mwakichi
JF-Expert Member
- May 14, 2011
- 417
- 97
Huyu mtu anaeitwa samwel sitta ni mmoja kati ya watu mafisadi nchini ingawa yeye anataka kujionyesha ni mtu mwema..anaitwa spika mstaafu lakini ukweli siyo spika mataafu kwani aligombea uspika na akashindwa,pamoja na kupewa mafuta ya gari(petrol) lita 1000 kwa mwezi pamoja na dereva,mlinzi bado kagoma kutoka katika nyumba aliyotakiwa kukaa spika anna makinda,analipiwa kodi ya dola 8000 za kimarekan kwa mwaka na wakati huo huo serikali imempa anna makinda pesa kwa ajili ya kukarabati nyumba yake iendane na hadhi ya uspika,anasafiri kwa anasa kama spika na yeye wala hazungumzi hili wala kuonea uchungu pesa za watanzania..nachojiuliza yeye analipwa hataki kutoka katika nyumba ya spika kwa nin?serikali inaingia hasara ya million 12 kwa kodi yake kama nan?lita 1000 za ubunge/uwaziri anapewa tena lita 70 za uspika za nini?
huyu ni mtu hatari sana katika tanzania yetu na hatuwezi kufika katika nchi ya ahadi na mtu kama huyu..
nawakilisha hoja
huyu ni mtu hatari sana katika tanzania yetu na hatuwezi kufika katika nchi ya ahadi na mtu kama huyu..
nawakilisha hoja