Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,907
- 1,080
Wakuu ni uchungu kusikia vitu kama hivi kwenye nchi iliyobatizwa jina la "nchi maskini" na watawala wetu.
tusiendelee kulalamika tu, tutafute suluhu pia. Je tufanyeje kujikomboa dhidi ya wizi na dhuluma hii tunayofanyiwa watanzania?
Maana kuna watu hapa jf wanajifanya wana maumivu sana na hali hii ili hali baba, mama, dada, shangazi, mjomba, nk wanafaidi keki kubwa au niseme wanashiriki katika wizi huu.
je wako tayari kuwambia wazi wazi hao wezi ambao ni jamaa zao kwamba nyie ni wezi?
Je chama cha mapinduzi kiko tayari kujisema kwamba ndiye master planner wa wizi wa wazi wa keki hii ya watanzania? La sivyo tutaandika weeeee hapa bila kuwa na suruhu ya nini kifanyike!
Nakumbuka aliposema Dr Slaa kwa mara ya kwanza kuwa ni vema hata wabunge wapunguze mishahara yao (including himself ofcourse) hata baadhi ya wana jf hapa walimbeza. Hii ni kwa sababu wengi hawaoni mbali. Leo bila shaka kama kawaida yake ameibuka mshindi kwa hoja ya kweli aliyoianzisha na hakuna aliyemuunga mkono.
nadhani kama watu wangelimuunga mkono ingelikuwa mwanzo wa kuwaandama wezi hawa wanaotuibia mchana kweupe tena kwa ridhaa yetu wenyewe.
Nakumbuka ule mchezo wa karata tatu jinsi nilivyowahi kuibiwa nikiwa napenda mwenyewe. Ni huu tunachezewa watanzania.
tusipoamua wenyewe kujitoa katika mchezo huu, tutaibiwa mpaka tukome.
Mungu ibariki Tanzania.
Walaaniwe wote wanaotuibia Tanzania kwa ujanja regardless ni nani!?!
tusiendelee kulalamika tu, tutafute suluhu pia. Je tufanyeje kujikomboa dhidi ya wizi na dhuluma hii tunayofanyiwa watanzania?
Maana kuna watu hapa jf wanajifanya wana maumivu sana na hali hii ili hali baba, mama, dada, shangazi, mjomba, nk wanafaidi keki kubwa au niseme wanashiriki katika wizi huu.
je wako tayari kuwambia wazi wazi hao wezi ambao ni jamaa zao kwamba nyie ni wezi?
Je chama cha mapinduzi kiko tayari kujisema kwamba ndiye master planner wa wizi wa wazi wa keki hii ya watanzania? La sivyo tutaandika weeeee hapa bila kuwa na suruhu ya nini kifanyike!
Nakumbuka aliposema Dr Slaa kwa mara ya kwanza kuwa ni vema hata wabunge wapunguze mishahara yao (including himself ofcourse) hata baadhi ya wana jf hapa walimbeza. Hii ni kwa sababu wengi hawaoni mbali. Leo bila shaka kama kawaida yake ameibuka mshindi kwa hoja ya kweli aliyoianzisha na hakuna aliyemuunga mkono.
nadhani kama watu wangelimuunga mkono ingelikuwa mwanzo wa kuwaandama wezi hawa wanaotuibia mchana kweupe tena kwa ridhaa yetu wenyewe.
Nakumbuka ule mchezo wa karata tatu jinsi nilivyowahi kuibiwa nikiwa napenda mwenyewe. Ni huu tunachezewa watanzania.
tusipoamua wenyewe kujitoa katika mchezo huu, tutaibiwa mpaka tukome.
Mungu ibariki Tanzania.
Walaaniwe wote wanaotuibia Tanzania kwa ujanja regardless ni nani!?!