Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

Paka pakawa basi kama waswahili wasemavyo.
Ukiwa mdogo unaambiwa nenda kalale mapema wakubwa wabaki macho wakiongea. Basi hii ni aina za stori wakubwa huwa tunaongea wengine wakienda kulala.

Katika hali inayoonekana kama kuangaliana kwa jicho la husudu basi CCJ wamefikia hapo katika harakati zao za kuwania madaraka ndani ya CCM. Katika kikao chao kulitokea tafrani kubwa hasa pale ilipogunduliwa kuwa Sitta ana mpango wa kuwania uraisi. Lakini wajumbe wengine wakaamua kumtolea uvivu kabisa kwa kumweleza kuwa kama ingekuwa sio unafiki basi fisadi namba moja nchini angekuwa yeye SITTA.

Tuhuma zenyewe ni hizi hapa:
<ANGALIZO: MOD ukiitoa hii naomba unifungie na account yangu kwa kuwa sipo tayari kudhalilishwa hapa JF kwa kuibua ufisadi wa mnafiki 6>

1. Inaamika ile nyumba yaani ofisi ya Spika iliyojengwa kule TABORA ilijengwa kwa fedha nyingi tena zenye utata hasa katika malipo na thamani halisi.
Katika jambo la kustajaabisha eti wakahoji ni nani alimpa ruhusa Sitta akajenge ofisi ya Spika Tabora ili hali ofisi za Bunge ziko Mjini Dodoma.

2. Inaaminika kuwa kila mwaka samani za nyumba ya Sitta pale Dodoma ilikuwa zikibadilidhwa kwa gharama ya kutisha na ambayo haikuwahi kukaguliwa na CAG. Watu wengi wamekuwa wakistaajabu haya.. Lakini ukweli huu utajulikana tuu endapo CAG ataruhusiwa kwenda kukagua.

3. Watu wamehoji hasa kuhusu yule mke wa nje wa Sitta pale Sinza. Lakini kuhusu wake za nyngeza za watu si hoja muhimu kwa hiyo sitaweza kujadili umbeya huu badala yake nitajikita zaidi kwenye hoja itakayofuata.

4. Inaaminika kuwa Sitta ana account ya mamilioni ya shilingi nje ya nchi(nchi inajulikana lakini kwenye swala la Benki bado kapuni kwa kuwa data zenyewe hazikuwa wazi). Hii ni hoja mpya kumkuta kiongozi wa tangu za enzi za mwalimu kuweza kuthibitika kuwa na uwizi wa hali ya juu.

5. Tuhuma nyingine nzito na ambao wengine waliita ufisadi ni tabia ya Sitta ya kupenda unafiki. wlimuhoji kwa nini akubali kuwa kiongozi wa serikali wakati Waziri mkuu hayupo na hapohapo aendelee kuiponda serikali. Ufisadi huu kwa mujibu wao ndio unaowaogopesha ukizingatia Sitta has NO any integrity.

6.
7.
8.

nitakuja kuzimalizi umeme ukirudi maana naona kama nimehujumiwa tayari na serikali ya kina Sitta na wasanii wengine.


UDAKU FM

WANAJF SIO WAJINGA kwa udaku huu
 
hiyo number 3 mkuu una uhakika? maana 6 ni mzee wa kanisa letu -- futa kauli tafadhali.

Mkuu hata mchungaji hujitwalia kondoo mnono na kumchinja ili apate kitoweo!! Mzee wa Kanisa ndio nini? Hujui kuwa kuhani hula madhabahuni.

Kama namba 4 ni kweli kuna tofauti gani kati ya 6 na Chenge. 6 si ndio alikuwa mkulu wa kale kajamaa kanaitwa TIC ambako kalikuwa kakileta Wanyonyaji hapa nchini? Na hao wanyonyaji si walikuwa wakiingia mikataba? Na hiyo mikataba kweli ilikosa ufisadi? Ukiwa unawavua wenzako nguo hakikisha umevaa suruali ya bati kwani vinginevyo na ya kwako inaweza chanwa ukabaki mtupu!! Ahhh Ndg. 6
 
Sitta na nyumba ndogo is an open secret!

Mkuu mbona wengine hatujui hilo. Au ndio kama maandiko yasemavyo kuwa haya mambo wamefunuliwa watoto wadogo na wakubwa wamenyimwa ufunuo huo!! Kama nyumba ndogo acha awe nayo mbona wengi tu wana nyumba ndogo na wanatuongoza!! Kwani anataka kugombea uongozi wa kanisa? Suala hapa ni kwamba aturudishie pesa za kujenga ofisi ya spika huko kijijini kwao Urambo. Nakumbuka Mobutu alijenga ikulu kubwa huko kijijini kwake Badolite!! Ni kumbukumbu tu!
 
La nyumba ya spika tabora sio sahihi limeposhosho hizo ni ofisi za wabunge zita jengwa kila kijiomba ila
hayo mengine yanaweza kuwa sahihi hasa kuficha hela nje ya nchi kwa viongozi wetu ni kawaida sana.
SITTA anaingiza karibu milioni ishirini kwa mwezi kutokana na posho mafao
vyeo alivyowai kushika huko nyuma vyausika

Mkuu nadhani ulifaulu mtihani wa kiswahili kigumu manake unatumia misamiati migumu hadi nashindwa kuelewa
 
Nathubutu kusema hakuna kiongozi kutoka CCM asiye fisadi. None.
 
Toa detail zaidi mkuu!! Ila hilo la nyumba ya speaker Tabora, tulishalijadili sana hapa jukwaani.

Mkuu ina maana 6 alijenga nyumba ya speaker Tabora na kule Urambo akajenga Ofisi ya Speaker au? Mimi najua alijenga ofisi ya spika huko jimboni kwake Urambo utadhani kila speaker atakuwa akitoka Urambo sasa sijui kama na huko Tabora (Labda mjini ) ana nyumba ya Speaker.
 
siku za sita na umaarufu feki ndo zinaishia, mi afanye yote afanyayo ila kuaminisha uongo watanzania ndo kitu anachonikera. Eti ni rushwa ya viongozi, viongozi gani hao anaowazungumzia? Yeye ni kiongozi toka enzi za nyerere anatupiga longokongo tu hapa. wao walipata uwaziri wakiwa vijana bado mpaka leo wanutaka hebu watupishe tumechoka ngonjera zao. How old is Obama anyway sisi bado tunataka kukumbatia unafiki wa wazeee hawa.
 
Paka pakawa basi kama waswahili wasemavyo.
Ukiwa mdogo unaambiwa nenda kalale mapema wakubwa wabaki macho wakiongea. Basi hii ni aina za stori wakubwa huwa tunaongea wengine wakienda kulala.

Katika hali inayoonekana kama kuangaliana kwa jicho la husudu basi CCJ wamefikia hapo katika harakati zao za kuwania madaraka ndani ya CCM. Katika kikao chao kulitokea tafrani kubwa hasa pale ilipogunduliwa kuwa Sitta ana mpango wa kuwania uraisi. Lakini wajumbe wengine wakaamua kumtolea uvivu kabisa kwa kumweleza kuwa kama ingekuwa sio unafiki basi fisadi namba moja nchini angekuwa yeye SITTA.

Tuhuma zenyewe ni hizi hapa:
<ANGALIZO: MOD ukiitoa hii naomba unifungie na account yangu kwa kuwa sipo tayari kudhalilishwa hapa JF kwa kuibua ufisadi wa mnafiki 6>

1. Inaamika ile nyumba yaani ofisi ya Spika iliyojengwa kule TABORA ilijengwa kwa fedha nyingi tena zenye utata hasa katika malipo na thamani halisi.
Katika jambo la kustajaabisha eti wakahoji ni nani alimpa ruhusa Sitta akajenge ofisi ya Spika Tabora ili hali ofisi za Bunge ziko Mjini Dodoma.

2. Inaaminika kuwa kila mwaka samani za nyumba ya Sitta pale Dodoma ilikuwa zikibadilidhwa kwa gharama ya kutisha na ambayo haikuwahi kukaguliwa na CAG. Watu wengi wamekuwa wakistaajabu haya.. Lakini ukweli huu utajulikana tuu endapo CAG ataruhusiwa kwenda kukagua.

3. Watu wamehoji hasa kuhusu yule mke wa nje wa Sitta pale Sinza. Lakini kuhusu wake za nyngeza za watu si hoja muhimu kwa hiyo sitaweza kujadili umbeya huu badala yake nitajikita zaidi kwenye hoja itakayofuata.

4. Inaaminika kuwa Sitta ana account ya mamilioni ya shilingi nje ya nchi(nchi inajulikana lakini kwenye swala la Benki bado kapuni kwa kuwa data zenyewe hazikuwa wazi). Hii ni hoja mpya kumkuta kiongozi wa tangu za enzi za mwalimu kuweza kuthibitika kuwa na uwizi wa hali ya juu.

5. Tuhuma nyingine nzito na ambao wengine waliita ufisadi ni tabia ya Sitta ya kupenda unafiki. wlimuhoji kwa nini akubali kuwa kiongozi wa serikali wakati Waziri mkuu hayupo na hapohapo aendelee kuiponda serikali. Ufisadi huu kwa mujibu wao ndio unaowaogopesha ukizingatia Sitta has NO any integrity.

6.
7.
8.

nitakuja kuzimalizi umeme ukirudi maana naona kama nimehujumiwa tayari na serikali ya kina Sitta na wasanii wengine.
HEBU FAFANUA
Tuhuma
zenyewe ni hizi hapa:
<ANGALIZO: MOD ukiitoa hii naomba unifungie na account yangu kwa kuwa sipo tayari kudhalilishwa hapa JF kwa kuibua ufisadi wa mnafiki 6>

1. Inaamika ile nyumba yaani ofisi ya Spika iliyojengwa kule TABORA ilijengwa kwa fedha nyingi tena zenye utata hasa katika malipo na thamani halisi............ Inaaminika na nani..??? wewe..??
Katika jambo la kustajaabisha eti wakahoji ni nani alimpa ruhusa Sitta akajenge ofisi ya Spika Tabora ili hali ofisi za Bunge ziko Mjini Dodoma. ...wakahoji ....akina nani na walikuwa wanamuhoji nana...??? wewe...??

2. Inaaminika kuwa kila mwaka samani za nyumba ya Sitta pale Dodoma ilikuwa zikibadilidhwa kwa gharama ya kutisha na ambayo haikuwahi kukaguliwa na CAG. Watu wengi wamekuwa wakistaajabu haya.. Lakini ukweli huu utajulikana tuu endapo CAG ataruhusiwa kwenda kukagua.

Hao watu wengi wanaostaajabu ni akina nani...??? isije ikawa ni wewe na demu/bwana wako...!!!

3. Watu wamehoji hasa kuhusu yule mke wa nje wa Sitta pale Sinza. Lakini kuhusu wake za nyngeza za watu si hoja muhimu kwa hiyo sitaweza kujadili umbeya huu badala yake nitajikita zaidi kwenye hoja itakayofuata.

..........Hutaweza kujadili umbeya wakati ushauweka hapa.............. SIKUELEWI..............

4. Inaaminika kuwa Sitta ana account ya mamilioni ya shilingi nje ya nchi(nchi inajulikana lakini kwenye swala la Benki bado kapuni kwa kuwa data zenyewe hazikuwa wazi). Hii ni hoja mpya kumkuta kiongozi wa tangu za enzi za mwalimu kuweza kuthibitika kuwa na uwizi wa hali ya juu.

...............Inaaminika na nani...???

5. Tuhuma nyingine nzito na ambao wengine waliita ufisadi ni tabia ya Sitta ya kupenda unafiki. wlimuhoji kwa nini akubali kuwa kiongozi wa serikali wakati Waziri mkuu hayupo na hapohapo aendelee kuiponda serikali. Ufisadi huu kwa mujibu wao ndio unaowaogopesha ukizingatia Sitta has NO any integrity.

................Nani aliyemuhoji sitta...???

ULICHOKIANDIKA KINAWEZA KIKAWA KWELI AU SIYO............ KINAACHA MASWALI MENGI SANA KWA NAMNA ULIVYOANDIKA................
Ogopa sana maneno haya............. eti, inaaminika, inasemekana, inaoneka, ndivyo ilivuo. HAYA MANENO YAASHIRIA KUKOSA USHAHIDI
 
HEBU FAFANUA
ULICHOKIANDIKA KINAWEZA KIKAWA KWELI AU SIYO............ KINAACHA MASWALI MENGI SANA KWA NAMNA ULIVYOANDIKA................
Ogopa sana maneno haya............. eti, inaaminika, inasemekana, inaoneka, ndivyo ilivuo. HAYA MANENO YAASHIRIA KUKOSA USHAHIDI


Jamani ushahidi wa nini tena hapa? Mafisadi wangapi tuna ushahidi dhidi ya ufisadi wao? 6 naye ni fisadi tu kama mafisadi wengine.
 
hiyo number 3 mkuu una uhakika? maana 6 ni mzee wa kanisa letu -- futa kauli tafadhali.

kwamba mzee wa kanisa ni mtakatifu sana au? sema nyie mliomchagua kuwa mzee wa kanisa mlikuwa vipofu au cheo chake kimesababisha waumini wajipendekeze kwake, mfalme daudi ambaye alikuwa mpakwa mafuta wa bwana nayeye alianguka na kupora mke wa mtu sembuse 6.
 
Paka pakawa basi kama waswahili wasemavyo.<br />
Ukiwa mdogo unaambiwa nenda kalale mapema wakubwa wabaki macho wakiongea. Basi hii ni aina za stori wakubwa huwa tunaongea wengine wakienda kulala.<br />
<br />
Katika hali inayoonekana kama kuangaliana kwa jicho la husudu basi CCJ wamefikia hapo katika harakati zao za kuwania madaraka ndani ya CCM. Katika kikao chao kulitokea tafrani kubwa hasa pale ilipogunduliwa kuwa Sitta ana mpango wa kuwania uraisi. Lakini wajumbe wengine wakaamua kumtolea uvivu kabisa kwa kumweleza kuwa kama ingekuwa sio unafiki basi fisadi namba moja nchini angekuwa yeye SITTA.<br />
<br />
Tuhuma zenyewe ni hizi hapa:<br />
&lt;ANGALIZO: MOD ukiitoa hii naomba unifungie na account yangu kwa kuwa sipo tayari kudhalilishwa hapa JF kwa kuibua ufisadi wa mnafiki 6&gt;<br />
<br />
1. Inaamika ile nyumba yaani ofisi ya Spika iliyojengwa kule TABORA ilijengwa kwa fedha nyingi tena zenye utata hasa katika malipo na thamani halisi.<br />
Katika jambo la kustajaabisha eti wakahoji ni nani alimpa ruhusa Sitta akajenge ofisi ya Spika Tabora ili hali ofisi za Bunge ziko Mjini Dodoma.<br />
<br />
2. Inaaminika kuwa kila mwaka samani za nyumba ya Sitta pale Dodoma ilikuwa zikibadilidhwa kwa gharama ya kutisha na ambayo haikuwahi kukaguliwa na CAG. Watu wengi wamekuwa wakistaajabu haya.. Lakini ukweli huu utajulikana tuu endapo CAG ataruhusiwa kwenda kukagua.<br />
<br />
3. Watu wamehoji hasa kuhusu yule mke wa nje wa Sitta pale Sinza. Lakini kuhusu wake za nyngeza za watu si hoja muhimu kwa hiyo sitaweza kujadili umbeya huu badala yake nitajikita zaidi kwenye hoja itakayofuata.<br />
<br />
4. Inaaminika kuwa Sitta ana account ya mamilioni ya shilingi nje ya nchi(nchi inajulikana lakini kwenye swala la Benki bado kapuni kwa kuwa data zenyewe hazikuwa wazi). Hii ni hoja mpya kumkuta kiongozi wa tangu za enzi za mwalimu kuweza kuthibitika kuwa na uwizi wa hali ya juu.<br />
<br />
5. Tuhuma nyingine nzito na ambao wengine waliita ufisadi ni tabia ya Sitta ya kupenda unafiki. wlimuhoji kwa nini akubali kuwa kiongozi wa serikali wakati Waziri mkuu hayupo na hapohapo aendelee kuiponda serikali. Ufisadi huu kwa mujibu wao ndio unaowaogopesha ukizingatia Sitta has NO any integrity.<br />
<br />
6.<br />
7.<br />
8.<br />
<br />
nitakuja kuzimalizi umeme ukirudi maana naona kama nimehujumiwa tayari na serikali ya kina Sitta na wasanii wengine.
<br />
<br />


naitwa Paul Maknda nasubiri umalizie ili nichangie.
 
Bado nipo naangalia upepo unavyovuma ndani ya CCM!! Leo tumuangalie SAMWEL SITTA ambaye anasemekana kuwa nae anataka kugombea urais wa Tanzania kupitia CCM mwaka 2015. Huyu anaungwa na wafuatao katika CCM:
1. Nape Nauye
2. Ole Sendeka
3. Kilango Anne
4. Mwakyembe

ONGEZA ORODHA YA WANAOMUUNGA MKONO, NDANI YA CCM
 
Bado nipo naangalia upepo unavyovuma ndani ya CCM!! Leo tumuangalie SAMWEL SITTA ambaye anasemekana kuwa nae anataka kugombea urais wa Tanzania kupitia CCM mwaka 2015. Huyu anaungwa na wafuatao katika CCM:<br />
1. Nape Nauye<br />
2. Ole Sendeka<br />
3. Kilango Anne<br />
4. Mwakyembe<br />
<br />
ONGEZA ORODHA YA WANAOMUUNGA MKONO, NDANI YA CCM
<br />
<br />
Edward Lowasa
Rostam Aziz
Andrew Chenge
Anna Makinda
Job Ndugai
 
Bado nipo naangalia upepo unavyovuma ndani ya CCM!! Leo tumuangalie SAMWEL SITTA ambaye anasemekana kuwa nae anataka kugombea urais wa Tanzania kupitia CCM mwaka 2015. Huyu anaungwa na wafuatao katika CCM:
1. Nape Nauye
2. Ole Sendeka
3. Kilango Anne
4. Mwakyembe
5. Lemberi
6. KIMARO ALIE KUWA VUNJO.
 
1. Nape Nauye
2. Ole Sendeka
3. Kilango Anne
4. Mwakyembe

ONGEZA ORODHA YA WANAOMUUNGA MKONO, NDANI YA CCM
6.Makonda
7.Nghily
8.Mbowe
9.Lissu
10.Mnyika
11.Selelii
12.CCM wote wasio na vyeo serikalini
 
Tatizo magamba wanataka kutawala milele.. kwanini watufikirishe wagombea toka kwao tu hivi hatuwezi kujadili watu wengine toka vyama vingine??

Hii ni propaganda ya kumuandalia mmoja wa magambas kupita kiurahisi na akili zetu zizame kwao sasa tuwe makini jamani, napendekeza kwa swala la urais 2015 bora tuanze kufikiria nje ya magamba na kama ni ndani ya magamba awe ambaye hata wao hawamfikirii ikiwezekana tumjenge hapa afikie kiwango cha kuwashangaza hao magamba wanaojiona kuwa wao ni ukoo wa utawala.
 
Back
Top Bottom