Ni ufisadi wa Spika Samwel Sitta

Hivi Sitta kumbe ni Spika. Mi nijua hili bunge la sasa halina spika. Kwahiyo na yule mzanzibari alikuwa spika wa muda ee! I mean Pandu Kificho.
 
Ama kweli, ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni! Kama unadhani vigogo wa EPA ni mafisadi peke yao, basi ulikuwa hujamfahamu Spika wa Bunge SAMUEL JOHN TEGEZA SITTA ! Ukimsikiliza anapoongea unaweza kuamini kwamba kiongozi huyo wa Bunge ni msafi kutokana na umahiri wake wa kujivalisha sifa kemkem – Mr Misifa. Unakumbuka hivi karibuni alivyomtukana Naibu Spika eti hawezi kusimamia mambo nyeti mpaka awepo yeye mwenye Bunge? ! Kisa nini? Kupenda sifa na kumdhalilisha mwenzake mbele ya umma, halafu bado anaendelea kuliita Bunge eti ni chombo cha kidemokrasia!

Tumebaini kwamba Sitta amekuwa akijimiminia sifa nyingi ili kulinda ufisadi anaoufanya usigundulike katika jamii yetu. Ngoja nikupe tone tu la madhambi yake kwa umma ili uone ni hatua gani utachukua, na ili na yeye ajipime kwa nafasi yake. Angalia uchafu huu:-

- Anatumia vibaya fedha za umma. Amekuwa akitumia msaidizi wake kuchota mapesa kwa kisingizio kuwa ni masurufu ya safari za ndani na nje ya nchi. Kila safari ya siku moja ndani ya nchi huchukua shilingi Milioni tano (5,000,000/=), na kila safari ya siku moja nje ya nchi huchukua shilingi Milioni Kumi na Tano (15,000,0000/=). Ameshindwa kufanya marejesho ya masurufu (imprest) hayo, licha ya kupeleka risiti kadhaa za kughushi/za uongo kwa Mhasibu Mkuu wa Ofisi ya Bunge. Mpaka sasa anadaiwa jumla ya shilingi Milioni sitini (60,000,000/=) za masurufu.

- SITTA hupeleka risiti za uongo kwa Mhasibu Mkuu, zikionesha madai kutoka Oysterbay Pharmacy ya Shilingi Milioni Mbili ( 2,000,000/= ) aliyotumia kwa tiba kila wiki.

- Amekuwa akilazimisha hawara yake wa Hospitali ya Aga Khan naye alipwe posho kama wabunge anapokwenda naye Dodoma. Kwa mfano, hawara huyo alilipwa ‘per diem’ kuanzia tarehe 13/12/2007 hadi tarehe 31/01/2008 ( Siku 50). Huo ni Ufisadi mkubwa!

- Anaye kimada wake mwingine anayekwenda kwa jina la ASIA ambaye anaishi nyumba Na. 111 karibu na Mahakama ya Ardhi Upanga na amezaa naye. Huko mtaani kwao kimada huyo hujiita mama SITTA, na ni dada yake aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa iliyokuwa Tume ya Kurekebisha Mashirika ya Umma (PSRC). Mwanamke huyo muda wote hutumia gari la Ofisi ya Bunge STK 232 Toyota RAV 4.

- Pia anaye kimada mwingine (jina limehifadhiwa) ambaye anaishi kinondoni ( Livingstone), mtaa wa Honolulu katika nyumba ya kupanga inayomilikiwa na dada yake Kawawa. Nyumba hiyo inatazamana na Nyumba Na. KH.MK/No. 337 katika mtaa huo huo. Kimada huyo hutumia gari ya kiofisi ya Spika mwenyewe STK 3002.

- Vimada wote hao hupata huduma za maji na umeme kwa gharama za Ofisi ya Bunge. Kuna kipindi mke halali wa Spika, aliwahi kulalamikia hali hiyo. Kuna siku maji yalikatika nyumbani, mke wa Spika akaomba apelekewe ‘ bowser’ la maji na Ofisi ya Bunge. Ohooo! Watekelezaji wakapeleka maji kimakosa kwa kimada. Mama Sitta akashtukia dili.

- Kuna taarifa kwamba mnamo Mwezi Oktoba 2007, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iligundua mapungufu makubwa katika matumizi ya fedha yaliyofanywa na Spika SITTA. nimedokezwa kuwa Spika aliwanyamazisha wajumbe wa kamati hiyo, ambapo aliwatishia kutowapatia posho na safari za nje kama wangeyafumua mapungufu yake hadharani! Hapo inaonesha kuwa wajumbe hao walipewa rushwa!!

- Kama JK anataka viongozi wa kisiasa na wa serikali watenganishe biashara na uongozi wa ku – ‘sacrifice’ kimojawapo, hilo litakuwa gumu kwa sababu Sitta alipokuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kituo cha cha Uwekezaji nchini (TIC) alitumia nafasi hiyo kuingia ubia na wafanyabiashara wengi wa Kigeni. Je, Wizara ya Maliasili na Utalii inatambua kuwa Spika ana hisa kwenye kampuni moja ya Kichina inayosafirisha nagogo licha ya marufuku yaliyowekwa?!

- Nililokupa hapo ni tone tu.

nimeintunza kwa sababu za msingi
 
Hivi Sitta kumbe ni Spika. Mi nijua hili bunge la sasa halina spika. Kwahiyo na yule mzanzibari alikuwa spika wa muda ee! I mean Pandu Kificho.

Ama kweli, ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni! Kama unadhani vigogo wa EPA ni mafisadi peke yao, basi ulikuwa hujamfahamu Spika wa Bunge SAMUEL JOHN TEGEZA SITTA ! Ukimsikiliza anapoongea unaweza kuamini kwamba kiongozi huyo wa Bunge ni msafi kutokana na umahiri wake wa kujivalisha sifa kemkem – Mr Misifa. Unakumbuka hivi karibuni alivyomtukana Naibu Spika eti hawezi kusimamia mambo nyeti mpaka awepo yeye mwenye Bunge? ! Kisa nini? Kupenda sifa na kumdhalilisha mwenzake mbele ya umma, halafu bado anaendelea kuliita Bunge eti ni chombo cha kidemokrasia!

Tumebaini kwamba Sitta amekuwa akijimiminia sifa nyingi ili kulinda ufisadi anaoufanya usigundulike katika jamii yetu. Ngoja nikupe tone tu la madhambi yake kwa umma ili uone ni hatua gani utachukua, na ili na yeye ajipime kwa nafasi yake. Angalia uchafu huu:-

- Anatumia vibaya fedha za umma. Amekuwa akitumia msaidizi wake kuchota mapesa kwa kisingizio kuwa ni masurufu ya safari za ndani na nje ya nchi. Kila safari ya siku moja ndani ya nchi huchukua shilingi Milioni tano (5,000,000/=), na kila safari ya siku moja nje ya nchi huchukua shilingi Milioni Kumi na Tano (15,000,0000/=). Ameshindwa kufanya marejesho ya masurufu (imprest) hayo, licha ya kupeleka risiti kadhaa za kughushi/za uongo kwa Mhasibu Mkuu wa Ofisi ya Bunge. Mpaka sasa anadaiwa jumla ya shilingi Milioni sitini (60,000,000/=) za masurufu.

- SITTA hupeleka risiti za uongo kwa Mhasibu Mkuu, zikionesha madai kutoka Oysterbay Pharmacy ya Shilingi Milioni Mbili ( 2,000,000/= ) aliyotumia kwa tiba kila wiki.

- Amekuwa akilazimisha hawara yake wa Hospitali ya Aga Khan naye alipwe posho kama wabunge anapokwenda naye Dodoma. Kwa mfano, hawara huyo alilipwa ‘per diem’ kuanzia tarehe 13/12/2007 hadi tarehe 31/01/2008 ( Siku 50). Huo ni Ufisadi mkubwa!

- Anaye kimada wake mwingine anayekwenda kwa jina la ASIA ambaye anaishi nyumba Na. 111 karibu na Mahakama ya Ardhi Upanga na amezaa naye. Huko mtaani kwao kimada huyo hujiita mama SITTA, na ni dada yake aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa iliyokuwa Tume ya Kurekebisha Mashirika ya Umma (PSRC). Mwanamke huyo muda wote hutumia gari la Ofisi ya Bunge STK 232 Toyota RAV 4.

- Pia anaye kimada mwingine (jina limehifadhiwa) ambaye anaishi kinondoni ( Livingstone), mtaa wa Honolulu katika nyumba ya kupanga inayomilikiwa na dada yake Kawawa. Nyumba hiyo inatazamana na Nyumba Na. KH.MK/No. 337 katika mtaa huo huo. Kimada huyo hutumia gari ya kiofisi ya Spika mwenyewe STK 3002.

- Vimada wote hao hupata huduma za maji na umeme kwa gharama za Ofisi ya Bunge. Kuna kipindi mke halali wa Spika, aliwahi kulalamikia hali hiyo. Kuna siku maji yalikatika nyumbani, mke wa Spika akaomba apelekewe ‘ bowser’ la maji na Ofisi ya Bunge. Ohooo! Watekelezaji wakapeleka maji kimakosa kwa kimada. Mama Sitta akashtukia dili.

- Kuna taarifa kwamba mnamo Mwezi Oktoba 2007, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iligundua mapungufu makubwa katika matumizi ya fedha yaliyofanywa na Spika SITTA. nimedokezwa kuwa Spika aliwanyamazisha wajumbe wa kamati hiyo, ambapo aliwatishia kutowapatia posho na safari za nje kama wangeyafumua mapungufu yake hadharani! Hapo inaonesha kuwa wajumbe hao walipewa rushwa!!

- Kama JK anataka viongozi wa kisiasa na wa serikali watenganishe biashara na uongozi wa ku – ‘sacrifice’ kimojawapo, hilo litakuwa gumu kwa sababu Sitta alipokuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kituo cha cha Uwekezaji nchini (TIC) alitumia nafasi hiyo kuingia ubia na wafanyabiashara wengi wa Kigeni. Je, Wizara ya Maliasili na Utalii inatambua kuwa Spika ana hisa kwenye kampuni moja ya Kichina inayosafirisha nagogo licha ya marufuku yaliyowekwa?!

- Nililokupa hapo ni tone tu.

Pole bibie na wewe ni kimada wake ulioachwaa nini! maana unajua mengi kumuhusu Sita.
 
Jamani hii mada naona na mimi sasa niulize kwa nini inafutwa mara kwa mara .Nimeona kuna watu 3 sasa wanaiweka inafutwa haraka haraka .Je ni kosa mkubwa huyu kujadiliwa? Tuambieni basi tujue badala ya kufuta kimya kimya . Nami nime copy na naiweka tena .Mkiifuta tupeni maelezo kwa nini inafutwa .
Unaujua Ufisadi Wa Samwel Siitta? (spika Wa Bunge)

--------------------------------------------------------------------------------

Ama kweli, ukistaajabu ya Mussa, utayaona ya Firauni! Kama unadhani vigogo wa EPA ni mafisadi peke yao, basi ulikuwa hujamfahamu Spika wa Bunge SAMUEL JOHN TEGEZA SITTA ! Ukimsikiliza anapoongea unaweza kuamini kwamba kiongozi huyo wa Bunge ni msafi kutokana na umahiri wake wa kujivalisha sifa kemkem – Mr Misifa. Unakumbuka hivi karibuni alivyomtukana Naibu Spika eti hawezi kusimamia mambo nyeti mpaka awepo yeye mwenye Bunge? ! Kisa nini? Kupenda sifa na kumdhalilisha mwenzake mbele ya umma, halafu bado anaendelea kuliita Bunge eti ni chombo cha kidemokrasia!

Tumebaini kwamba Sitta amekuwa akijimiminia sifa nyingi ili kulinda ufisadi anaoufanya usigundulike katika jamii yetu. Ngoja nikupe tone tu la madhambi yake kwa umma ili uone ni hatua gani utachukua, na ili na yeye ajipime kwa nafasi yake. Angalia uchafu huu:-

- Anatumia vibaya fedha za umma. Amekuwa akitumia msaidizi wake kuchota mapesa kwa kisingizio kuwa ni masurufu ya safari za ndani na nje ya nchi. Kila safari ya siku moja ndani ya nchi huchukua shilingi Milioni tano (5,000,000/=), na kila safari ya siku moja nje ya nchi huchukua shilingi Milioni Kumi na Tano (15,000,0000/=). Ameshindwa kufanya marejesho ya masurufu (imprest) hayo, licha ya kupeleka risiti kadhaa za kughushi/za uongo kwa Mhasibu Mkuu wa Ofisi ya Bunge. Mpaka sasa anadaiwa jumla ya shilingi Milioni sitini (60,000,000/=) za masurufu.

- SITTA hupeleka risiti za uongo kwa Mhasibu Mkuu, zikionesha madai kutoka Oysterbay Pharmacy ya Shilingi Milioni Mbili ( 2,000,000/= ) aliyotumia kwa tiba kila wiki.

- Amekuwa akilazimisha hawara yake wa Hospitali ya Aga Khan naye alipwe posho kama wabunge anapokwenda naye Dodoma. Kwa mfano, hawara huyo alilipwa ‘per diem’ kuanzia tarehe 13/12/2007 hadi tarehe 31/01/2008 ( Siku 50). Huo ni Ufisadi mkubwa!

- Anaye kimada wake mwingine anayekwenda kwa jina la ASIA ambaye anaishi nyumba Na. 111 karibu na Mahakama ya Ardhi Upanga na amezaa naye. Huko mtaani kwao kimada huyo hujiita mama SITTA, na ni dada yake aliyekuwa Mwenyekiti Mtendaji wa iliyokuwa Tume ya Kurekebisha Mashirika ya Umma (PSRC). Mwanamke huyo muda wote hutumia gari la Ofisi ya Bunge STK 232 Toyota RAV 4.

- Pia anaye kimada mwingine (jina limehifadhiwa) ambaye anaishi kinondoni ( Livingstone), mtaa wa Honolulu katika nyumba ya kupanga inayomilikiwa na dada yake Kawawa. Nyumba hiyo inatazamana na Nyumba Na. KH.MK/No. 337 katika mtaa huo huo. Kimada huyo hutumia gari ya kiofisi ya Spika mwenyewe STK 3002.

- Vimada wote hao hupata huduma za maji na umeme kwa gharama za Ofisi ya Bunge. Kuna kipindi mke halali wa Spika, aliwahi kulalamikia hali hiyo. Kuna siku maji yalikatika nyumbani, mke wa Spika akaomba apelekewe ‘ bowser’ la maji na Ofisi ya Bunge. Ohooo! Watekelezaji wakapeleka maji kimakosa kwa kimada. Mama Sitta akashtukia dili.

- Kuna taarifa kwamba mnamo Mwezi Oktoba 2007, Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) iligundua mapungufu makubwa katika matumizi ya fedha yaliyofanywa na Spika SITTA. nimedokezwa kuwa Spika aliwanyamazisha wajumbe wa kamati hiyo, ambapo aliwatishia kutowapatia posho na safari za nje kama wangeyafumua mapungufu yake hadharani! Hapo inaonesha kuwa wajumbe hao walipewa rushwa!!

- Kama JK anataka viongozi wa kisiasa na wa serikali watenganishe biashara na uongozi wa ku – ‘sacrifice’ kimojawapo, hilo litakuwa gumu kwa sababu Sitta alipokuwa Mwenyekiti Mtendaji wa Kituo cha cha Uwekezaji nchini (TIC) alitumia nafasi hiyo kuingia ubia na wafanyabiashara wengi wa Kigeni. Je, Wizara ya Maliasili na Utalii inatambua kuwa Spika ana hisa kwenye kampuni moja ya Kichina inayosafirisha nagogo licha ya marufuku yaliyowekwa?!

- Nililokupa hapo ni tone tu.

Hivi munatokwa nini na mapovu kiasi hicho? CCM ni nani aliye msafi....? Tupende tusipende hayo ndiyo maisha ya viongozi wa CCM kwa ujumla wao hivyo maadamu tumrridhia watuongoze, basi naomba TUWAVUMILIE. Labda kama mleta hoja una agenda nyingine.Kidumu Chama Cha Mapinduzi. Ndiyo hayo sasa
 
Hivi alishatoka kwenye nyumba aliyokuwa anapangiwa na serikali kwa dollar 12,000 kwa mwezi kama Spika wa Bunge?
 
Kwa kifupi Six nae amezitafuna pesa za Umma kwa mbinu mbali mbali Hana Mfano mzuri wa kuigwa hata Leo kavulunda Bunge la katiba huyu Six ni wa kutizamwa kwa jicho la 3 Maana anaonekana Ana Tamaa sasa tuwe makini asije akaweka masilahi yake Binafsi kwenye katiba hii
 
tatizo wabongo bwana hat2sem yetu,mbna bab ako hela ya mtaro wa mtaa sh.50,000 anapga ganj la 23,000 husem?vimada ni wake we wanakuhusu nin?vp labda kama dada au mama angekuwa nae ungesema?FURSA
 
Siasa za Tanzania zimefikia hali mbaya sana. Tusipoangalia tutakuwa ni taifa la kujadili viongozi wetu wamelala na nani badala ya kujadili masuala muhimu ya Taifa.

Tunashindwa kutambua kuwa kipind hiki cha hoja za ufisadi zitakuja hoja nyingi sana kutupumbaza? Sasa kila mtu anapakwa matope. Hivi mnadhani ni haku kweli kujadili maswala binafsi kabisa ya Sitta, au masuala ya kuzusha waziwazi wa matumizi ya ofisi ya Spika? Bunge mwaka jana limepata hati safi ya matumizi yake, CAG hajaonesha fungu lolote lenye matatizo. Habari hii inaletwa kwa malengo yaleyale ya habari za Mwenyekiti Mbowe, kutuhamisha katika hoja. Kundi lile lie lililotoa habari za Mbowe na NSSF kwa uzushi mkubwa ndio hilo hilo linamsema Sitta.

Siasa za Tanzania zinaelekea kubaya kabisa. Sasa mtasikia kuhusu Mwakyembe etc............... Sisi Watanzania sijui nani katuloga.

Haya endeleeni mi naendelea kupika ripoti ya Kamati ya Bomani. Wanaoendelea kujadili Sitta ana mahawara wangapi waendelee!

Mada hii, kwa maoni yangu binafsi, haina maana katika ubao huu.

Hukumbuki yaliyo mpata Bill Klington rais wa Marekani alipo kuwa na uhusiano wa kima penzi na sekretari wake.dunia ili mjadili sana tu
 
Hukumbuki yaliyo mpata Bill Klington rais wa Marekani alipo kuwa na uhusiano wa kima penzi na sekretari wake.dunia ili mjadili sana tu

Mkuu sidhani kama marekani walishawahi kuwa na Rais wa namna hiyo..mkuu KIMA PENZI ndio lugha gani??
 
nimeintunza kwa sababu za msingi
Mboni ripoti hii ni kitambo tu
Ililetwa humu mjengoni wakati akiwa spika na kamanda wa vita dhidi ya mafisadi.
Katika kipindi kile, ilionekana kama propaganda dhidi ya kamanda jee kimejiri nini hadi kuirudisha tena mjengoni?
Wengi wenu mlimsafisha na mliwatuhumu vibaya wale ambao walikuwa wanayajua haya lakini kwa vile mlimuona ndiye mkombozi wa inji hii hamkutaka doa lolote lile liingie kwenye sifa zake kuna taarifa zililetwa hapa kuhusu nd huyu kulazimisha ujenzi wa ofisi ya spika iliyogharimbu mamilioni jimbon kwake as if alikuwa na uhakika wa kuwa spika maisha yake yote. kwa unafiki na upofu wa baadhi yetu hoja zote hizo zilitupiliwa mbali. JEE KUNANI SASA???
Wacheni unafiki a spade will always be a spade and mh sitta has and will always remain a farce in politics
 
Samwel Sitta kila anapopata nafasi ya kupanda jukwaani anajipigie debe la Urais kwa tiketi ya kuwa yeye ni mwadilifu na kumponda Lowassa kwa ufisadi wakati yeye mwenyewe ni fisadi. Ushahidi wa ufisadi wake mmojawapo ni posho kwa wabunge wa katiba litakaloendelea bila UKAWA wakati ni batili. Katika hili ameshajipotezea sifa ya kugombea urais 2015.
 
Samwel Sitta kila anapopata nafasi ya kupanda jukwaani anajipigie debe la Urais kwa tiketi ya kuwa yeye ni mwadilifu na kumponda Lowassa kwa ufisadi wakati yeye mwenyewe ni fisadi. Ushahidi wa ufisadi wake mmojawapo ni posho kwa wabunge wa katiba litakaloendelea bila UKAWA wakati ni batili. Katika hili ameshajipotezea sifa ya kugombea urais 2015.

Huwezi toka malezi ya CCM ukawa mwadilifu! Sita angelikuwa mwadilifu asingeliamua kuendelea na bunge la katiba wakati kuna mgogoro ambao kwa kiwango kikubwa ameuleta yeye kwa ku-mismanage bunge
 
Back
Top Bottom