Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,263
- 684
Paka pakawa basi kama waswahili wasemavyo.
Ukiwa mdogo unaambiwa nenda kalale mapema wakubwa wabaki macho wakiongea. Basi hii ni aina za stori wakubwa huwa tunaongea wengine wakienda kulala.
Katika hali inayoonekana kama kuangaliana kwa jicho la husudu basi CCJ wamefikia hapo katika harakati zao za kuwania madaraka ndani ya CCM. Katika kikao chao kulitokea tafrani kubwa hasa pale ilipogunduliwa kuwa Sitta ana mpango wa kuwania uraisi. Lakini wajumbe wengine wakaamua kumtolea uvivu kabisa kwa kumweleza kuwa kama ingekuwa sio unafiki basi fisadi namba moja nchini angekuwa yeye SITTA.
Tuhuma zenyewe ni hizi hapa:
<ANGALIZO: MOD ukiitoa hii naomba unifungie na account yangu kwa kuwa sipo tayari kudhalilishwa hapa JF kwa kuibua ufisadi wa mnafiki 6>
1. Inaamika ile nyumba yaani ofisi ya Spika iliyojengwa kule TABORA ilijengwa kwa fedha nyingi tena zenye utata hasa katika malipo na thamani halisi.
Katika jambo la kustajaabisha eti wakahoji ni nani alimpa ruhusa Sitta akajenge ofisi ya Spika Tabora ili hali ofisi za Bunge ziko Mjini Dodoma.
2. Inaaminika kuwa kila mwaka samani za nyumba ya Sitta pale Dodoma ilikuwa zikibadilidhwa kwa gharama ya kutisha na ambayo haikuwahi kukaguliwa na CAG. Watu wengi wamekuwa wakistaajabu haya.. Lakini ukweli huu utajulikana tuu endapo CAG ataruhusiwa kwenda kukagua.
3. Watu wamehoji hasa kuhusu yule mke wa nje wa Sitta pale Sinza. Lakini kuhusu wake za nyngeza za watu si hoja muhimu kwa hiyo sitaweza kujadili umbeya huu badala yake nitajikita zaidi kwenye hoja itakayofuata.
4. Inaaminika kuwa Sitta ana account ya mamilioni ya shilingi nje ya nchi(nchi inajulikana lakini kwenye swala la Benki bado kapuni kwa kuwa data zenyewe hazikuwa wazi). Hii ni hoja mpya kumkuta kiongozi wa tangu za enzi za mwalimu kuweza kuthibitika kuwa na uwizi wa hali ya juu.
5. Tuhuma nyingine nzito na ambao wengine waliita ufisadi ni tabia ya Sitta ya kupenda unafiki. wlimuhoji kwa nini akubali kuwa kiongozi wa serikali wakati Waziri mkuu hayupo na hapohapo aendelee kuiponda serikali. Ufisadi huu kwa mujibu wao ndio unaowaogopesha ukizingatia Sitta has NO any integrity.
6.
7.
8.
nitakuja kuzimalizi umeme ukirudi maana naona kama nimehujumiwa tayari na serikali ya kina Sitta na wasanii wengine.
UDAKU FM
WANAJF SIO WAJINGA kwa udaku huu