la kupata mabusha
Kwanini uige kila kitu

5. Kichwa kichogo eti nae Mchaga au Masai amevaa bagharashia ili awe kama mwarabu wa Oman,
Hivi kweli mna akili timamu au ni maamuma tu

6 Kutawazia mchanga
Unakuta Mhaya yupo Kamachumu nae anatawazia mchanga wakati maji yamejaa ili ajinasibishe na waarabu
Warabu wanatawazia mchanga kutokana kwao Kuna uhaba wa maji.

7. Kupiga ukunga na makelele alfajiri
Yaani jitu lipo linatumia technology ya miaka 5000 iliyopita kuita watu kwenye ibada
Zamani hapakuwako na saa wala alarm ndo maana, wakaweka masipika

Elimu ni muhimu Kwa wenzetu upande wa Munyazi aka Kobazi the kobisi
 
1. Unakuta mnyamwezi au Muha anaomba Bismillah, alhamudilalah hicho kiarabu na hajui maana yake,
Hivi ukisema Asante Mungu utakufa?

2. Mdogo au Mluguru na kipiripiri chake eti anafuga ndevu ili awe kama mwarabu?
Hajui waarabu wao wameubwa na ndevu nyingi hata wakifuga ndevu zinawakaa wanapendeza
Una kajitu kana ndevu panya buku

3 Unakuta Mnyakusya au Mkinya muda wote amevaa makobazi ili awe kama mwarabu
Hajui Uarabuni Wanavaa makobazi kwakuwa ardhi Yao ina mchanga sana na jangwani
Sasa wewe upo kwenye tope la Mbozi umevaa makobazi ili ujinasibishe na waarabu, si upumbavu huo

4 Uvaaji wa makanzu
Sasa wewe Msukuma upo porini unachunga ng'ombe unavaa kanzu ili iweje
Utaswaga vipi hao ng'ombe au utakimbia vipi na hilo gauni lako

Hujui waarabu Wanavaa makanzu kutokana na hali ya joto Kali na tatizo lao la kupata mabusha
Kwanini uige kila kitu

5. Kichwa kichogo eti nae Mchaga au Masai amevaa bagharashia ili awe kama mwarabu wa Oman,
Hivi kweli mna akili timamu au ni maamuma tu

6 Kutawazia mchanga
Unakuta Mhaya yupo Kamachumu nae anatawazia mchanga wakati maji yamejaa ili ajinasibishe na waarabu
Warabu wanatawazia mchanga kutokana kwao Kuna uhaba wa maji.

6. Kupiga ukunga na makelele alfajiri
Yaani jitu lipo linatumia technology ya miaka 5000 iliyopita kutia watu kwenye ibada
Zamani hapakuwako na saa wala alarm ndo maana, wakaweka masipika

Elimu ni muhimu Kwa wenzetu upande wa Munyazi aka Kobazi the kobisi
Mmh!! Nyerere ali promote sana kiswahili chenye asili yake ya maneno 60% kiarabu, hivi kwanini hakuendeleza kisukuma ambcho kina ongelewa kwa 25% ya watanzania, unasikia mtu eti "shikamoo" manaake ni nini? Tungesalimiana "muangharuka Mayo".... tungepungukiwa nini?
 
1. Unakuta mnyamwezi au Muha anaomba Bismillah, alhamudilalah hicho kiarabu na hajui maana yake,
Hivi ukisema Asante Mungu utakufa?

2. Mdogo au Mluguru na kipiripiri chake eti anafuga ndevu ili awe kama mwarabu?
Hajui waarabu wao wameubwa na ndevu nyingi hata wakifuga ndevu zinawakaa wanapendeza
Una kajitu kana ndevu panya buku

3 Unakuta Mnyakusya au Mkinya muda wote amevaa makobazi ili awe kama mwarabu
Hajui Uarabuni Wanavaa makobazi kwakuwa ardhi Yao ina mchanga sana na jangwani
Sasa wewe upo kwenye tope la Mbozi umevaa makobazi ili ujinasibishe na waarabu, si upumbavu huo

4 Uvaaji wa makanzu
Sasa wewe Msukuma upo porini unachunga ng'ombe unavaa kanzu ili iweje
Utaswaga vipi hao ng'ombe au utakimbia vipi na hilo gauni lako

Hujui waarabu Wanavaa makanzu kutokana na hali ya joto Kali na tatizo lao la kupata mabusha
Kwanini uige kila kitu

5. Kichwa kichogo eti nae Mchaga au Masai amevaa bagharashia ili awe kama mwarabu wa Oman,
Hivi kweli mna akili timamu au ni maamuma tu

6 Kutawazia mchanga
Unakuta Mhaya yupo Kamachumu nae anatawazia mchanga wakati maji yamejaa ili ajinasibishe na waarabu
Warabu wanatawazia mchanga kutokana kwao Kuna uhaba wa maji.

6. Kupiga ukunga na makelele alfajiri
Yaani jitu lipo linatumia technology ya miaka 5000 iliyopita kutia watu kwenye ibada
Zamani hapakuwako na saa wala alarm ndo maana, wakaweka masipika

Elimu ni muhimu Kwa wenzetu upande wa Munyazi aka Kobazi the kobisi
Wakina adriz na ERTUGRUL BEY watasema umewatukana matusi ya nguoni.
 
Kuna hii ya kusalimiana kiarabu. Aisee huwa inanikera sana. Mtu anawakuta salamu ni " Assalamualaikum" sasa unanisalimia kiarabu mimi ni muarabu? Nimeshawahi kukusalimia " bonjour monsieur " au " Buo Giorno / Buona sera" au "Good morning/ Good afternoon", au " Zǎoshang hǎo" au " Guten Morgen"? Why uwe na pride ya lugha ya taifa lingine as if upo hilo taifa halafu unajinasibu kama ndio salamu sahihi na kuu kwenye jamii yako?

Mimi nitaanza kuwajibu kwa lugha za mataifa mengine sasa, ukinambia "As-salamu alaykum" najibu " nyi hao" au "may peace be with you too"

Tusijitoe ufahamu kwa vitu ambavyo vipo wazi na bayana kabisa.
 
Acha kututisha. Kichogo kinabonyezwa tu na kibarghashia kinakaa mwake, gauni linashikiliwa na mbio tunapiga tena kuwakimbia wenye mashamba tuliowalishia mashamba yao. Ndevu twapaka hinna na ziota mwake mwake tukiongea waona meno meupe tu. Bismillah na inshallah twaitamka vyema kushinda hata muarabu mwenyewe.
 
Uko sahihi kabisa, lakini

1. Hata sisi waafrika hususani watanzania hatuna VAZI la kutambulisha utamaduni wetu.

2. kwa tamaduni zote za kumuongelea huyu MUNGU, waafrika hatuna utamaduni unaojulikana
-sisi wakristo tumepokea tamaduni kutoka mataifa ya magharibi, italy na mashariki ya kati
-ukiondoa ethiopia ambao wana biblia yao yenye mfumo wa kiorthodox, biblia zote tunazozitumia waafrika hususani watanzania ni za kimapokeo (hatuna kitabu chetu kitakatifu)

3. waislam wa kiafrika nao wote ni manze ga nyanza (kila kitu wamepokea kutoka mashariki ya kati na uarabuni)

4. hata tamaduni zetu tu za lugha ya kiswahili hatuzitunzi
-leo hii waweza kuta nyumbu anaamini kuwa kujua kiingereza au kiarabu ndo umemaliza kila kitu, anasahau kuikuza lugha ya kiswahili
-kumb. Maneno halisi ya kiswahili yanakufa tena kwa mwendokasi

WE NYUMBU, ACHA UNYUMBU, ACHA KILA MTU AISHI ANAVYODHANI YUPO SAHIHI, ili mradi tu havunji sheria za nchi

5. hakuna mwenye uhakika na imani yake au tamaduni zake za kidini.
 
Hivi inakuwaje mtu unaamka tu unachagua vita na imani ya wengine?

Muda unaotumia kukashifu ya wengine ungetumia kusifia ya kwako
Ni tamaduni za kiarabu ndo zimeongelewa sio dini
Sio kuwa waarabu wote ni waislam
Kuna waarabu wakristo na wapagani pia
Ila wote wana share tamaduni sawa
Huu Uzi hauna dini yoyote
 
Back
Top Bottom